Nafahamu vizuri sana dictatorship ilianza Ulaya na Founder wake ni BENITO MUSOLIN alikuwa kiongozi wa Italia kisha Adolf Hitler akakopi kutoka kwake akaanzisha mfumo unaoitwa NAZISM aliukopi mfumo wa FASCISM ambao ndio ulianzishwa na Musolini
Ugaidi hauna Exactly definition maana huwa unaelezewa kulingana na Itikadi tofauti ziliwa zimebase ktk Siasa, Dini, na Ideologia nyinginezo kwaiyo Ugaidi ulitaka kuotolea maana ina bidi uwe specific unabase ktk Itikadi gani maana kuna jambo wewe kulingana na mfumo wako wa Dini unaona ni Ugaidi lakini kwa Dini nyingine inakuwa sio Ugaidi