nyie njooni tu na hayo majiko yenu ya mkaa na masahairi sijui keki etc, mtakutana na ki-bastola changu kwa mlango ndo mtapojua kumbe hayo ma-dera siyo bullett proof!
nyie njooni tu na hayo majiko yenu ya mkaa na masahairi sijui keki etc, mtakutana na ki-bastola changu kwa mlango ndo mtapojua kumbe hayo ma-dera siyo bullett proof!
hahaha na maspika yao sijui watamwachia nani
hata akisutwa akamuaacha bwana ako haimaanishi upendo wa kweli utatawala BALI MAIGIZO NDO YATAZIDI ENDAPO UTARIPOTIWA KWAMBA UMEMTUMIA MSUTO
swala pekee ukijua unaibiwa ni kujishusha na kuangalia wapi umeanguka,,ukimtunishia mwanaume msuli utalia kila siku
Loooh na biashara itaishia siku hiyo2. Sidhani kama watakuwa na hamu ya kuendeleza misuto tena