View: https://youtu.be/aVbfiVTauiM?si=abCE4bBfVPTI561e
Ujumbe ndio huo swali hapa Atafanya kitu gani akingia vita hahaha ikiwa USA na Israel wamemshindwa Iran iwe Saud Arabia.
Walicho kipika USA na Israel ni hicho akingia Saud Arabia na nchi za Gulf states zitaingia halafu USA na Israel wanakimbia wanabaki Warabu kupokea dozi kutoka kwa Iran. Hizo ni plan walizipika USA na Israel siku nyingi.
-Kambi za Marekani ni target za hovyo?Iran kwa sasa ipo tepetepe, inachofanya sasa hivi ni kurusha makombora hovyo hovyo bila ya malengo yoyote ya kivita, haina hata central command,wameruhusu kila askari mahali alipo afanye chochote anachoweza.
Houth naona katuliaSaudi Arabia jinsi ilivyo uchi kiulinzi itaweza kweli kuingia mzigoni na Iran hata kwa week 1 tu!!
Kwanza ninachoona Houth wakiona Saudia imeingia na wenyewe watakuwa wa kwanza kuyachakaza makazi ya mfalme kabla Iran yenyewe haijaamua kujibu.
Waache watwangane tu wakichoka wataachakupokea