Sasa ni Zamu ya Wazanzibar...

Mkuu Mipangomingi.
Nikushukuru kwa dhati kabisa kwa ushauri wako.
Mkuu. Challenge ambayo ipo ya Muungano leo ni matokeo ya watu kama wewe waliokuwa na mipangomingi na usiri mkubwa katika kufanikisha mipango hiyo.

Mkuu hakuna katika dunia hii muungano unaolingana na huu wa Tanganyika na Zanzibar. Lakini hakuna muungano unaozifuta nchi waanzilishi wa Muungano huo.

Kwa hiyo lilikuwa ni kosa kubwa kujaribu kuifuta Tanganyika..unaijua "Tanzania bara"? lakini ni kosa pia kujaribu kuifuta Zanzibar au kuimeza Zanzibar. Katika sehemu moja pia nimewahi kuonesha kuwa Tanganyika ipo na Taasisi zake nyengine zinaonekana wazi. Sio wizara zote kuwa ni za Muungano. mfumo wa mahakama wa Tanzania bara. sasa mkuu ujuha unakujaje hapa?

Mimi sijazungumzia kuongezeka kwa mambo ya Muungano kuwa ni batili au ubabe au vyenginevyo. ninachosema Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ulikuwa wa mambo kumi na moja. Sasa mkuu, mambo kumi na moja vipi yanaunda nchi moja?
kwa hiyo ni wazi zilikuwepo mamlaka tatu za kisheria. Mamlaka ya Tanganyika, Mamlaka ya Zanzibar na mamlaka ya Muungano.

Kama kuna ujuha katika hili basi ni "ujuha" wetu sote. Kwa sababu hatuujui Muungano wetu, asili yake wala hadhi yake. Sishangai kwa hili kwani wakati wa Utawala wa Mwalimu kuudadisi muungano ilikuwa ni uhaini.

Asante sana kwa ushauri huu "Acha ujuha wee nonda". Nitajitahidi kuutekeleza ushauri wako.

Sorry ikiwa nimekukwaza kidogo, lakini we huwa unapenda kurudiarudia point ambazo useless, niliwahi kuona katika post zako huko nyuma kabla sijawa member hapa jf namna ulivyobishana juu ya eneo la zanzibar, kwa kweli hoja zako hazikuwa na mashiko. Katika hili nimetumia neno ujuha kwa maana, ukisoma yale mambo kumi na moja ya muungano, yaliingizwa kama kumi na moja lakini in practice siyo kumi namoja ni yooooote yahusuyo nchi kama sovereign state, so mistake ilifanyika pale kwa ku-rely katika figure ya kumi na moja wakati applicability yake yanaifuta zanzibar kama nchi bali wilaya/mkoa/kata etc. Ukifikiria saana utaona hakuna mambo ambayo si ya muungano(kwani mambo ambayo si yamuungano ni subset ya mambo ya muungano) means hakuna mambo yasiyo ya muungano kama unavyoona ww. Dawa ya haya mambo ni nyie wazenj msimame na kusema muungano no, wala siyo kutoa rais wala kuvusha magari bila kulipiwa wala nni! Think deeply.
 
Hao ni sawa na ngamia wa jangwani aliyeomba aiingize kichwa tu kwenye hema ili ajinusuru na mvua ,baadaye mwenye hema akajashutukia keshatolewa nje,hapa bara wamejaa na vidaladala vyao lakini thubutu nawewe upeleke chai maharage huko kwao utafanyiwa mtima nyongo mpaka utakoma
Mkuu.
Nafikiri tunashindwa kuelekeza lawama zetu kule zinakostahili. Mwalimu Nyerere ndiye ambaye lawama hizi zote tunazozielekeza kwa wazenj ni zake. Alifanya muungano kuwa ni mali yake binafsi. Kila aliyelalamikia Muungano "aliwafunga mdomo".

Jumbe, G55 na kila aliyethubutu kusema Muungano huu na muundo wake una kasoro. Kasoro zirekebishwe. Waswahili wana msemo, "usipoziba ufa.....utajenga ukuta"
 
Mkuu.
Nafikiri tunashindwa kuelekeza lawama zetu kule zinakostahili. Mwalimu Nyerere ndiye ambaye lawama hizi zote tunazozielekeza kwa wazenj ni zake. Alifanya muungano kuwa ni mali yake binafsi. Kila aliyelalamikia Muungano "aliwafunga mdomo".

