Sasa rasmi kuna dikteta nchi hii

Sasa rasmi kuna dikteta nchi hii

Tulikuwa tunawaambia ni mfumo mkawa mnamtukana Magufuli!

Mama yenu alipokuja mkawa mnamuita mpiga mwingi kiko wapi sasa.

Hata wakati wa Jpm hakuna kiongozi wa dini alishambuliwa.
Huo ni mfumo hata Raisi yeye hajui chochote ,yaani amshambulie Kitima kwa lip? Watu wajinga sana ,wanaona wivu .
 
Jiwe ndio muasisi wa huu udikteta unaoendelea leo hii.
Ndiyo maana. ya kazi iendelee, mimi nafurahia hali hii watu akili zitakaa sawa kwasababu hakuna aliye salama

Binadamu akipata changamoto hasa yasiyotarajiwa huamsha ubongo kuchakata taarifa za kuwezesha kupata suluhisho anapofanya hivyo hukutana na ubunifu ambao hata aliyesababishia yasiyotarajiwa, (uncertainty), hawezi kumdhibiti tena

Tunaishi kwenye jamii ya kanyanga twende jamii ambayo unaweza kuisafisha ubongo ikafikiri unavyotaka wewe jamii ambayo haiwezi kuchakata fikra chanya na hasi,

Kwa hali hii jamii mafuvu yatarudishiwa akili

Silence surrenders public responsibilities
 
Dikteta mwenyewe hana mzizi mkuu (siyo raia na ni mwanamke), soon atang'olewa.
 
Mama yenu alipokuja mkawa mnamuita mpiga mwingi kiko wapi sasa.
Tulimsifia alipofanya vizuri na kusema anafanya Reforms sisi hatumchukii mtu bila sababu akifanya vizuri tunampongeza akifanya vibaya tunamkosoa na kumpiga spana.
 
Back
Top Bottom