Saudi Arabia: Nani anayeweza kuamini hili?

trachomatis

JF-Expert Member
Jun 7, 2011
3,758
735
Jamani nadhani kila mmoja anajua the Biggest Exporter wa Mafuta Duniani ni Saudia. Na kwamba King Abdullah[?] aliwahi kuwa Top Three ya Richest Man of the World nyuma ya Gates, nafikiri na Murdock.
Huwezi kuamini 70% wanaogelea kwenye umasikini kama wa dunia ya tatu! Hawana uhakika wa kula,mavazi na hata pa kulala panasikitisha mno! Imefikia hatua raia wengi kujitumbukiza kwenye biashara haramu ya madawa ya kulevya! Kwa kuwa sheria ni kali unapogundulika unafanya biashara hiyo,kwa sasa wanatumia watoto ambao nao wanachangamkia kutokana na kipato kinachowasaidia wao wenyewe na familia zao! Source: Press TV [IRAN]
 
Unapoona kibatari kinawaka basi ujue mafuta yanateketea mkuu. Hiyo ni kanuni ya kawaida kabisa. Wakoloni walipokuwa wanatutawala, mababu zetu wengi walikuwa wanakufa kwa mateso toka kwa wakoloni huku wao wakiendelea kwao ulaya.
 
unajua kuna vita baridi kati ya Iran na utawala wa kifalme wa saud Arabia... sababu saud Arabia ni rafiki wa USA na Iran ni adui na pia saud Arabia ana wa support watawala wa li Sunni wa Bahrain while Iran ipo upande wa wapinzani wa kishia...

conclusion - since hiyo habari imetoka Iran siiamini...
 
beggars.jpg


Thanks for the post. There are lot of beggars and homeless people there. And yes, I am talking about Saudis here; not expats in the Kingdom. Homelessness is not something that is widely discussed or publicized but it does exist in the Saudi Arabia. Oftentimes one can go to one of the local Tamimi (Safeway) grocery stores and see a Saudi national (male or female) who may be begging for his or her family. There are also areas in Mecca where groups of homeless Saudis have created tent cities underneath overpasses for they have nowhere else to go.
 
True, kule nasikia Wabangladeshi wanalala nje, hali ni mbaya sana kule.
 
wakuu saudi kuna ubaguzi wa kazi kama zilipo nchi nyingi.saudi wana nafasi nyingi za kazi lkn wao kipaombele wanachukua wenyeasil ya ki saudi yani watu wa hijaz na riyadh.watu humiminika toka nchi nyingi nakutegemea kupata kazi.na wengine wanatumia viza za dini kufanya biashara.nitabu sana kupata kazi nzuri kama wewe sio rai pale.labda uwe unajua lugha zaidi ya mbili ikiwemo kiarabu na kizungu.

mtu kuvaa kilemba na kanzu hawi msuudi,kama ilivyo mtu kuvaa suti hawi mzungu.wengi omba omba mitaani ni wenye asili ya kiafrika na bangladesh,hii inatokea sana pindi watu wanapo enda kuhiji hukataa kurudi na kukimbia na kutegemea kupata kazi,mwisho wake anakuwa omba omba.

wengi sio rai pale wengi ni wahindi bangladesh indonesia misri yemen syria iraq sudan na algeria.na serikali haiwatambui vizuri kwenye haki zao.

lkn wakuu kule maisha bei rahisi sanaaaaa.(kama unakazi au mtaji)
 
unajua kuna vita baridi kati ya Iran na utawala wa kifalme wa saud Arabia... sababu saud Arabia ni rafiki wa USA na Iran ni adui na pia saud Arabia ana wa support watawala wa li Sunni wa Bahrain while Iran ipo upande wa wapinzani wa kishia...

conclusion - since hiyo habari imetoka Iran siiamini...
Na ndiyo maana nikaipost hii thread,kwa mawazo mbalimbali kutoka kwa Great Thinkers. Asante kwa input yako,ngoja tuangalie na wengine. Kwenye mambo kama haya kuweka source ya information.
 
beggars.jpg


Thanks for the post. There are lot of beggars and homeless people there. And yes, I am talking about Saudis here; not expats in the Kingdom. Homelessness is not something that is widely discussed or publicized but it does exist in the Saudi Arabia. Oftentimes one can go to one of the local Tamimi (Safeway) grocery stores and see a Saudi national (male or female) who may be begging for his or her family. There are also areas in Mecca where groups of homeless Saudis have created tent cities underneath overpasses for they have nowhere else to go.
Thanks for inputs. Now I get the picture. Maybe there is something wrong somewhere.. I believe it is hard to believe to many of us though.. Thanks a lot.
 
Achahasira na takwimu nyingine wametoa kuwa penye Wasaudi watano,mmoja ni masikini kabisa, asiyejiweza kwa mlo,makazi,mavazi.
 
Achahasira na takwimu nyingine wametoa kuwa penye Wasaudi watano,mmoja ni masikini kabisa, asiyejiweza kwa mlo,makazi,mavazi.
 
beggars.jpg


Thanks for the post. There are lot of beggars and homeless people there. And yes, I am talking about Saudis here; not expats in the Kingdom. Homelessness is not something that is widely discussed or publicized but it does exist in the Saudi Arabia. Oftentimes one can go to one of the local Tamimi (Safeway) grocery stores and see a Saudi national (male or female) who may be begging for his or her family. There are also areas in Mecca where groups of homeless Saudis have created tent cities underneath overpasses for they have nowhere else to go.
Thanks for inputs. Now I get the picture. Maybe there is something wrong somewhere.. I believe it is hard to believe to many of us though.. Thanks a lot.
 
Source: Press TV [IRAN]

Well said

unajua kuna vita baridi kati ya Iran na utawala wa kifalme wa saud Arabia... sababu saud Arabia ni rafiki wa USA na Iran ni adui na pia saud Arabia ana wa support watawala wa li Sunni wa Bahrain while Iran ipo upande wa wapinzani wa kishia...

conclusion - since hiyo habari imetoka Iran siiamini...
 
Nakubali, saudi arabia wanawake hawaruhusiwi kufanya kazi, assume they make 50 % of population, na wanaume wanaofanya kazi , more than 20% ni wageni, western fill most of the professional vacancy and Indianz wit third world country workers goes for unskilled area. the rest are saudiz.
 
beggars.jpg


Thanks for the post. There are lot of beggars and homeless people there. And yes, I am talking about Saudis here; not expats in the Kingdom. Homelessness is not something that is widely discussed or publicized but it does exist in the Saudi Arabia. Oftentimes one can go to one of the local Tamimi (Safeway) grocery stores and see a Saudi national (male or female) who may be begging for his or her family. There are also areas in Mecca where groups of homeless Saudis have created tent cities underneath overpasses for they have nowhere else to go.
Thanks for inputs. Now I get the picture. Maybe there is something wrong somewhere.. I believe it is hard to believe to many of us though.. Thanks a lot.
 
Jamani nadhani kila mmoja anajua the Biggest Exporter wa Mafuta Duniani ni Saudia. Na kwamba King Abdullah[?] aliwahi kuwa Top Three ya Richest Man of the World nyuma ya Gates, nafikiri na Murdock.
Huwezi kuamini 70% wanaogelea kwenye umasikini kama wa dunia ya tatu! Hawana uhakika wa kula,mavazi na hata pa kulala panasikitisha mno! Imefikia hatua raia wengi kujitumbukiza kwenye biashara haramu ya madawa ya kulevya! Kwa kuwa sheria ni kali unapogundulika unafanya biashara hiyo,kwa sasa wanatumia watoto ambao nao wanachangamkia kutokana na kipato kinachowasaidia wao wenyewe na familia zao! Source: Press TV [IRAN]
Bora iwe hivyo kwa sababu wale waliokuwa wanatoa mafuta machache lakini wakayatumia vizuri kuwahudumia watu, wakawapa kila kitu, mwisho tumeona wakiuawa kikatili na maiti zao kudhalilishwa na hatimaye kuzikwa kwa aibu jangwani. (Qaddaffi). Saudia Arabia itaendelea kuwa nchi ya amani licha ya watu wake kuishi kwa shida. Amani ya nchi hiyo itavurugika tu siku viongozi watakaposema mafuta ya saudia ni kwa ajili ya wasaudia, Kama alivyowahi kusema Qaddaffi mafuta ya Libya ni kwa ajili ya walibya.
 
beggars.jpg


Thanks for the post. There are lot of beggars and homeless people there. And yes, I am talking about Saudis here; not expats in the Kingdom. Homelessness is not something that is widely discussed or publicized but it does exist in the Saudi Arabia. Oftentimes one can go to one of the local Tamimi (Safeway) grocery stores and see a Saudi national (male or female) who may be begging for his or her family. There are also areas in Mecca where groups of homeless Saudis have created tent cities underneath overpasses for they have nowhere else to go.

Nilibahatika kuwaona "beggars" wa Saudi Arabia. Mwanamke kajaza bangili za dhahabu mikononi, ambazo kwetu hapa thamani yake hukosi nyumba. Anaomba. Nikashangaa.

Beggars wapo lakini jamani, si wa kawaida.
 
The Eastern Province police said that they were able to arrest 75 beggars 44 Saudis and 31 foreigners.


The beggar showing his disguise - Al Yawm

An Arab man who disguised himself as a woman to beg for money in Saudi Arabia has been arrested.


According to Saudi daily Al Yawm, the man fooled people who gave him money generously for five months before a special police unit arrested him in Khobar, in the eastern part of Saudi Arabia.

Beggar disguised as woman arrested in Saudi Arabia | Habib Toumi


 
unajua kuna vita baridi kati ya Iran na utawala wa kifalme wa saud Arabia... sababu saud Arabia ni rafiki wa USA na Iran ni adui na pia saud Arabia ana wa support watawala wa li Sunni wa Bahrain while Iran ipo upande wa wapinzani wa kishia...

conclusion - since hiyo habari imetoka Iran siiamini...
unayosema wewe nikweli tupu hawa wairani ni waongo wakubwa sana pia ni propaganda zao tu,sababu kuu nikuwa saudia nirafiki mkubwa wa usa na iran ni adui mkubwa wa usa,hakuna muuza madawa yakulevya hata 1 ktk saudia ukikamtwa unakatwa kichwa,pia kuhusu umaskini huo niuongo mkubwasanasana,saudia chakula beiyake nikama bure,na mshahara ni mzuri sana,ktk nchi za kiarabu yakwanza kwa maisha bora ni u.a.e ikiwemo dubai,sharjah,abudhabi na ajman nimuungano wa united arab emirates,yapili ni kuwait naya 3 kwaubora wamaisha kwaraia wake ni saudia,hawa wairan ni mabulushi na mashia ndio nduguze narostam niwakuogopa sana kwa uzushi na umafia.
 
Hizi sio tuhuma za leo ni siku nyingi sana, nakumbuka Marehem Mfalme Fahd alijibu: "Ikiwa kuna maskini wa kuomba omba Msaudi, basi huyo itakuwa si mzima au ni mvivu kupita kiasi".

Nakubali maneno yake kwani Wasaudi wote, nyumba bure, kusoma bure na kama huna uwezo wa kula unakwenda jiandikisha "Bait l'mal" na unapewa mshahara kila mwezi.

Wengi wa wanaoomba Saudia wanakuwa si Wasaudi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom