Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,205
- 33,224
undefinedTrump kamtuma waziri pompei kwenda kuongea na King Salman,undefinednadhani wanakwenda kumpoza hasira kidogo na kumwambia hawana mpango wa kumwekea vikwazo,undefinedsasa mwezi ujao ni uchaguzi kule marekani na Trump anaweza kujiroga asipochukua hatua na kama kutatokea ushahidi mwingineDunia bwana inachekesha kweli,huku China kampoteza interpol,huku Saudis kampoteza mwandishi,kwingine asiyejulikana kampoteza muhindi.basis dunia tafarani bora hata mbugani kuna amani.