Saudi wamechinja ndani ya Ubalozi na Polisi wa dunia kajitenga.Jiulize kwanini?

Kanisa katoliki linahusikaje na siasa za Zanzibar?



BIBLIA IMEUTAJA MUUNGANO ???


Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu




Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
 
BIBLIA IMEUTAJA MUUNGANO ???


Kardinali Pengo: Muungano si bahati nasibu




Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Dar es Salaam Mwadhama Polycarp Kardinali Pengo amewataka waamini na wananchi kwa ujumla kutambua kuwa Muungano wa Tanganyika na Zanzibar si jambo la bahati nasibu.

Kardinali Pengo ameyasema hayo ofisini kwake hivi karibuni alipoitisha vyombo vya habari vya Kanisa Katoliki kuzungumzia pamoja na mambo mengine ongezeko la Parokia mpya jimboni kwake pamoja na mabadiliko kwa Maparoko na Maparoko Wasaidizi katika baadhi ya Parokia jimboni humo.

Asemema suala la Muungano linapaswa kuchukuliwa kwa uzito wa pekee kwa kila Mtanzania hasa waamini Wakatoliki na kwamba kila mwamini anapaswa kutambua kuwa amepewa jukumu na Mwenyezi Mungu kulinda na kuombea Muungano huo.
Hahahahahahahaha
Huko ndo kuingilia siasa za Zanzibar?
Vp kama hawa
Bakwata yakataa serikali tatu
Punguza chuki kwa kanisa katoliki ndugu yangu.Waislamu na wakristu kwa imani zao nao ni wadau wa Muungano.Pengo ni mdau wa Muungano kama alivyo sheikh Ponda kwa sababu waumini wao na wao pia ni Watanzania.
So sijaona shida kwa Bakwata au TEC kuusemea Muungano.
 
Hahahahahahahaha
Huko ndo kuingilia siasa za Zanzibar?
Vp kama hawa
Bakwata yakataa serikali tatu
Punguza chuki kwa kanisa katoliki ndugu yangu.Waislamu na wakristu kwa imani zao nao ni wadau wa Muungano.Pengo ni mdau wa Muungano kama alivyo sheikh Ponda kwa sababu waumini wao na wao pia ni Watanzania.
So sijaona shida kwa Bakwata au TEC kuusemea Muungano.

Bakwata ni Tiss au hujui??katu huwezi kuwasikia wanaongea kuhusu muungano
 
Hahahahahahahaha
Huko ndo kuingilia siasa za Zanzibar?
Vp kama hawa
Bakwata yakataa serikali tatu
Punguza chuki kwa kanisa katoliki ndugu yangu.Waislamu na wakristu kwa imani zao nao ni wadau wa Muungano.Pengo ni mdau wa Muungano kama alivyo sheikh Ponda kwa sababu waumini wao na wao pia ni Watanzania.
So sijaona shida kwa Bakwata au TEC kuusemea Muungano.

Desemba 1993

MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.

Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:

Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.

Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.

Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.

Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona.

Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.

Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu.

Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka).

Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa.

Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.

Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:

Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.

Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.

Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.

Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!

Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.
 
Usaliti nikitu kibaya san Khashogh alifikiru kuwa ndani ya list ya list ya mashirika ya wabwana wakubwa kutamponya na kuwa safe popote alipo. Sio kwamba hakujuwa siku moja atakufa kwa kazi mbaya anaifanya yakuwa msaliti wa taifa lake alijuwa. Ukweli nikwamba Khashogh hakujuwa USA ndie mlinz wa taifa la Saudia nauwenda hata wao wameshiriki ktk kumaliza baada yakuwa ktk list ya wasaliti na watu hatari wataifa.

Somo zito lakujifunza nikwawalewana tumika vibaya kuihujumu Tz kwa kisingizio cha kuikosoa serikali. Ukweli nikwamba hata Marekani ambapo ndio baba democ huwez kuona ukosoaji uliopitiliza kama hapa kwetu. Pia wenzetu wanajali sana utaifa tofauti na sisi kuwa makuwadi wa nchi za magharibi.

