Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Hahahaha mjini mipango, hafi njaa mtu
chezea sasa itabid walipe na kodi
Kwa kweli walipe kodi hahaha, kibali cha biashara wanacho lakini? Insurance je? Maake kuna wachambwaji watata. Mtamkuta na maji ya moto kama sio tindikali hahahaa
na kodi inalipwa au ndo yote halali yenu wasutaj!ajira hizo.ndugu
yaani wiki tu wakiwa na.kazi kila siku ji mamilionea hakuna cha mashine ya risit wala nini wanakula kiulainii
bado vijana wanajibweteka hamna ajira looh fursa hiyo wameitumia lol
Umeona eeeh! Nakwambia hutaamini watapiga kazi vibaya mno watu wanakodi Mc hadi 2m sembuse kitu kilichomuuma kinachomkera ataacha kufanya? Watu wanapenda show off bana! tena uswazi hayo mambo yapo sana,washushe bei tu mbona watakuwa matajiri!!!mi nawapongeza kwa kweli,mtaji wa maskini ni nguvu zake mwenyewe,
hata akisutwa akamuaacha bwana ako haimaanishi upendo wa kweli utatawala BALI MAIGIZO NDO YATAZIDI ENDAPO UTARIPOTIWA KWAMBA UMEMTUMIA MSUTO
swala pekee ukijua unaibiwa ni kujishusha na kuangalia wapi umeanguka,,ukimtunishia mwanaume msuli utalia kila siku