Kwaio idd amin dada nae alikuwa gaidi..?Kipimo chenu nyinyi huwa mnaangalia Muislam akiua mnasema huyo ni gaidi lakini hata Adolf Hiltler naye alikuwa akiuwa Jews ktk Detention Camps zake alikuwa akikata mikono na miguu akiwa chinja alikuwa akiwauwa atakavyo lakini utasikia alikuwa ni Dictator na sio gaidi kwasababu tu ni Kafiri mwenzenu!!
Mkuu kwa nini usitiririke zaidi?una compare Vatican na vitu vya kijinga.
Makka haisimami bila Mtawa mmoja jina Bi khadija ,spy aliyetumwa na kanisa catholic kuupika (reform) uislamu .
akiuua wanaume watatu kabla ya kuolewa na mtume.akiwa ndiye master plan ya safari zote za mtume.
Safari za kujifunza elimu ghali kwa wasabaeans.
leo wewe una thubutu kulishusha hadhi kanisa Catholic .kanisa lililo financial uislamu.
utakuwa zoba wewe.
Usikae pembeni mkuu,tiririka unachofahamu,this is serious allegationaisee hiki ulicho anzisha ngoja nikae zangu tu pembeni mapemaaaa!!!!!
Mbona hamtaki kutiririka?Hili mbona lipo wazi mkuu? Mimi nilikuja kulifahamu hili kwenye miaka ya 80 hivi.
Kanisa linalazimisha mgeni wakike kuvaa nguo mikono mirefu na kufunika kichwaNafikiri aliamua tu kuvaa hivyo siku hiyo kwa sababu hata kanisa haijamlazimisha kama ambavyo hajalazimishwa Saudi Arabia
Akikutana na papaNafikiri aliamua tu kuvaa hivyo siku hiyo kwa sababu hata kanisa haijamlazimisha kama ambavyo hajalazimishwa Saudi Arabia
lengo la kwanza la crusade ilikuwa ni kuukamata mji wa jerusalem,Crusade war n'jomba ilikuwa vita ndiyo lakini ilikuwa ni vita kwa ajili ya kujilinda au "defensive war" na haikuanzishwa na wakristo, vilisababishwa na wavamizi wa kutoka mashariki ya kati kwa maana ya waarabu na waislamu waliotaka kuiteka na kuibadilisha ulaya wakianzia na nchi zilizo pakana na Mediterranean, sasa labda nikuulize tu hata wewe unapovamiwa na wahuni nyumbani kwako wewe ukae kimya tu ukikunja mikono kuruhusu kichapo ilihali una uwezo wa kupigana???
lengo la kwanza la crusade ilikuwa ni kuukamata mji wa jerusalem,Crusade war n'jomba ilikuwa vita ndiyo lakini ilikuwa ni vita kwa ajili ya kujilinda au "defensive war" na haikuanzishwa na wakristo, vilisababishwa na wavamizi wa kutoka mashariki ya kati kwa maana ya waarabu na waislamu waliotaka kuiteka na kuibadilisha ulaya wakianzia na nchi zilizo pakana na Mediterranean, sasa labda nikuulize tu hata wewe unapovamiwa na wahuni nyumbani kwako wewe ukae kimya tu ukikunja mikono kuruhusu kichapo ilihali una uwezo wa kupigana???
Get to know mafundisho ya kiislam kuanzia kuanzishwa kwake.Ninacho Amini mm Ugaidi ni Itiqad ya Mtu anaweza akawa ni Muislam /Mkristo hakuna dini inayofungamana na Fikra hizi za Kigaidi
Kwamfano Uislam ni dini ambayo iko mbali na Fikra za Kigaida sema watu wengi hawafahamu Mafundisho sahihi ya Uislam wao wanawaangalia Makundi Potezu kama Alshabaab , Boko Haram & ISIS hayo Makundi yako mbali na Mafundisho ya kiislam haya ni makundi ya watu wahuni na Waovu wanaofanya Ufisadi katika Ardhi kwasababu ya Ujinga walionao hawaja Soma Dini ni watu wajinga Hawana Hata Wanachuoni ( Islamic Scholars) wanao waunga mkono Bali hawa ndio wanaotoa Image Mbaya ya Uislam lakini Uislam uko Mbali kabisa na Makundi hayo
Mfano Mwingine Kule Africa ya Kati kuna kikundi Kinaitwa ANT-BARAKA hiki ni kikundi cha Kigaidi kinacho endeshwa na Wakristo Je kwakuchukulia Matendo yanayofanywa na Ant-Baraka na sisi tuseme Ukristo ni Dini ya Kigaidi?
Kulingana na kanisa mahalia kama tz utamadun wetu n tofaut na ulayaKanisa linalazimisha mgeni wakike kuvaa nguo mikono mirefu na kufunika kichwa
Mimi ni nani hata nimchukie mwingine?!
Unaweza kuniambia kwa nini MAGAIDI huitumia dini hii kama PANGO lao?!