Rubbish
Popoma
Punguani tu ndo anaweza kukuelewa
 
Usaliti nikitu kibaya san Khashogh alifikiru kuwa ndani ya list ya list ya mashirika ya wabwana wakubwa kutamponya na kuwa safe popote alipo. Sio kwamba hakujuwa siku moja atakufa kwa kazi mbaya anaifanya yakuwa msaliti wa taifa lake alijuwa. Ukweli nikwamba Khashogh hakujuwa USA ndie mlinz wa taifa la Saudia nauwenda hata wao wameshiriki ktk kumaliza baada yakuwa ktk list ya wasaliti na watu hatari wataifa.

Somo zito lakujifunza nikwawalewana tumika vibaya kuihujumu Tz kwa kisingizio cha kuikosoa serikali. Ukweli nikwamba hata Marekani ambapo ndio baba democ huwez kuona ukosoaji uliopitiliza kama hapa kwetu. Pia wenzetu wanajali sana utaifa tofauti na sisi kuwa makuwadi wa nchi za magharibi.
Hujui hata kuandika... Rudi shule kwanza kuliko kutuandikia mavi mavi apa
 
Desemba 1993

MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.

Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:

Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.

Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.

Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.

Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona.

Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.

Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu.

Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka).

Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa.

Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.

Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:

Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.

Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.

Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.

Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!

Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.

Mimi sijaona shida wakatoliki kuleta vimedali vya bikira Maria vilivyolenga kuidedicate nchi katika maombi yao.Nachotaka kujua walioleta ni serikali au kanisa?Na kama kodi ya serikali ilitumika kuingiza hizo medalion.Impact yake kwa nchi ya Tanzania ilikuwa nini?

Kuhusu George kahama kupewa cheo na kanisa sijui atakuwa alipewa cheo gani manake walei wana daraja zao tofauti na wakreli.Hilo linatia shaka kidogo labda unifafanulie.Lakini ikumbukwe PhD ya kwanza ya heshima ya rais Kikwete ilitoka Vatican sasa sijui naye alieneza Ukristu?

Kutoa matangazo hayo kwa KKKT ni utaratibu wa wakristu wa kufanya dedication na kumuomba mwenyezi Mungu ili lile teso kuu lililofanyika msalabani liendelee kuifanya nchi kuwa na amani.Sidhani kama waislam mgesema kuwa nchi iko chini ya Jihad ingeleta shida.

Kuhusu ukumbi wa bunge bakwata wamefanyia humo juzi juzi na hakuna aliyelalamika kwa hiyo there's no big deal kwa sababu impact yake kwa utengamano wetu kama watanzania ni negligible

Papa ni kiongozi wa taifa au serikali ya Vatican kwa hiyo akifa ni haki bendera ishushwe kwa sababu ana representatives na ubalozi wake hapa Tanzania pia ni kiongozi wa kiroho wa wakatoliki wa Tanzania.Unafikiri kwa nn Ahmedinejad na yule kiongoz wa kiislam Iran walikwenda kumzika John Paul wa II vatican?

Kuhusu hilo gazeti sijui vizuri ndg yangu nifafanulie na mm nitafute sources zingine.

Ila kanisa katoliki lina mechanism au modus operandi yake ambapo mambo huanza kupangwa kuanzia nyumba kumi kumi hadi juu kabisa kwa maana ya organization structure iliyoshirikishi na iliyoshiba kabisa.Kanisa haliihitaji serikali kufanya mambo yake.

Limesheheni wasomi katika kada zote unazozifahamu duniani.Linatawala dunia kupitia mifumo liliyoijenga for over the years.Halimuhitaji Nyerere,Magufuli au Mkapa na ndo maana linakemea mambo yanapokuwa hayaendi sawa nchini.Kwa ujumla hii ni habari ambayo sidhani kama unapenda kuisikia ila kanisa linaaamua nini kifanyike duniani na inakuwa hivyo.Kwa karne nyingi sana kanisa limewekeza katika elimu ya watu wake na hii inalisaidia kutawala.
Desemba 1993

MJADALA unaendelea nchini kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.

Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:

Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.

Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.

Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.

Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona.

Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.

Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu.

Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwanini; (udini ulikuwa umejengeka).

Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa.

Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini, waliofukuzwa katika chama na kadhalika.

Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:

Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.

Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.

Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.

Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!

Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele: "KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC". Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.
 
Bakwata ni Tiss au hujui??katu huwezi kuwasikia wanaongea kuhusu muungano
Wacha uzushi ndugu yangu.Bakwata ni chombo kilichoundwa kwa sheria ileile iliyounda baraza la maaskofu katoliki Tanzania na Balaza la wakristu Tanzania kwa maana ya CCT
Swali la kujiuliza ni kwa nini TEC na CCT vinafanya mambo yake kwa weledi na yanaonekana?Ukifanya utafiti unakuja gundua kuwa Bakwata is a bunch of vichwa maji hata hawana strategic plan kwa maana ya kwamba hawako instutionalized na hawana mission au vision.
Kwa uongozi wa namna hii lazima tu mtamtafuta mchawi na mtu wa kulaumu.Ni vyema sasa wale wazee wakastep down na kuruhusu damu changa na iliyo na elimu ikastep in na kufanya transformation kwa maendeleo endelevu ya waislam kimwili na kiroho na kuacha utegemezi wa misaada
 
Neno kuu sana hili walahi
Haswa kwa wale vibaraka wasio kuwa na mbele wala nyuma walahi
Wadhungu sio watu walahi
Wale wanatumia ujanja kujitajirisha walahi
Masilaha yao yanauzwa kwa wajinga ili wapigane wenyewe kwa wenyewe walahi
Upumbavu ulio kithiri walahi
Hiyo mijitu ina aandika mauzi marefu alafu ni pumba tupu na micrazy psychopath wenzake wanamsapoti, fyeeekelea mbali walahi
 
Wacha uzushi ndugu yangu.Bakwata ni chombo kilichoundwa kwa sheria ileile iliyounda baraza la maaskofu katoliki Tanzania na Balaza la wakristu Tanzania kwa maana ya CCT
Swali la kujiuliza ni kwa nini TEC na CCT vinafanya mambo yake kwa weledi na yanaonekana?Ukifanya utafiti unakuja gundua kuwa Bakwata is a bunch of vichwa maji hata hawana strategic plan kwa maana ya kwamba hawako instutionalized na hawana mission au vision.
Kwa uongozi wa namna hii lazima tu mtamtafuta mchawi na mtu wa kulaumu.Ni vyema sasa wale wazee wakastep down na kuruhusu damu changa na iliyo na elimu ikastep in na kufanya transformation kwa maendeleo endelevu ya waislam kimwili na kiroho na kuacha utegemezi wa misaada

Nani aliunda bakwata ???? wacha wewe uzushi
 
Nani aliunda bakwata ???? wacha wewe uzushi
Aliyeunda Bakwata ndiye aliyeunda CCT na ndiye aliyeunda TEC yote haya ni mabaraza ya kusimamia mambo ya kiimani kwa dini zote nchini.Sheria yao ni moja.Wewe ulitaka nani aunde Bakwata?
 
Marekani hawakuusika na lile tukio, Marekani hata kama ukiwa mkosoaji mkubwa hawakutoi uhai wako, mtu mmoja mmoja hawezi kuwa adui wa taifa kama Marekani....

Kashoggy alijua kabisa anaenda kuuwawa, Marekani wakifanya tukio huwa hawaachi alama yoyote wangemuua ndani ya taifa la Marekani tena kwa kifo kisicho kuwa na utata kama wangekuwa na nia ya kumuua
 
Back
Top Bottom