Jumbe, G55 na kila aliyethubutu kusema Muungano huu na muundo wake una kasoro. Kasoro zirekebishwe. Waswahili wana msemo, "usipoziba ufa.....utajenga ukuta"

Muungano hakuutaka nyerere bali wazanzibari wenyewe, Tanganyika inapakana na nchi nyiiingi zana kwa nini iungane na zenj tu si wametaka wenyewe, ina ardhi hata ndege atapata ikiwa itaamua klugawiwa-
 
Sorry ikiwa nimekukwaza kidogo, lakini we huwa unapenda kurudiarudia point ambazo useless, niliwahi kuona katika post zako huko nyuma kabla sijawa member hapa jf namna ulivyobishana juu ya eneo la zanzibar, kwa kweli hoja zako hazikuwa na mashiko. Katika hili nimetumia neno ujuha kwa maana, ukisoma yale mambo kumi na moja ya muungano, yaliingizwa kama kumi na moja lakini in practice siyo kumi namoja ni yooooote yahusuyo nchi kama sovereign state, so mistake ilifanyika pale kwa ku-rely katika figure ya kumi na moja wakati applicability yake yanaifuta zanzibar kama nchi bali wilaya/mkoa/kata etc. Ukifikiria saana utaona hakuna mambo ambayo si ya muungano(kwani mambo ambayo si yamuungano ni subset ya mambo ya muungano) means hakuna mambo yasiyo ya muungano kama unavyoona ww. Dawa ya haya mambo ni nyie wazenj msimame na kusema muungano no, wala siyo kutoa rais wala kuvusha magari bila kulipiwa wala nni! Think deeply.

Mkuu.
Utakuwa umechanganya madawa..unanilinganisha mimi na mchangiaji mwengine juu ya "eneo la Zanzibar"
Lakini sio kila anayejadili Kasoro za Muungano kuwa ni Mzenj mkuu. Inawezekana ndio sababu ya wewe kutake side. Ujasiri uwe baya unalisema ni baya. na zuri unalisema ni zuri. Kama mambo kumi na moja yaliifuta Zanzibar mbona imekuwepo kwa miaka yote hii?
Na ni wapi ilipokubalika kuwa Tanganyika na Zanzibar zinakufa, zinafutwa baada ya Muungano.
Mkuu. Tulilikoroga sasa tulinywe tu.
 
Ninyi Waburushi mliozungukwa maji.......................
Hivi ndio janaja yenu ya kumleta GB kujiandaa kuwa amiri jeshi?
Ninyi binadamu hamna aibu hata kidogo tumewaachia kuwa na rais sisi hatuna hamjaridhika!! tumewapa umeme buuuuuuuuuuuure, hamridhiki!!!!!!!!!!!!1, serikali yenu inatumia fedha zetu za kodi bado twawaangalia!!! Sasa mnataka kunyea kwenye vyungu vyetu bado mnataka tuseme HEWALA!!!
THIS TIME NO AND NEVER!!!!!! THAT WILL NEVER HAPPEN ON EARTH!!!!!!!
KAMA HAYO TULOWAACHIA HAYAWATOSHI THEN KAUNGANANENI NA COMOROS!! WE ARE FEED UP!!!
 
Katika marais sita wa zenj, ni mmoja tu ndo kutoka pemba, while katika marais wanne wa Tanzania mmoja ni kutoka zenj-so utaona ili mlingano ukamilike inabidi marais wawili zaidi toka tanganyika watawale ndo ije zamu ya zenj-provided rais ajaye zenj awe kutoka pemba. Kiherehere cha nn?
inatakiwa watanganyika nao waende zanzibar na wawe wanatawala huko kama vile wao wanavyotaka waje huku
 
Sorry ikiwa nimekukwaza kidogo, lakini we huwa unapenda kurudiarudia point ambazo useless, niliwahi kuona katika post zako huko nyuma kabla sijawa member hapa jf namna ulivyobishana juu ya eneo la zanzibar, kwa kweli hoja zako hazikuwa na mashiko. Katika hili nimetumia neno ujuha kwa maana, ukisoma yale mambo kumi na moja ya muungano, yaliingizwa kama kumi na moja lakini in practice siyo kumi namoja ni yooooote yahusuyo nchi kama sovereign state, so mistake ilifanyika pale kwa ku-rely katika figure ya kumi na moja wakati applicability yake yanaifuta zanzibar kama nchi bali wilaya/mkoa/kata etc. Ukifikiria saana utaona hakuna mambo ambayo si ya muungano(kwani mambo ambayo si yamuungano ni subset ya mambo ya muungano) means hakuna mambo yasiyo ya muungano kama unavyoona ww. Dawa ya haya mambo ni nyie wazenj msimame na kusema muungano no, wala siyo kutoa rais wala kuvusha magari bila kulipiwa wala nni! Think deeply.

