Sasa wezi wa mabwana kukiona

Sasa wezi wa mabwana kukiona

Sasa bwana au mume akichukuliwa unaenda kumsuta mwanamke Mwenzio au mume alokushiba? Nahisi huu msuto Kama kujishushia Hadhi....

sivyo tu mrskhoory; unakuta alieibiwa bwana kachoka ama bwana kahama kabisaa kahamia hukoo kwa msutwaji sasa ili kijipoza roho bora amdhalilishe msutwaji ili angalao tu apumue.mwingine unakuta hata kapewa talaka lakin basi tu for good for worse
 
sivyo tu mrskhoory; unakuta alieibiwa bwana kachoka ama bwana kahama kabisaa kahamia hukoo kwa msutwaji sasa ili kijipoza roho bora amdhalilishe msutwaji ili angalao tu apumue.mwingine unakuta hata kapewa talaka lakin basi tu for good for worse

Yani hapo ndio Kama mbwai mbwai.. Aka Kama noma naiwe nomaaa... Ndio wasutajii wamekwenda na Tarumbeta wanakuta harusi ya shangwe wanaendelea na kusutana au wanarudi kila mmoja na njia Yake?..
 
Nimeshindwa kumaliza kusoma ,itanipotezea tu muda na vitu vya hivi vinanikataga stimu.
 
hahhaha asee... labda mkaombe ulinzi kwanza, maana ntavunja miguu wote!!! unapigiwa matarumbeta bado umetoa macho tu

nakuambia kwanza unashtukizwa we hujui hili wala lile saa ngap utajiandaa kuvunja miguu? na raia watakavyokua wengi utafurukuta kwa nani hahaha
 
Nimeshindwa kumaliza kusoma ,itanipotezea tu muda na vitu vya hivi vinanikataga stimu.

we ungemaliza tu life is very funny sometimes punguza mawazo kwa kucheka angalao sio usitegemee kusoma vitu vya kukutatulia matatizo yako tu best sometimes u just read and enjoy the fun
 
Yani hapo ndio Kama mbwai mbwai.. Aka Kama noma naiwe nomaaa... Ndio wasutajii wamekwenda na Tarumbeta wanakuta harusi ya shangwe wanaendelea na kusutana au wanarudi kila mmoja na njia Yake?..

hahahaha hivyohivyo na bwana uliemuiba unasutwa nae
 
Tanzania zaidi ya uijuavyo. ..

Eti Msuto Mixer mixer. ...
 
Back
Top Bottom