SATA na IDE ndio nini?

SATA na IDE ndio nini?

Standards tofauti za kuunganisha storage devices na compyuta. So e.g unaweza kuwa na Hard-drive ya IDE au ya SATA.
 
Hakuta tofauti kubwa kati ya IDLE (au kwa jina halisi PATA) na SATA hard drives. Tofati ni jinsi zinavyounganishwa kwneye kompyuta. The SATA connector is simpler and the cable is less fussy.
 
There is really no difference between IDE (more correctly called PATA) and SATA hard disks, except in the way they connect to the PC.

The SATA connector is simpler and the cable is less fussy.

Gonga HAPA, ili upate maelezo ya kina.

Hakuta tofauti kubwa kati ya IDLE (au kwa jina halisi PATA) na SATA hard drives. Tofati ni jinsi zinavyounganishwa kwneye kompyuta. The SATA connector is simpler and the cable is less fussy.

Mhhh.......
 
hakuta tofauti kubwa kati ya idle (au kwa jina halisi pata) na sata hard drives. Tofati ni jinsi zinavyounganishwa kwneye kompyuta. The sata connector is simpler and the cable is less fussy.

utajuaje kama pc yako inatumia ide au sata hdd?ina maana cpu yoyote ile inaweza tumia sata au ide?mimi nlikuwa sijui pia kuhusu hili.jf itapunguza makali ya kuibiwa na mafundi uchwala...
 
zote ni njia ya kuleta mawasiliano baina ya hard distk ya computer na mother board au komputa yenyewe tuseme.
sahihi zaidi ni sata na pata. hiyo pata ndio IDE yaani inteconnected drive electronics ni yale majiwaya manene yaliyomo ndani ya computer. yale husafirisha data katika hali ya parallel yaani kwa sambamba.
pata= parallel ata
sata= serial ata.
ata ndio njia ya mawasiliano ya harddisk na computer.
sata ina spidi kubwa na ina himili data nyingi kuliko pata (IDE)
 
zote ni njia ya kuleta mawasiliano baina ya hard distk ya computer na mother board au komputa yenyewe tuseme.
sahihi zaidi ni sata na pata. hiyo pata ndio IDE yaani inteconnected drive electronics ni yale majiwaya manene yaliyomo ndani ya computer. yale husafirisha data katika hali ya parallel yaani kwa sambamba.
pata= parallel ata
sata= serial ata.
ata ndio njia ya mawasiliano ya harddisk na computer.
sata ina spidi kubwa na ina himili data nyingi kuliko pata (IDE)

ina maana mashine yoyote inaweza kufungwa hdd ya sata au ide?hakuna chochote cha kuongeza katika cpu?
 
Miaka inavyokwenda teknolija inakuwa. Hapo mwanzo Hard disk zilitumi teknolojia na specication za IDE. Hivi sasa Har diks nyingi kwenye PC na laptop ni za SATA.

Tofauti kwa macho ni idadi ya pini ukinodoa za power/umeme kwenye SATA HDD ni chache( Nadhani hazizidi tano) wakati IDE PATA (Parallel) HDD ina pin kibao kama 20 hivi zinzounganisha HDD na MOBO( Motherboard)

Pia wataalam wanasema Efficiency na perfomance ya SATA( Serial) kwenye Read and Writing to and from HDD ni kubwa kuliko ilivyo kwenye IDE


Otherwise make googole ,wikipedia, your best frind zitakupa maelezo zaidi kama alivyouwekea link X paster
eg
http://en.wikipedia.org/wiki/SATA
Parallel ATA - Wikipedia, the free encyclopedia
 
Inategemea na motherboard inasupport kitu gani, kuna mabazo zinasupport sata, idea or both.
 
ina maana mashine yoyote inaweza kufungwa hdd ya sata au ide?hakuna chochote cha kuongeza katika cpu?
Hapana inategemea na motherboard pia. Kuna motherboard zinasupport IDE na zingine zinasupport SATA huwezi tu kutumia kokote kama alivyosema Kang.
 
haina maana hiyo.
kinachoamua ni ule muundo wa motherboard ya computer yako. hizi za karibuni zote zina sata. baadhi yao zina waya za sata na pata. na nyengine zina pata tu. the best choice kama computer ina option zote ni sata
 
i dont think so,tofauti itakuwepo must!!!,besid IDe is an old technology,Sata is new technology..Kweli itamiss tofauti hapa?
 
Sata is more security than ide,so hata kuformat kwake sata ni vigumu while ide kama kumsukuma mlevi.
 
tofauti ingine ukitakakutambua ni kuwa PATA mawaya yakeni yale meupe mapana while SATA ni tule tudogo twekundu,
nawasilisha
 
SATA inaprovide fast applications launch,writing and reading speed na co rahic kuwa damaged comparing to IDE.
 
Hdd ya pc ya 300gb au 500gb ni shiling ngap kwa dar?mtaalam aliyenayo anijuze tuelewane.Anayejua wap zinauzwa kwa rahis anijuze pia.NAISHURURU JF IMENIPA MENGI SANA.
 
Back
Top Bottom