Satanic temple vs Freemason

Satanic temple vs Freemason

Masonic hawashughuliki na MTU masikini sababu ajenda yao kubwa ni kuwaondoa masikini duniani sababu ni mzigo na hawana mchango wowote Kwa duniani lzm masikini km wwe mmpunguzwe Kwa njia ya vita,ugaidi,magonjwa,uzazi wa mpango,njaa nk,ili wawepo wachache wenye manufaa,wao wanataka MTU mwenye mchango Mkubwa na maarufu mfano wanamuziki,wanamichezo,wasomi,matajiri,nk ili watumike kujenga na pia kuharibu jamii.ili kupelekea dunia mzima iwe chini ya utawala mmoja wa ibilisi maaluni.
Leta proof
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom