Si tu amefikiria kuhusu wingi wa kazi, kiuchumi pia. Msafara wa rais unakuwa na kenge, mamba na mijuzi wengi, lakini wa makamu wa rais au waziri mkuu, wanakuwa wachache.
Halafu mikutano kama hiyo haina tija kabisa they are merely talk show.
Kama Common wealth ndiyo haina maana kabisa siku hizi maana UK imeshajifunua wazi kuwa ni Great Ally wa USA tu.