chriss brown
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 292
- 63
Sauti ni kivutio kikubwa katika mapenzi jamani?.napenda kumpigia galfnd wangu simu,akiongea tu nafurahi,is it kweli sauti inaweza kumnasa mtu akakupenda.
Kama ilivyo sura nayo ni kivutii kingine.
Ni kweli kuna sauti za kumtoa nyoka pangoni..Niliangea na customer care wa mtandao fulani wa simu mpaka leo ctaisahau ile sauti nyororo na tamu.
Ndio ni kivutio kikubwa...kikitumika vizuri kwa mahaba...!
Biologically sauti ni kichocheo chenye mvuto sio kwako tu kutoka kwake! Hata sauti yako kwake ina chocheo pia! Na hii si kwa utashi wetu! Ni kwa utashi wa alietutengeneza katika difference gendar.
Kama ilivyo sura nayo ni kivutii kingine.
Mkuu pigia mstari kabisa!!! Wangu pamoja na vigezo vingine vyote kuwa sawa... Sauti yake ni mwisho wa maneno kwangu! Na uzuri harembi wala nini, yeye yake ilisharembwa naturally!!! Yaani akiongea majoka yote yanatoka mapangoni kwa hiari!!! Kuna watu wamejaaliwa sauti jamani acheni tu...
Sauti kwa kweli inaeza pia kukufanya utengeneze picha kichwani kwako kama ni ya mtu ambaye hujawahi kumuona....kwamba yukoje anafananaje anaendana na sauti yake au ndo kama hivo tena
Other things kept constant,Sauti ni kivutio kikubwa katika mapenzi jamani?.napenda kumpigia galfnd wangu simu,akiongea tu nafurahi,is it kweli sauti inaweza kumnasa mtu akakupenda.
Other things kept constant,
Sauti Nzuri Sura Mbaya v/s
Sura Nzuri Sauti Mbaya utachagua nini???
Kama ilivyo sura nayo ni kivutii kingine.
Kuna sauti na kisauti,sijui umebase wapi?
Lizzy ! Unasema sura ? Mi nakupinga ! Kuna jamaa alikua anaogelea akawa amezama majini mwili wote akabakiza kichwa tu nje ya maji, kutokana na sura yake ilivyokua nzito na mbaya waliokua wakija kuchota maji wakawa wanaogopa kuchota maji wakidhania wamemuona Kiboko ! Nambie hiyo face kama utakutana nayo kutwa x 3 !