Saudi state-owned media warns Russia will exploit vacuum if US imposes sanctions

UAE imeingiaje hapa,mbona ni vitu viwili tofauti kabisa na saudi arabia?
Thanks mkuu kwa kunirekebisha. Nimesha-edit kosa mkuu. Nilimaanisha SAUDIA-ARABIA na siyo UAE. Nilikuwa nacheki CNN walikuwa wanaonyesha documentary moja kuhusu UAE. So nikatekwa akili na roho (Kidding bro)
 
Hizo ni economic propaganda zinazoenezwa na nchi kama China na Iran.

Sasa unafikiri sarafu ipi ita-take over wakati hiyo Yuan ndio imeshapoteza thamani hata na Ruble vile vile.

Hakuna mbadala ya dola kwa sasa hizo ni siasa tu kwa ajili ya "Frustrations" za machungu ya vikwazo vya kiuchumi.

Sasa ukiacha kufanya biashara kwa kutumia dola ukitaka kufanya biashara na mataifa mengine unafanyaje, tuambieni basi wachumi wa Gongo la Mboto.

US ndio anadhibiti The Global Banking Systems and Financial Markets mainly through SWIFT (Society for Worldwide Interbank Financial Telecommunications) CODE which is Dollar dependent, na hata Barter Trade mtafika sehemu mtakwama tu. Hata ule mfumo waliobuni Europe bado imejaa changamoto kibao na haijulikani utafanyaje kazi. Let us wait and see.
Wakati wa marekani wa Manzese wakipambana mitandaoni kuonesha Marekani hatishwi na tamko la Saudia,
Wamarekani wenyewe wanaelekea Saudia kubembeleza mambo yasifike mbali
 
Thanks mkuu kwa kunirekebisha. Nimesha-edit kosa mkuu. Nilimaanisha SAUDIA-ARABIA na siyo UAE. Nilikuwa nacheki CNN walikuwa wanaonyesha documentary moja kuhusu UAE. So nikatekwa akili na roho (Kidding bro)
poa poa,na wala nafikiri mafuta yame run out pale na ndio maana mkuu wa nchi yao aliamua wawekeze kwenye utalii ikiwa kama mbadala wa oil economy na ndio maana umeona jamaa wana ndege ndege za kutosha za emirates hata vile visiwa vya umbo la dunia walijenga kwa ajili hiyo
 
Wakati wa marekani wa Manzese wakipambana mitandaoni kuonesha Marekani hatishwi na tamko la Saudia,
Wamarekani wenyewe wanaelekea Saudia kubembeleza mambo yasifike mbali
hapo sasa ndio ushangae mkuu,pompeo katumwa kule akarekebishe mambo,marekani anajua athari za kumpoteza saudia na akimpoteza kwa jinsi ninavyowajua waarabu watachukua maamuzi magumu sana na petro dollar itakufa kabisa

Trump sio mjinga wa kuruhusu hili na alisema kabisa juzi kwamba hawezi kuacha dili la silaha la kuwauzia saudia kwa maana wapinzani wake russia na china watalichukua
 
sawa wewe mchumi wa havard,na hatujesema kwamba dollar itaanguka leo wala kesho,na vile vile bora wameanza kuliko kuto kuanza kabisa

na muda ndio kila kitu na hakuna tawala iliyokaa milele,ruble na mwenzake yuan wanafanya devaluation za currency zao

na maelezo mengi yanayowekwa humu hayatolewa from nowhere tena mengi yanatoka kwa wachambuzi mahiri tena wa marekani huko huko au nao hao nao ni wa kiburugwa?

haya hapa ni maelezo ya wachumi wa kiburugwa

The IMF officially green-lighted the acceptance of China’s currency – the Yuan – into the IMF’s foreign exchange basket. According to Reuters, this move paves the way for the IMF to place the yuan on a par with the US dollar. This is the latest in a series of global developments that threatens to eliminate the US dollar as the world’s reserve currency.

Experts predict this announcement will trigger one of the most profound transfers of wealth in our lifetime. So if you want to protect your savings & retirement, you better get your money out of US dollar investments and into the one asset class that rises as currencies collapse.

*The IMF Holds Supreme Power*

The International Monetary Fund, or IMF, is one of the most secretive and powerful organizations in the world. They monitor the financial health of more than 185 countries. They establish global money rules and provide “bail-out” assistance to bankrupt nations. Some are warning that any move by the IMF to supplant the US dollar could be catastrophic to American investments.

