Sasa rasmi Mvua za Masika imeanza kunyesha huko Tehran Iran

Sasa rasmi Mvua za Masika imeanza kunyesha huko Tehran Iran

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
6,929
Reaction score
6,030
Baada ya ya Mvua za rasharasha kunyesha huko Iran sasa hivi rasmi kabisa Mvua za Masika zimeanza kumnyeshea Ayatollah huko Tehran Iran.

Kufikia asubuhi hii ameangamizwa
Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri za Kiislamu, aliyekuwa anatishia kuangamiza Tel Aviv na Haifa. Na yeye Kaangamizwa bila huruma yeyote.
 

Attachments

  • IMG_4977.jpeg
    IMG_4977.jpeg
    154.8 KB · Views: 3
Gholam-Hossein Mohseni-Ejei, Mkuu wa Mahakama ya Jamhuri ya Kiislamu aliyekuwa anawahukumu waandamanaji kifo sasa na yeye amepokea adhabu ya kifo kwa haraka.

Alihusika na kuwahukumu waandamanaji kifo naye kuangamizwa
 

Attachments

  • IMG_4978.jpeg
    IMG_4978.jpeg
    168.9 KB · Views: 4
Baada ya ya Mvua za rasharasha kunyesha huko Iran sasa hivi rasmi kabisa Mvua za Masika zimeanza kumnyeshea Ayatollah huko Tehran Iran.

Kufikia asubuhi hii ameangamizwa
Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri za Kiislamu, aliyekuwa anatishia kuangamiza Tel Aviv na Haifa. Na yeye Kaangamizwa bila huruma yeyote.
IMG_4977.jpeg
 
Baada ya ya Mvua za rasharasha kunyesha huko Iran sasa hivi rasmi kabisa Mvua za Masika zimeanza kumnyeshea Ayatollah huko Tehran Iran.

Kufikia asubuhi hii ameangamizwa
Amir Hatami, Waziri wa Ulinzi wa Jamhuri za Kiislamu, aliyekuwa anatishia kuangamiza Tel Aviv na Haifa. Na yeye Kaangamizwa bila huruma yeyote.
Why this only happens on weekends ?
 
Sasa ni rasmi magaidi wa Hezbollah na Houth wameingia ulingoni kusaidiwa Bwana wao Iran

🛑🚨IDF inasema imegundua makombola zaidi kutoka Iran

🛑🚨Tahadhari za ziada kote Israeli

🛑Kombora moja limeangukia Amman Jordan 🇯🇴

🛑🚨Wahouthi wanatangaza kwamba watajiunga na kampeni hiyo.

Kwa hivyo sasa ni rasmi kwamba Hezbollah na Wahouthi huko Yemen ni sehemu ya kampeni hii
 
🚨🚨Ving'ora vyasikika kaskazini mwa Israeli huku kukiwa na shambulio la makombora ya masafa marefu la Iran. Wakazi wameamriwa kuingia katika vyumba salama huku IDF ikisema ulinzi wa anga unazuia vitisho vinavyoingia na Jeshi la Anga la Israeli linashambulia inavyohitajika ili kuviangamiza. Wanamaji wa Israel nao nyambizi zao zimejitokeza kupopoa makombola yajayo toka iran
 

Attachments

  • IMG_4979.png
    IMG_4979.png
    255.5 KB · Views: 3
Ndege-vita za Israel na Marekani zimelitawala anga lote la Tehran hakuna Nywinywinywi wala Nywinywinywi maeneo yanayolengwa sana Tehran kulingana na vyombo vya habari vya Iran ni,

  • Wizara ya Ujasusi ya Iran
  • Wizara ya Ulinzi ya Iran
  • Ofisi ya Kiongozi Mkuu Khamenei
  • Shirika la Nishati ya Atomiki la Iran
Tanker za kuja za mafuta angani zinaondoka kuelekea eneo la tukio ili kuja za mafuta kwenye Ndege-vita zinazoshambulia huko iran
 

Attachments

  • IMG_4982.jpeg
    IMG_4982.jpeg
    31.7 KB · Views: 5
Hivi mbna kama vita ilipoa..
Shida nini tena mpaka wanaanza kupigana tena
 
Tehran inatikiswa kwa Mabomu Ayatollah kajificha
 

Attachments

  • IMG_4983.jpeg
    IMG_4983.jpeg
    180.5 KB · Views: 5
  • IMG_4984.jpeg
    IMG_4984.jpeg
    110.2 KB · Views: 2
  • IMG_4985.jpeg
    IMG_4985.jpeg
    62.9 KB · Views: 6
Mamia ya makombola yanaendelea Israel kutokea Iran!!!! Air defense za Israel zilishajiandaa kuyapopoa makombola hayo!!
 

Attachments

  • IMG_4988.jpeg
    IMG_4988.jpeg
    78.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom