Saudi state-owned media warns Russia will exploit vacuum if US imposes sanctions

saudia ana nafasi kubwa sana nae yakufanya ushawishi wa usa upungue hasa kwenye dollar

maana saudia wamesema kama watawekewa vikwazo na usa,wataanza kuuza mafuta kwa kutumia yuan ya china,wataanza urafiki na iran,hamas,hezbollah na watapiga marufuku makampuni ya usa kule saudia

na vile vile wataanza kununua silaha russia na watawaruhusu kujenga military kwenye mji ambao upo karibu na red sea

kama hayo yote yakifanywa na saudia kwenye ishu ya oil trade us dollar itapoteza ushawishi kwa kiasi kikubwa mno ikizingatiwa kwamba wauzaji wote wakubwa wa mafuta duniani isipokua saudia wameanza kuacha kutumia dollar kama vile venezuela,iran,russia

hapa trump inabidi atumie busara sana kulimaliza hili suala
Nchi zooote zikiacha kutumia dollars bado US atakua strongly amini hutaki meza wembe
 
Sasa hili povu lote la nini,naona mishipa ya shingo imekusimama utafikir we ndo Trump

Tunaongea kweli mkuu....

The house of saudis ipo na inatawala sababu ya USA....sasa wafunue pua kama hapatageuka stateless kama Mogadishu!

Halafu unamtisha USA na Russia kwakweli?What a joke!

Labda uniambie China,na China is scared of USA chicken full....

Acheni kuongea as if mnaongelea vitu kama Burundi au TZ au Somalia....

UAE anagongwa sanctions na Russia harushi mguu na Wafalme wanchinjwa kama kuku na Wahabis wanachukua nchi....

Eti unamtishia US na Russia,really?

Tena kikiwaka UAE haendi US soldier,wanaenda washirika tu....au Wahabis wanapewa silaha wanachinja wafalme wote shitlessly...
 
Nchi zooote zikiacha kutumia dollars bado US atakua strongly amini hutaki meza wembe
economically hawezi ku survive watu wakiacha kutumia dollar,unajua tunavyotumia dollar we actually funding them,na ndio maana nchi yeyote ambayo ilijaribu kuacha kutumia dollar basi ilivamiwa na kupigwa na usa ikiwapo libya iraq,syria

wamarekani wanajua fika nini kitatokea dollar ikiachwa kutumika,hata zile treasury hazitanunulika sababu us dollar itakua imepoteza nguvu na kama mkuu unazungumza kitu usichokijua kabisa

na kwa sasa tunapoelekea kuna hati hati kubwa sana kwa us dollar kupoteza thamani na hatimaye uchumi wa marekani kuteteleka sababu hela kubwa ya marekani ni fiat money haiwi backed na kitu chochote na wajanja wameanza kuuza deni la marekani ikiwapo china na russia
 
economically hawezi ku survive watu wakiacha kutumia dollar,unajua tunavyotumia dollar we actually funding them,na ndio maana nchi yeyote ambayo ilijaribu kuacha kutumia dollar basi ilivamiwa na kupigwa na usa ikiwapo libya iraq,syria

wamarekani wanajua fika nini kitatokea dollar ikiachwa kutumika,hata zile treasury hazitanunulika sababu us dollar itakua imepoteza nguvu na kama mkuu unazungumza kitu usichokijua kabisa

na kwa sasa tunapoelekea kuna hati hati kubwa sana kwa us dollar kupoteza thamani na hatimaye uchumi wa marekani kuteteleka sababu hela kubwa ya marekani ni fiat money haiwi backed na kitu chochote na wajanja wameanza kuuza deni la marekani ikiwapo china na russia
Nimesoma mpaka nimesikitika, mkubwa hayo mataifa ambayo wewe unayaona kwa jicho la tatu kuwa warithi wa nafasi ya US hata hawana nguvu yoyote kifedha, kielimu, kiteknohama, kijeshi n.k.
Kwa mfano dollar iache kutumika kabisa na watu waanze kutumia Yuan haitamuathiri muamerika kabisa kivipi?
Muziki ni wake yeye.
Filamu ni zake yeye.
Computer na system zake zoote mpaka mitandao ya sim iliyoko popote duniani na sim zenyewe muamerica ndie major controller.
Ana backup ya kimungu wa Israel na mungu wao aliopo Pentagon.
Mjeruman aliikuwa mbabe wa dunia bila hata pesa yake kutumika popote, JESHI LA MAREKANI NI JESHI LA DUNIA HAJIVUNII DOLLAR KUTUMIKA DUNIANI KOTE ANAJIVUNIA STRONG ARMY.
 