And now, the IMF has made the first move. As reported by The Wall Street Journal, the IMF officially green-lighted the acceptance of China’s currency – the Yuan – into the IMF’s foreign exchange basket. This marks the first time in history the IMF has expanded the number of currencies in the foreign exchange basket. This means that the Chinese currency will now become a viable global alternative to the US dollar.

According to Juan Zarate, who helped implement financial sanctions while serving in George W. Bush’s Treasury department, “Once the [other currency] becomes an alternative to the dollar, rules of the game begin to change.”

Leong Sing Chiong, Assistant Managing Director at a major central bank, said this dollar alternative “is likely to transform the financial landscape in the next 5-10 years.”

Currency expert Dr. Steve Sjuggerud warned, “I’ve been active in the markets for over two decades now, but I’ve never seen anything that could move so much money, so quickly. The announcement will start a domino effect, that will basically determine who in America gets rich in the years to come, and
who struggles.

Dr. Sjuggerud says if you own any US “paper” assets - and that includes stocks, bonds, or just cash in a bank account – you should be aware of what’s about to happen and know how to prepare. A number of experts believe a recent spike in gold and silver prices is a direct result of the IMF’s action. Precious metals notoriously rise when the US dollar falls.

*The Death of the US Dollar in One Frightening Graph*

For the last 600 years, there have been six different global reserve currencies controlled by world superpowers. The latest – the US dollar – has dominated world currency for over 80 years. The alarming fact is, global reserve currencies have collapsed every 80-90 years for the last six centuries! What does this mean for America and the dominance of the US dollar? Based on recent evidence and long-standing historical trends, experts predict the imminent collapse of the US dollar! What’s more alarming? Many Americans aren’t yet doing the one thing that will save their savings & retirement from US dollar collapse.

Just take a look at the graph below. It shows the lifespan of dominant currencies going back 600 years. Notice that the US dollar has now been the dominant currency for 88 years, about the same length of time as its predecessors.

It’s obvious why experts say that the US dollar’s days as the world’s reserve currency are coming to a climactic end.

*All Fiat Currencies Collapse*

“Fiat” currency is paper currency backed by nothing tangible. As opposed to “sound money” which is backed by gold or some other valuable commodity, a fiat currency is backed by nothing more than faith in the government. The US dollar has been a fiat currency since Nixon closed the gold window in 1971 in what was the greatest heist in American history. The scary fact is, the average life span of a fiat currency is 40 years, and the US dollar has now exceeded 40 years as a fiat currency!

Prior to 1933 and for well over 100 years, the dollar was backed by gold, and $20 bought you an ounce of gold. But after the government stole all US citizens’ gold in 1933 for a $20 paper certificate, gold was revalued at US$35, meaning the dollar was devalued by 43% overnight and all foreign and domestic holders of dollars were effectively robbed.

After Nixon closed the gold window completely in 1971, it took $67 to buy an ounce of gold, devaluing the US dollar by 50% again. Today, it takes well over a thousand US dollars to buy that same ounce of gold. Why? Because the US dollar is now nothing more than a fast declining Federal Reserve note backed by a corrupt government that is saddled with $18 trillion in unpayable debt — growing by $10 million per minute!

*Protect Yourself Before It’s Too Late*

This “Paper Money Experiment” has run its course. The Federal Reserve, the US government, and Wall Street crooks have misused their power by
mismanaging the dollar, and now there are global repercussions. The debt load sitting on top of the US dollar is unsustainable and will continue to crush the dollar’s purchasing power until no one wants to hold US dollars, and they are _no longer_ accepted for global trade. The dollar’s collapse means that every single one of your paper investments that are dollar-backed – stocks, mutual funds, money markets, cash accounts, etc – will go down right along with the dollar! Meanwhile, the government and the banks will find a way to protect themselves at your expense ... !!

So as we say goodbye to the U.S. dollar’s dominance, it doesn’t have to mean goodbye to your savings & retirement. Remove at least some of your savings & retirement from the dollar-backed, paper-based financial system and protect it with the one asset that has outlasted every fiat currency ever invented mfor the last 5,000 years: *Gold.*
Hizi ni fictions tu na propaganda za IMF ili China waendelee kuwekeza kwao. Yuan hii ambayo sasa hivi inashuka thamani kufuatia effects za zile US trade tariffs eti ndio iwe "Reserve Currency".!! Acheni utani bwana.
 
