Satanic verses

Bornventure

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2017
Posts
529
Reaction score
523
Hii Kitabu Satanic verses. Nani amekisoma au anacho (naomba soft copy) napenda sana kuelewa why Mwandishi wake anachukiwa na Waislamu. ?
 
kina lugha flan ngumu , awamu ya nne mwanzon kanisa lilitaka kukitafsiri.
Ndio ukawa mwisho wa maandamano, na vurugu vurugu za watoto wa madogo.
 
Dogo kaya kanyaga..ajiandae kwa maumivu ya ndugu zake wengi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Dini ya mnyazi ilimtangazia fatwa mwaka 1988 idara za ujasusi za uingereza zikaingia mzigoni kumlinda mpaka leo wafuasi wa mnyazi hawajamgusa hata hope! Chezea scotland yard wewe!
UK haijawahi kufanyika terrorist attack? US haijawahi kua muhanga wa terrorist attack? Au umeamua tu kuweka akili zako kwenye mfuko wa shati kisa tu unamuabudu mkoloni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…