The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Kampuni ya mawasiliano ya Sasatel iko katika hati hati ya kufungwa baada ya kushindwa kufanya vizuri katika soko la mawasiliano hapa Tanzania ikiwemo kushindwa kujitanua kwenda mikoa mingine huu ukiwa ni mwaka wa 3 sasa ila bado wako Dar es Salaam tu.
Kwa sasa ofisi zao zilizokuwa Uganda tayari zimeishafungwa kwa hapa Tanzania alikuwa anatafutwa mnunuzi bahati nzuri ikawa imejitokeza kampuni ya RAHA.COM ambayo ilitaka kuinunua Sasatel ila kiasi cha pesa walichokuwa nacho ni kidogo kwahiyo ikashindikana kufikiana makubaliano, kama hali itaendelea kuwa kama ilivyo sasa basi miezi michache ijayo wanaweza kusitisha operation hapa Tanzania pia..
Kwa sasa ofisi zao zilizokuwa Uganda tayari zimeishafungwa kwa hapa Tanzania alikuwa anatafutwa mnunuzi bahati nzuri ikawa imejitokeza kampuni ya RAHA.COM ambayo ilitaka kuinunua Sasatel ila kiasi cha pesa walichokuwa nacho ni kidogo kwahiyo ikashindikana kufikiana makubaliano, kama hali itaendelea kuwa kama ilivyo sasa basi miezi michache ijayo wanaweza kusitisha operation hapa Tanzania pia..