Saudi Arabia: Nani anayeweza kuamini hili?

Saudi Arabia: Nani anayeweza kuamini hili?

minaona tatizo ni neno hili MSUUDI,mimi nilipo ishi muda mchache kule.nimeona wazi kabisa tofauti ya msaudi na mtu wa nchi nyingine.msaudi ni raia wa saudi arabia.anapewa vitu vingi sana bure na serikali yao.mamangu alikuwa analipwa na serikali alipokuwa anasoma shule.kiasi cha 300000 za tz kila mwezi.mtu anayeishi kule ha qualify kuwa msuudi moja kwa moja.mfano nilikutana na omba omba wengi lkn wanaongea kiarabu cha kisuudi wana tabia za kisuudi lkn SIO wasuudi.kwa mtu ambaye haijuwi hii nchi vizuri atasema,suudi kuna omba omba wengi kumbe ni kinyume.

naamini wakuu mumenipata
 
Achahasira na takwimu nyingine wametoa kuwa penye Wasaudi watano,mmoja ni masikini kabisa, asiyejiweza kwa mlo,makazi,mavazi.

tuweke takwimu hizo mkuu tufaidike wote.

sio kila mtu anayeishi saudia ni msuudi
 
Nakubali, saudi arabia wanawake hawaruhusiwi kufanya kazi, assume they make 50 % of population, na wanaume wanaofanya kazi , more than 20% ni wageni, western fill most of the professional vacancy and Indianz wit third world country workers goes for unskilled area. the rest are saudiz.

mkuu aliyekuambia wanawake hawaruhusiwi ni nani? kazi zipo kama kawaida tena huwa kuna sekta fulani wanapendelewa.
 
It seems most of replies are driven by "udini" especially from our friends who idolizes the concerned people, you know what I mean and who are they.

Is this thread talking about Beggars in Saudi Arabia or Saudi Arabians beggars?

If Saudi is that rich rich, why are there so many beggars in the streets of Saudi Arabia? Don't give that ... ooh they are not Saudis .... oooh they are foreigners, don't give me that. If that is the option then, Saudis are racist.
 
It seems most of replies are driven by "udini" especially from our friends who idolizes the concerned people, you know what I mean and who are they.

Is this thread talking about Beggars in Saudi Arabia or Saudi Arabians beggars?

If Saudi is that rich rich, why are there so many beggars in the streets of Saudi Arabia? Don't give that ... ooh they are not Saudis .... oooh they are foreigners, don't give me that. If that is the option then, Saudis are racist.

i can judge you by your ID,jew .......

read carefully....america the richest country in the world .......9% is unemployed and 15% is living under 1.5 usd per day. ......even though saudi is rich ,they cannot just give money to everone in the street.

tatizo unaonekana mbishi.naomba tafuta idadi ya omba omba saudia na marekani na tz yetu alafu tu compare.hakuna nchi inatoa mali hovyo hovyo.mali zinabidi zitengeneze kazi.wewe ukimpa 500 mtu kila siku haiwezi kumsaidia.mpe 1m hapo ndio utamtoa kwenye ugumu wa masiha.

wengi wanabaki huko baada ya hija na kuishia kuomba. serikali yao inajitahidi kutengeneza kazi ilikupunguza na wengine wanarudishwa kwao.
 
It seems most of replies are driven by "udini" especially from our friends who idolizes the concerned people, you know what I mean and who are they.

Is this thread talking about Beggars in Saudi Arabia or Saudi Arabians beggars?

If Saudi is that rich rich, why are there so many beggars in the streets of Saudi Arabia? Don't give that ... ooh they are not Saudis .... oooh they are foreigners, don't give me that. If that is the option then, Saudis are racist.

I agree with you, Saudis are racists, who is not?
 
minaona tatizo ni neno hili MSUUDI,mimi nilipo ishi muda mchache kule.nimeona wazi kabisa tofauti ya msaudi na mtu wa nchi nyingine.msaudi ni raia wa saudi arabia.anapewa vitu vingi sana bure na serikali yao.mamangu alikuwa analipwa na serikali alipokuwa anasoma shule.kiasi cha 300000 za tz kila mwezi.mtu anayeishi kule ha qualify kuwa msuudi moja kwa moja.mfano nilikutana na omba omba wengi lkn wanaongea kiarabu cha kisuudi wana tabia za kisuudi lkn SIO wasuudi.kwa mtu ambaye haijuwi hii nchi vizuri atasema,suudi kuna omba omba wengi kumbe ni kinyume.

naamini wakuu mumenipata
Nimekupata. Na kuna ndugu yangu yeye ni Eng wa ujenzi. Aliwahi kufanya kazi Riyadh. Kanieleza hivyohivyo.
 
I agree with you, Saudis are racists, who is not?

