comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,447
- 11,505
Wakati kabla ya mambo ya kushinda na njaa hayajaanza ilikua ukienda hata sa12 tuu huikuti.
Je, wakina nani hua wanakula sana Nguruwe hadi kwasasa iwe inabaki nyingi? Nini kimetokea?
Karibu katika mjadala.
Mapovu pia napokea nitafulia kanzu yangu.
Je, wakina nani hua wanakula sana Nguruwe hadi kwasasa iwe inabaki nyingi? Nini kimetokea?
Karibu katika mjadala.
Mapovu pia napokea nitafulia kanzu yangu.