Nimesoma mpaka nimesikitika, mkubwa hayo mataifa ambayo wewe unayaona kwa jicho la tatu kuwa warithi wa nafasi ya US hata hawana nguvu yoyote kifedha, kielimu, kiteknohama, kijeshi n.k.
Kwa mfano dollar iache kutumika kabisa na watu waanze kutumia Yuan haitamuathiri muamerika kabisa kivipi?
Muziki ni wake yeye.
Filamu ni zake yeye.
Computer na system zake zoote mpaka mitandao ya sim iliyoko popote duniani na sim zenyewe muamerica ndie major controller.
Ana backup ya kimungu wa Israel na mungu wao aliopo Pentagon.
Mjeruman aliikuwa mbabe wa dunia bila hata pesa yake kutumika popote, JESHI LA MAREKANI NI JESHI LA DUNIA HAJIVUNII DOLLAR KUTUMIKA DUNIANI KOTE ANAJIVUNIA STRONG ARMY.
hilo unaongea wewe ila wenyewe wakina trump wanaona kabisa china ni tishio kubwa kwao

kwani china na usa wanapishana kiasi gani kwenye uchumi wao,maana me najua china kazidiwa na usa kwenye GDP na per capita income

ujerumani alikua super power lini na kwa muda gani,taifa lolote ambalo limewahi kua superpower hela yake lazima itumike duniani kote angalia mfano ilivyokua british empire na jinsi pound ilivyokua inatumika na angalia au kasome mkakati uliofanywa ili british pound iondoke kama global reserve na ilikuchukua zaidi ya miaka 100 kufanya hivyo

hizo bidhaa zote za marekani kuanzia simu mpaka chupi mbona zinatengenezwa china

unaweza kua na strong army lakini usiwe na uchumi mkubwa vile vile
 
Nimesoma mpaka nimesikitika, mkubwa hayo mataifa ambayo wewe unayaona kwa jicho la tatu kuwa warithi wa nafasi ya US hata hawana nguvu yoyote kifedha, kielimu, kiteknohama, kijeshi n.k.
Kwa mfano dollar iache kutumika kabisa na watu waanze kutumia Yuan haitamuathiri muamerika kabisa kivipi?
Muziki ni wake yeye.
Filamu ni zake yeye.
Computer na system zake zoote mpaka mitandao ya sim iliyoko popote duniani na sim zenyewe muamerica ndie major controller.
Ana backup ya kimungu wa Israel na mungu wao aliopo Pentagon.
Mjeruman aliikuwa mbabe wa dunia bila hata pesa yake kutumika popote, JESHI LA MAREKANI NI JESHI LA DUNIA HAJIVUNII DOLLAR KUTUMIKA DUNIANI KOTE ANAJIVUNIA STRONG ARMY.
hujui unalo liongea kuhusu dollar inaonekana ni mweupe sana kwenye masuala ya uchumi na fedha

marekani pale alipo kinacho mbeba kwa kiasi kikubwa na matumizi ya dollar duniani kote na hapa waty wachumi wananielewa ninalolizungumza
 
hujui unalo liongea kuhusu dollar inaonekana ni mweupe sana kwenye masuala ya uchumi na fedha

marekani pale alipo kinacho mbeba kwa kiasi kikubwa na matumizi ya dollar duniani kote na hapa waty wachumi wananielewa ninalolizungumza
Aiseee inaweza kweli lolote kuhusu economics ila najua vingi mno kuhusu history ya US ninaelewa kafikaje hapo na hatokaa atoke kwanini.
 
hilo unaongea wewe ila wenyewe wakina trump wanaona kabisa china ni tishio kubwa kwao

kwani china na usa wanapishana kiasi gani kwenye uchumi wao,maana me najua china kazidiwa na usa kwenye GDP na per capita income

ujerumani alikua super power lini na kwa muda gani,taifa lolote ambalo limewahi kua superpower hela yake lazima itumike duniani kote angalia mfano ilivyokua british empire na jinsi pound ilivyokua inatumika na angalia au kasome mkakati uliofanywa ili british pound iondoke kama global reserve na ilikuchukua zaidi ya miaka 100 kufanya hivyo

hizo bidhaa zote za marekani kuanzia simu mpaka chupi mbona zinatengenezwa china

unaweza kua na strong army lakini usiwe na uchumi mkubwa vile vile
OMG bidhaa za america zinatengenezwa wapi?? Acha kukurupuka china wanafanya assembling tu na china wanatumika kama dustbin hakuna muamerica anaetumia bidhaa ya kielectrinic toka china.
Kasome history ya Germany.
Mchina hayupo hata kwenye G7 uje unambie hapa anamkaribia mmarekani sema Japan si china
 
soma hii link vizui ya businessinsider may be utaelewa kwa nini marekani itaendelea kupambana kufa na kupona ila us dollar iendelee kutumika kama world reserve currency na kwenye international trade

ndio maana marekani anakua hana limit za kukopa,yeye anakopa tu na ndio kwa sasa nchi yenye deni kubwa zaidi duniani sasa kama ikitokea dollar imeanza kupoteza dominance yake basi ujue hapa marekani hatakua hakopesheki na hatoweza kufund mambo yake ya msingi viwanda vyenyewe kavipeleka china,uzalishaji wake ni mdogo sana ndani ya marekani

na kunako elekea USA itakua haikopesheki kama deni lake litafika 92%ya GDP yake na kuendelea maana kwa sasa wanadaiwa 21 trillion dollars na wanazilipa kwa hizo fiat money sasa je siku ikitokea dominance ya dollar imepoteza nguvu jua kabisa hatokopesheka na itakua na huge impact kwenye usa economy
 
Samahani mkuu, unaelewa maana ya G7.?
Unajua chanzo chake.?
Unajua kwanini China hayupo.?
OMG bidhaa za america zinatengenezwa wapi?? Acha kukurupuka china wanafanya assembling tu na china wanatumika kama dustbin hakuna muamerica anaetumia bidhaa ya kielectrinic toka china.
Kasome history ya Germany.
Mchina hayupo hata kwenye G7 uje unambie hapa anamkaribia mmarekani sema Japan si china
 
unadhani nini zitakuwa sababu za US kushuka ushawishi, na ushawishi huo uhamie Russia au China.
Huoni kama hao jamaa wameweka mizizi kila kona au ni propaganda tunalishwa na media zao.
Congrats. wewe ni great thinker. Hizi ni propaganda na kuuhadaa ulimwengu. In fact, Saudia iko stable kwa sababu ya Marekani. Without US, Saudia is nothing. Nchi kama Russia haiko stable kuihakikishia usalama Saudi Arabia kwani licha ya kuwa Permanent member wa UN security Council, bado US inamwekea sanction Russia na vikwazo hivyo vinafanya kazi. Hakuna nchi nyingine yoyote inayoweza kumwekea vikwazo US vikafanya kazi...Not now, not ever!
 
Congrats. wewe ni great thinker. Hizi ni propaganda na kuuhadaa ulimwengu. In fact, Saudia iko stable kwa sababu ya Marekani. Without US, Saudia is nothing. Nchi kama Russia haiko stable kuihakikishia usalama Saudi Arabia kwani licha ya kuwa Permanent member wa UN security Council, bado US inamwekea sanction Russia na vikwazo hivyo vinafanya kazi. Hakuna nchi nyingine yoyote inayoweza kumwekea vikwazo US vikafanya kazi...Not now, not ever!
na russia wamepigwa biti wasijenge bomba la gesi kwenda ujerumani. Na kama haitoshi Ujerumani pqmoja na kuwa superpower kwa ulaya imepigwa mkwara wa kuwekewa vikwazo wakikubali huo mradi.
kwa ufupi huwa naona kama Russia na US sio maadui, ila Russia bado ni puppet wa US ili kuonyesha balance of power kidogo duniani. Mfano Syria waliambiwa kupitia channel maalumu ya siri waamishe mitambo yao ya kijeshi maeneo ambayo US wangeshambilia. Hatukuona Mrusi kafa, au S300 likitungua ndge za US kama Putin alivyoduzuga.

