FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,777
Anataka kuunga unga maneno ili naye aitwe mwarabu,kwamba 'Msta ARABU' hiyo ARABU ndiyo imeshampa haki ya ku-copy mpaka rangi yao.
Nnaona unarukaruka, Wewe ni mstaarabu au huna ustaarabu?
Nani alikudanganya Uarabu ni Rangi?
