Saudi Arabia bans 50 baby names

ongeza Matiko, Magesa, Malicha Mutatiro, Mwihechi, Rhobi, Mugesi, Chingw'a, Mugendi, Mwisendi, Megera, Werema, Matinde, Warioba, Ryoba need I say more?

yani hapo ume-mention familia yangu... full extended kulaleki!
 
The culture of tyranny in this age of information is a Selassian illusion that will remain to be pursued but never perfected.
 
Kuna mchina yupo Guangzhou anaitwa MWAJUMA, na yupo mchina katika mji wa Wuhan anaitwa MASANJA.
 
Kuna mzungu mmoja anaitwaa masanjaa
 
Kuna mzungu mmoja anaitwaa masanjaa

Mzungu mmoja yani kama bahati vile kusikia mzungu anaitwa Masanja na asilimia kubwa majina yake yafuatayo ni ya kizungu, sasa jiulize wabongo wangapi wana majina ya kizungu achilia mbali ambao majina yao yote mawili au matatu ni ya kizungu kabisa.. unakuta mtu anaitwa John Bosco Charles au Peter Paul Edward au Ally Mohamed Ally, miafrika tuna kazi sana
 
Nawaunga mkono hawataki majina ya kishirikia na ya kikafiriiii!!
 
bora kwa kweli, mie napenda sana majina yetu sababu yanaonyesha asili yetu na siyo majina yote yamepanda ndege loh, hata haipendezi.
 
Wambura, Mageta, Wankuru, Nchagwa, Matinde, Maheri, Mseti, Bhoke, Mwera n.k hakuna sijui Alice, Joyce hasa bibi zetu inawawia vigumu sana kutamka badala ya Joyce yeye anasema Choisi.
 
Wambura, Mageta, Wankuru, Nchagwa, Matinde, Maheri, Mseti, Bhoke, Mwera n.k hakuna sijui Alice, Joyce hasa bibi zetu inawawia vigumu sana kutamka badala ya Joyce yeye anasema Choisi.

sasa unaingia Mara..! lols
 
sasa unaingia Mara..! lols

Mkuu ni kweli tutumie majina yetu ya asili, mimi mwenyewe nina jina la asili kuanzia la kwangu baba mpaka babu hakuna cha Braton Brayan Brason
 
bora kwa kweli, mie napenda sana majina yetu sababu yanaonyesha asili yetu na siyo majina yote yamepanda ndege loh, hata haipendezi.

Hakika haipendezi mkuu

Mkuu ni kweli tutumie majina yetu ya asili, mimi mwenyewe nina jina la asili kuanzia kuanzia la kwangu baba mpaka babu hakuna cha Braton Brayan Brason

Safi sana mkuu
 
Nawaunga mkono hawataki majina ya kishirikia na ya kikafiriiii!!

Wamezingatia asili yao kwanza, sasa wewe muafrika kumuita mtoto wako Ally Mohamed Ally maana yake nini.. Kuletewa dini na weupe hakumaanishi hata asili yetu haina maana na inabidi kila kitu tufanye kama wao
 
The culture of tyranny in this age of information is a Selassian illusion that will remain to be pursued but never perfected.

We don't want to be perfect but atleast to preserve our identities through names which so far is done by most people around the world but not in Tanzania
 
We don't want to be perfect but atleast to preserve our identities through names which so far is done by most people around the world but not in Tanzania

Any such forceful preservation renders itself devoid of whatsoever grandiose ideals it purports to preserve, from the fact that the forcefulness depicts the ideals as not organically popular enough to garner their own mass appeal.

Even a forced heaven will start to increasingly look like hell to some, from the mere fact that it is forced.

Let freedom reign above all thinly disguised pretenses at cultural fidelity and insipid mitigation against all apparent foreign corrosive effects.

If these tyrannycal countries really want to preserve their cultures, they should focus on economic and educational development, as well as on encouraging economic self preservation first, along with an organic, people based spproach at preservation.

You can't legislate culture, especially if you import boatloads of it from Hollywood, Cairo and Bollywood.

Not to mention online.
 
Mnaotaka mbaki na majina ya asili msiishie hapo, muwe mnavaa na kiasili, kwani hata mavazi ya sasa ni amma ya kizungu amma ya kiasia.
 
Mnaotaka mbaki na majina ya asili msiishie hapo, muwe mnavaa na kiasili, kwani hata mavazi ya sasa ni amma ya kizungu amma ya kiasia.

Tena mpaka kwenye mtandao wa internet wasiingie, waanzishe wao wa kiasili from scratch.

Watu unafiki tu.

Wanalazimisha kwenda kiasili wakati hata maandishi wanayotumia yanatumia herufi za kirumi, mtandao wa Wamarekani, simu za Wakorea etc.

Baniani mbaya, kiatu chake dawa.
 


Kama umesoma post yangu vyema nimekiri mwishoni that mtu mweupe katushika akili ila mengine tunaweza fanya wenyewe

Kumpa mtu jina la asili na mambo ya simu, mitandao, sijui herufi ni tofauti sana. Ugumu uko wapi kumuita mtoto wako Kiranga badala ya Sean

Mimi nimeanza na kurudisha majina asilia na wewe/mwingine akipendezwa ataweka uzi wa kurudisha mavazi, mawasiliano asilia mwisho wa siku tutapiga hatua
 
Last edited by a moderator:

What next after changing your name into tradition one? What will you benefit from that? Mambo mengine ni vyema kufahamu watu wanayafanya kwa mujibu ya iman zao. Hawa waSAUDIA hawajapiga marufuku majina hayo kwakuwa yanaenda kinyume na tamaduni za waarabu bali kwakuwa yanamaana mbaya katika upande wa dini. Kifupi kama unamawazo ya kuwa na majina yako ya kiasili hujakatazwa lakini pia jitahidi ufuate na mila na desturi yako huku ukiachana na kuwa mfuasi wa dini kama uislamu au ukristo ambazo kimsingi hao ndio waliokuja kutufundisha.
 
Last edited by a moderator:

Kumpa mtoto jina la asili kunaweza kuwa kitu cha muhimu sana, ndiyo maana hata mimi nimejiita "Kiranga" na si "Sean".

Kulazimisha mtu asiitwe "Sean" ni kitu tofauti kabisa.

Sikatai majina ya asili, mimi mwenyewe nimekumbatia majina ya asili.

Nakataa kulazimisha majina na kuwanyima watu uhuru wa kuamua watumie majina gani.

Mimi siku zote nasimamia uhuru, na kukataa watu binafsi kupangiwa jinsi ya kuishi maisha yao binafsi na serikali.

Hili nataka lieleweke wazi.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…