Vyovyote inaweza kuwa sawa,mstaarabu au siyo mstaarabu nachotaka kujua mimi kuwaje wewe mmatumbi Mtanzania kujiita mwarabu?
Well...Nyerere alikuwa sawa,binadam wote ni sawa it mean wote tumezaliwa na wote tutakufa no matter ni mwarabu,mchina mzungu mwafrika wote sisi chanzo chetu ni kimoja na mwisho wetu ni mmoja ila kusema kwake Africa ni moja alimaanisha pamoja na mengine kwamba sisi sote ni weusi sasa wewe sera ya kwamba Tanzania au Africa kuna mwarabu mweusi umeitoa wapi?
Alichokuzawadia mwarabu ni dini tu sasa mahaba yako kwake yanakupelekea hata unaikana asili yako,ajabu ya rangi nyeusi hata upigwe rangi nyeupe utajulikana ukiongea au ukicheka so jipende na jikubali kwa rangi yako unachokiandika hapa akikisoma mwarabu mwenye rangi yake na akikuangalia ulivyo atatafuta bunduki yake alikoiweka aje akupasue kichwa.