Badala yake assad na wairan wake wakaoga mabomu,
 
Watu wengi hamjui nguvu ya Mmarekani iko kwenye Petro dollar na mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani ni msaudi absence of Petrodollar ni kifo kwa marekani na hili hata manguli wa uchambuzi wa social - economic and political dynamics za ulimwengu kama akina Noam Chomsky wamelitabili tangu miaka ya themanini whether we like it or not the American empire will face it's own demise , nothing last forever ........muda utaongea , kifo cha marekani kitakuwa ni foreign policies zake ambazo kwa kiasi kikubwa zinapingwa na zimefail kwa kiwango kikubwa na sababu ni utegemezi wa biashara ya mafuta ili kuboost thamani ya dollar ya kimarekani na ndio maana nchi nyingi zimevamiwa na viongozi kuuliwa , kisa kilikuwa ni kulinda huo uhusiano ( Petrodollar ) Libya , Iraq n.k hawa wote walitaka kutouza mafuta kwa dollar na hii ilikuwa inainmplicate huge devastastation kwa dollar

Wadau msomeni huyu nguli ( Noam Chomsky ) na vitabu vyake
https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjACegQICBAB&usg=AOvVaw30yMiXOt41phAtZyU6VSuJ

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjADegQIBxAB&usg=AOvVaw1Eq4IE7kDhrTlcg6qa_4JA

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAEegQIAxAB&usg=AOvVaw0cSUdZ9rhk4ySTCgRR_yeU

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAFegQIABAB&usg=AOvVaw2xJoSTDKMmRZM4KSIDWYS2

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAGegQIBBAB&usg=AOvVaw3L9k_o5rxmGU-6npRwtO-Y

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAIegQIAhAB&usg=AOvVaw2ehJqC_xbnXUlgMl1qdwIm

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAKegQIBRAB&usg=AOvVaw3Y5kew8nsC51OvS2yf9lsf

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjALegQIBhAB&usg=AOvVaw1WKFNUlUoJRyNXRHiNuyQf

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjANegQICBAB&usg=AOvVaw0Jt3pPRvOiQnZCcImDsynO

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAOegQIBBAB&usg=AOvVaw0VjnLuh05mPAPNYMToq8tz

https://www.google.com/url?sa=t&sou...FjAPegQIAxAB&usg=AOvVaw3xbnK37weXN9-BaqX2C55p

Mnaweza kudownload vitabu vya huyu mtaalamu kwa kupitia hizo link , someni hizo nondo zenye uchambuzi wa kina kuhusu foreign policies za marekani na issue critical mbalimbali zinazoaffect ulimwengu
 
soma hii link vizui ya businessinsider may be utaelewa kwa nini marekani itaendelea kupambana kufa na kupona ila us dollar iendelee kutumika kama world reserve currency na kwenye international trade

ndio maana marekani anakua hana limit za kukopa,yeye anakopa tu na ndio kwa sasa nchi yenye deni kubwa zaidi duniani sasa kama ikitokea dollar imeanza kupoteza dominance yake basi ujue hapa marekani hatakua hakopesheki na hatoweza kufund mambo yake ya msingi viwanda vyenyewe kavipeleka china,uzalishaji wake ni mdogo sana ndani ya marekani

na kunako elekea USA itakua haikopesheki kama deni lake litafika 92%ya GDP yake na kuendelea maana kwa sasa wanadaiwa 21 trillion dollars na wanazilipa kwa hizo fiat money sasa je siku ikitokea dominance ya dollar imepoteza nguvu jua kabisa hatokopesheka na itakua na huge impact kwenye usa economy
kuna points hapa. nimeona wanasema watapandisha bei ya mafuta kwa 200$, alafu watahamia kwenye chinese Yuan na kupiga chini petro dollar. hii ngoma inahitaji akili maana kila hatua inakula kwa mtu.
cc
yonga
 
Back
Top Bottom