Hahahaa... I think a good government should be responsible for the wellbeing of its citizens. And that is good governance. Hatuhitaji wageni kama wachina ama wazungu tukutane nao mitaani wakiombaomba. Wanajaza tu miji yetu. Tunataka mgeni aje afanye kazi,alipe kodi, na lazima ajulikane na atambulike kama expert ama,na alipie zile yearly dues za kuishi nchini. Tunataka wawekezaji na experts NOT IMMIGRANTS. Vinginevyo hata huko Saudia wawarudishe makwao. That's my view.
 
wakuu saudi kuna ubaguzi wa kazi kama zilipo nchi nyingi.saudi wana nafasi nyingi za kazi lkn wao kipaombele wanachukua wenyeasil ya ki saudi yani watu wa hijaz na riyadh.watu humiminika toka nchi nyingi nakutegemea kupata kazi.na wengine wanatumia viza za dini kufanya biashara.nitabu sana kupata kazi nzuri kama wewe sio rai pale.labda uwe unajua lugha zaidi ya mbili ikiwemo kiarabu na kizungu.

mtu kuvaa kilemba na kanzu hawi msuudi,kama ilivyo mtu kuvaa suti hawi mzungu.wengi omba omba mitaani ni wenye asili ya kiafrika na bangladesh,hii inatokea sana pindi watu wanapo enda kuhiji hukataa kurudi na kukimbia na kutegemea kupata kazi,mwisho wake anakuwa omba omba.

wengi sio rai pale wengi ni wahindi bangladesh indonesia misri yemen syria iraq sudan na algeria.na serikali haiwatambui vizuri kwenye haki zao.

lkn wakuu kule maisha bei rahisi sanaaaaa.(kama unakazi au mtaji)

Ni fitna ya irani tu!
 
Hahahaa... I think a good government should be responsible for the wellbeing of its citizens. And that is good governance. Hatuhitaji wageni kama wachina ama wazungu tukutane nao mitaani wakiombaomba. Wanajaza tu miji yetu. Tunataka mgeni aje afanye kazi,alipe kodi, na lazima ajulikane na atambulike kama expert ama,na alipie zile yearly dues za kuishi nchini. Tunataka wawekezaji na experts NOT IMMIGRANTS. Vinginevyo hata huko Saudia wawarudishe makwao. That's my view.

Kama kuna nchi ambayo ina jela za illegal immigrants pekee na wanavyokuwa deported kwa wingi basi hakuna zaidi ya Saudia.

Wanakuwa deported in hundreds if not thousands kila siku ipitayo.
 
i can judge you by your ID,jew .......

read carefully....america the richest country in the world .......9% is unemployed and 15% is living under 1.5 usd per day. ......even though saudi is rich ,they cannot just give money to everone in the street.

tatizo unaonekana mbishi.naomba tafuta idadi ya omba omba saudia na marekani na tz yetu alafu tu compare.hakuna nchi inatoa mali hovyo hovyo.mali zinabidi zitengeneze kazi.wewe ukimpa 500 mtu kila siku haiwezi kumsaidia.mpe 1m hapo ndio utamtoa kwenye ugumu wa masiha.

wengi wanabaki huko baada ya hija na kuishia kuomba. serikali yao inajitahidi kutengeneza kazi ilikupunguza na wengine wanarudishwa kwao.

Yes I am Jew and am proud of it.

I gave you vivid exhibit from Saudi Arabia. The issue here is why incarcerate beggars? The numbers of poor people in Saudi is so much higher compared to the USA.
 
Hapa kuwa watu wana hasira wacha hasira. Ukisema ndugu zao, basi utawaona hapa.
 
Jews are not.

Umeandika post nyingi sana za Udini kuhusu Waislamu. Mie nilijua ni watu wengine ndiyo wachokozi; kumbe nyie Wayahudi ndiyo mnashangilia haya mambo ya chuki za Kidini.

Wewe kama Myahudi kwa nini unapoteza muda wako mwingi kuzungumzia article zinahosu nchi za Kiislamu au Waislamu?
 
Yes I am Jew and am proud of it.

I gave you vivid exhibit from Saudi Arabia. The issue here is why incarcerate beggars? The numbers of poor people in Saudi is so much higher compared to the USA.

najiuliza where do u get your information. nashanga unaposema saudi ana namba nyingi ya ombaomba.....

simple calculation 15% of america is poor. total america popul. is 320,000,000.so the poor are 48,000,000.

saudi arabia

total popul. 28,000,000

poor 10%.so the poor are 2,800,000

sasa wewe unaonaje nani kazidi,basi hata ki percentage bado.

israel total popul. 7,800,000
underpoverty line 24% 1,872,000
 
Umeandika post nyingi sana za Udini kuhusu Waislamu. Mie nilijua ni watu wengine ndiyo wachokozi; kumbe nyie Wayahudi ndiyo mnashangilia haya mambo ya chuki za Kidini.

Wewe kama Myahudi kwa nini unapoteza muda wako mwingi kuzungumzia article zinahosu nchi za Kiislamu au Waislamu?

I am surrounded by you guys. I have never seen any good thing coming from you guys. Just look at your self, remember this: Iran?


The Iran-Iraq War
 
Back
Top Bottom