Mkuu, nimesoma vitabu hivyo ulivyo cite hapo juu except hicho cha mwisho. Nakubaliana na wewe to some point ila kumbuka hizo ni analysis tu kutoka kwa wadau based on their point of view and perspectives. Ila Naamini haitokuwa kirahisi hivyo kushusha nguvu ya dola (USD). Kuna figisu zinaendelea chini kwa chini kati ya IMF & World Bank kuhusu nchi za Kiafrika zinazokopa china. Katika Geopolitics, mchina hana impact but US does. Kwa mtazamo wangu, SAUDIA akiachana na US ndo mwisho wake. Kumbuka uchumi wa SAUDIA unatokana na mafuta na what if US akivuruga bei ya mafuta? Nini itakuwa hatima ya Saudia? Records zinaonyesha kuwa uchumi wa Saudia ni sawa na wa state moja tu kwa US. Kama Marekani akisema liwalo na liwe, Saudia itakuwa another Syria. Nafikiri kwenye Mgogoro huo ulipo, Saudia atumie diplomasia kutatua tatizo kuliko vitisho. Kwa mfano, US akipandikiza ISIS pale SAUDIA...unafikiri ufalme utakuwepo? Nihitimishe kwa kusema, Diplomacy ni bora kuliko vitisho na Saudia anamhitaji USA kuliko US anavyomhitaji Mwarab (Saudia)
marekani akivuruga bei ya mafuta shida itakua kwake,mafuta huwa yakipanda bei dollar huwa inashuka chini ndio maana kama umeona siku za hivi karibuni trump analalamika mafuta ni bei ghali na wakati yeye ndio kasababisha iwe hivyo sababu kawawekea vikwazo moja ya wazalishaji wakubwa ikiwapo iran na venezuela

kwa hiyo hata kama akapandikiza islamic state pale na kukatokea vurugu hapa marekani in longrun atapata hasara na yeye pia sababu atakua kawazingua karibia wazalishaji wakubwa wote wa mafuta duniani

na hawa atakao wazingua kuanzia huyo saudia,Venezuela, russia,iran na iraq wote hawa wataenda kwa china na ndio hapo sasa china atapata energy kiulaini kabisa na kukuza uchumi wake vizuri zaidi

hivi vikwazo mzee baba in longrun vitamfaidisha mchina kwa kiasi kikubwa sababu atakua anazoa tu marafiki waliozinguliwa na marekani
 
Ndo maana nimetangulia kudokeza inawezekana si miaka hii lakini muda si mrefu down the road , hii 21th century Roman empire will fall , petro dollar ina impact kubwa katika uchumi wa marekani zaidi ya unavyodhani mkuu hebu imagine hiyo opec wakiweka ngumu kuuza mafuta kwa dollar , usichukulie poa mkuu Wamarekani wao wanajua jinsi makampuni yao makubwa ya exxon nk yanavyo affect uchumi wao , mkuu juhudi za mmarekani kutia kambi zake huko uarabuni ni kulinda hii petrodollar tu na si vinginevyo ,America doesn't give a **** about humanity or stuffs like those it's all about oil
bora uwaaambie mkuu na saudia kasema yeye ana influence kubwa sana kwenye muslim world ambao inturn ndio opec members wenyewe ukimtoa russia na russia mwenyewe haziivi na usa

kwa ujumla anayeshikilia vizuri petrodollar ni saudi arabia wengine waliobaki wote wameanza kuacha kutumia dollar kwenye oil trade,kama ikitokea saudia nae aka ditch dollar itakua ni hasara kubwa sana kwa USA na faida kubwa sana china
 
Saudi hawezi kumpiga mkwara USA hata siku moja. Marekani akitoa msaada wake wa kijeshi saudi mfalme anapinduliwa mara moja.


Fuatilia kwann Mumer(Ghadafi) aliuawa ndio utaelewa kuwa USA ni mtu mbaya lile vuguvugu la mapinduzi nchi za kiarabu alikuwa anatafutwa Ghadafi tu sababu ya mipango yake ya kutengeneza sarafu ya dhahabu kwa ndio iwe inatumika kwny ununuzi wa mafuta
Ndio maana tunasema USA uchumi wake unategemea sana ishu ya dollar kutumika kwa wingi duniani,nchi yeyote inayotaka kuacha kutumia dollar lazima ipigwe ila sasa hii kitu nayo ina ukomo wake wa kipigo,this time wameacha kutumia wakubwa wenzake china na russia,je ataweza kwenda kuzipiga hizi nchi?
 
Pole hao wengine wanafanya Assembly tu na hakuna bidhaa ya kielectronic inayonunulika US inayotekea Russia na china kwanza kodi yake ni kubwa pili hakuna mahitaji yake hizo zote zinazofanywa Assembly yake china na hongkong wanauza assia na Africa. kwa sababu exportation ya kutokea US mpaka bidhaa ifike africa kwa marine way gharama yake itakua kubwa kumbuka ni nchi chache africa cargo planes zinafika kwingine tunategemea meli china ni karibu na biashara zote kubwa kutoka china kuja Africa kuna mkono wa US people
mkuu unaonekana mtupu sana kwa kweli hebu naomba nitajie hata bidhaa tano tu zinatoka china kwenda marekani,hivi unadhani zile tariffs alizoweka trump kwa china kwenye bidhaa zilizokua zinatoka china zilikua ni bidhaa gani au unafikiri zilikua zinaishia kwenye bahari ya Atlantic na kutupwa humo

unaambiwa china ana trade surplus ya zaidi ya dollar billion 300 kwa USA kwa hiyo surplus hapo unafikiri anaingiza ana export maembe USA?

kabla ya kuja hapa jitahidi basi uwe una soma makala mbali mbali za kimataifa hasa za kiuchumi ila kupata walau elimu kidogo

USA is china's largest business partner na china ndio nchi inayo import bidhaa nyingi USA
 
Hizi ni fictions tu na propaganda za IMF ili China waendelee kuwekeza kwao. Yuan hii ambayo sasa hivi inashuka thamani kufuatia effects za zile US trade tariffs eti ndio iwe "Reserve Currency".!! Acheni utani bwana.
unafikiri IMF ni BOT heeeh,imf ifanye propaganda kwa ajili ya mchina ili iweje na wakati ni kibaraka mzuri tu wa marekani sema ni kwamba inafikia kipindi inawabidi kufanya hivyo kutokana na hali halisi ya uchumi wa dunia unavyoenda
 
unafikiri IMF ni BOT heeeh,imf ifanye propaganda kwa ajili ya mchina ili iweje na wakati ni kibaraka mzuri tu wa marekani sema ni kwamba inafikia kipindi inawabidi kufanya hivyo kutokana na hali halisi ya uchumi wa dunia unavyoenda
I beg to differ.
 
Saudi Arabia wameshamnyonga yule Mwandishi na bila shaka Trump analijua hilo ila tamaa ya fedha na potential lucrative business deals zinawafanya wazibe midomo yao
Lakini hawa watu si ndio ujifanya vinara wa kutetea haki za binadamu??

Juzi hapa Uingereza ilifanya usanii kwa kudai former double Agent wa Urusi alilishwa sumu,sasa nini kilifatia baada ya madai hayo potofu Trump alifukuza zaidi ya wanadiplomasia 30 wa Urusi,walishawishi Mataifa mengine ya magharibi kifanya hivyo, Trump hakuishia hapo aliwekea vikwazo Urusi kwa madai kwamba inakihuka haki za binadamu,yaani Trump anajifanya aliguswa sana na tukio hilo LA kuchonga tu kuliko Uingereza ambako jasusi alikuwa anaishi, mpaka leo Dunia haijawahi kuonyeshwa picha ya Jasusi akiwa amelazwa Hospitalini.

Sasa huyu Msaudia aliye kuwa anaishi na kufanya kazi Marekani kauwawa kikatiri kwa kutumia "CHAIN SAW" kakatwa vipande vipande ili kupoteza ushahidi, Trump anajua ukweli huo baada ya kutonywa na Uturuki lakini hapa anajifanya as if Ufalme wa Saudia hawahusiki moja kwa moja na mauuaji hayo, tukio hilo lingetokea kwenye Balozi za Syria saa hizi Trump na washiriki wake wangekuwa wamekwisha ishambulia Syria kwa kutumia ndege na makombola.
 
Ufalme unahusika moja kwa moja kwa mauuaji hayo ya kikatiri, hapa wanataka ku-blackmail Trump ili wasichukuliwe hatua kali. Nina hakika Trump atanywea kazi kukoromea Iran,Syria,Korea Kasikazini,Urusi na China hana ubavu was kuifanya lote uongozi wa Saud Arabia.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom