Satanic verses

Sio kweli
Kitabu kinaeleza baadhi za Aya za qurani ambazo mtume aliziandika kwa kusikia toka kwa Shetani.

Moja kati ya hizo zinapatikana kwenye Sura An Najm ndani ya qurani

Muhamadi akiwa kashakuwa mtume alishiriki pia kuiabudu hiyo miungu ambayo inasadikiwa kuwa ni watoto watatu wa Allah.

Sura An Najm

53:19 - Je! Mmemuona Lata na Uzza?

53:20 - Na Manaat, mwingine wa tatu

53:21 - Je! Nyinyi mnao wana wanaume na Yeye ndio awe na wanawake?

Aya nyingine ni siri yangu naogopa kuchinjwa nikiziweka zote hapa.

Rushdie akiwa mhitimu wa Islamic History PHD amazielezea hizo aya kwa ushahidi wa maandishi ya kale ya Kiislamu. Ambayo yanafichwa.

Ndio maana hawawezi kumjibu.
 
Anatakiwa afe na akatwe vipande vipande na nyama yake apewe mbwa ale
 
Sawa weka huku Kuna privacy
 
Leta mzee kama alisikia Aya kutoka kwa shetani zilete mzee tujifunze kitu.
 
Hatari sana mbona hawapendi mambo ya kishweitaiinii sasa hizi verse z sheitwain yupi?
 
Hichi kitabu ni kama Hadithi za ndumilakuwili, ni Fiction Novel Based on Magic Realism, nothing special.
Hakuna Hoja wala Facts bali ni mawazo au Idea za kutunga na Opinions za mtu mmoja juu ya kitu fulani ni defamation na mockery sababu hakuna hoja wala facts zozote na hiyo inafanya kitabu kizima kuwa matusi tu.

Ni kama Novel za StarWars, StarTreck na Marvel au DC comicbooks lakini kuchukua mtu halisi kutoka kwenye maisha ya kweli na kumuandika unavyotaka.

Unaweza kuita ni defamation, slander, libel au mockery kwenye level za juu kabisa za kutoa na kitabu kabisa kwa nia ya entertainment. ni kama mtu akutukane tu na akudharirishe hadharani bila sababu za msingi ni lazima ukasirike.
 
Halafu huyo Jamaa ni Dhehebu gani?
 
Leta mzee kama alisikia Aya kutoka kwa shetani zilete mzee tujifunze kitu.
Hapana, sipendi kuwakwaza Waislamu kwakuwa pamoja na hii mijadala nawaheshimu sana.

Kitabu kimedhalilisha dini ya Kiislamu kabisa na kimepigwa marufuku ili kuto wafadhaisha zaidi Waislamu.

Na hakijibiki.

Ndio maana wenye dini wamekaa wamekisoma na kuamuru huyo mtu achinjwe tu basi.

Hawataki watu wenye mioyo dhaifu wakisome na kuiacha Dini.

Pamoja na uhuru wa kuongea kuna watu hawawezi kuhimili mambo ya imani.

Huyo Zikir Naik amemkimbia pamoja na Usharifu wake.

Siku nyingine nitaziweka humu kidogo kidogo kadri Mungu atakavyo nijalia.
 
Mi sipendi watu wanaomes na dini za watu...
Kila mtu si afanye yake...duniani..
Mbona mmemkamata Mfalme Zumaridi wakati alikuwa na dini yake na wafuasi tele ?

Dunia ya sasa watu wanahoji kila kitu na huwezi kuwazuia.

Ndio maana imani za giza zinajificha na kuweka siri mambo yake ili zisihojiwe na watu.
Ndio maana Freemason wanaficha mambo yao.

Kama una jambo la umma la wazi lazima watu wakuhoji.
Na unatakiwa kujibu ili watu wajiridhishe na imani yako.

Ukiona imani inaficha mambo yake yasihojiwe ujue kuna tatizo kubwa.
 
NI KITABU CHA KIPUUZI KUWAHI KUANDIKWA

KILICHOANDIKWA NA MPUMBAVU AMBAE NASIKIA HUU MUDA YUPO MAHUTUTI BAADA YA KUCHEZEA VISU VYA SHINGO
AOMBE APONE ILI ATUBU TU
Atubu nini? Nyie hua mnadhani MUNGU anapiganiwa kwa visu? Imani zingine ni za ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…