Mkuu.
Kutumia lugha ya name calling ni dalili ya kutokuwa na hoja. Lakini hilo halinisumbui,watu wanahaki ya kuonesha hisia zao lakini ni vyema kufanya hivyo kwa hoja na sio ukali, kejeli au matusi.

Mkuu. Mtu anapotoa point ambayo ni useless basi huwa amekupa fursa wewe utoe point ambayo ni useful. Na hilo hunogesha mjadala.

Sasa tuje kwenye hiyo sehemu ambayo nime-highlight buluu. Hapo mkuu unajitatiza..Unasema Nyerere hakutaka Muungano..sasa kwa nini basi afanye ujanja huo uliouonesha hapo kwa Karume?

Ni wazi basi kuwa muungano huu ulikuwa void at its inception. Nani anakubali kuifuta nchi yake kwa hiyari yake?
Inawezekana kweli huo ni ujuha wa wazenj lakini pia inaonesha sura nyengine ya ujanja na usiri wa Nyerere kwa Muungano.
Kwa hiyo yale maneno kuwa Nyerere alishiriki katika mipango ya kuuawa kwa Karume yana uzito kwa kauli uliyoitoa hapa kwa sababu Nyerere hakuwa na uwezo wa kumdhibiti Karume.
 
Hatutachagua mtu kwa itikadi ya sehemu aliyotoka ama kuridhisha kikundi fulani cha watu...uwezo wake tu ndio utakaomfanya kiongozi wa watu!...Tukitii haya ya Uzanzibar kesho yataibuka ya Mtwara,keshokutwa ya Kigoma...uwezo wa mtu kiwe kigezo bila kujali geographical as well as historical location ya mhusika!
 
Baada ya wananchi wa upande wa bara kutoa rais wa Jamhuri ya Nuungano mara 2 mfululizo ni vema sasa wanzetu wa Bara mkatuachia ndugu zenu wa Visiwani urais hapo mwaka 2015. Hii itasaidia kuenzi muungano wetu ulionzishwa na wale viongozi wetu mahiri mzee Karume na Mwalimu Nyerere.

Hii poa sana, na rais wa Zanzibar mara hii atoke bara, (ikiwezekana awe mkristo). Tangu 1964 mnatoa rais nyinyi.
 
Hii poa sana, na rais wa Zanzibar mara hii atoke bara, (ikiwezekana awe mkristo). Tangu 1964 mnatoa rais nyinyi.
Mkuu.
Mambo mengine tuache ushabiki usio na msingi. Wazenj wana haki kuongoza serikali ya muungano..pia Mtanganyika mwenye sifa ya kuitwa mzanzibari basi huyo ataweza kugombea na kuwa Rais wa Zanzibar.

Lakini la msingi hapa ni kuwepo pia kwa serikali ya Tanganyika ambayo hakuna Mzanzibari atakuwa na haki ya kuwa kiongozi wake labda pale atakapopata sifa ya kuwa mtanganyika.

Muungano unatuchanganya wengi. Hatuujui wala hatuutambui.
Kama sisi wenyewe unatuchanganya hivi jee tutaweza kuwaelewesha wasio watanzania na kuweza kuuelewa?
 
Unafikiri urais ni kama kwenda forodhani kula urojo? Hakuna suala la kupokezana hapa cha muhimu ni uwezo tu. Kama mlikua mnawaza kupokezana sahauni kabisa.....!!
 
Tunataka uwezo siyo zamu. Salim si ni ninyi ndiyo mlimkataa. Kwani yeye siyo Mzanzibari??

Tatizo lenu kila siku mnafikiri mnajuwa kipi kizuri kwetu. Hivyo Wazanzibari wanaishia kwa Salim pekee. Hata hivyo si nyie mlitumia jamaa zenu huku bara kina Moyo, Daruweshi na Natepe kujenga mizengwe!
 
Unafikiri urais ni kama kwenda forodhani kula urojo? Hakuna suala la kupokezana hapa cha muhimu ni uwezo tu. Kama mlikua mnawaza kupokezana sahauni kabisa.....!!
Kama watu wenyewe kina Kikwete na Slaa mbona hakuna tofauti. Listi yenu ni kubwa, Malecela, Mrema, Mtikila, Lissu, Mbowe na wengine mbona hamna cha kujivunia hapa???
 
Hii poa sana, na rais wa Zanzibar mara hii atoke bara, (ikiwezekana awe mkristo). Tangu 1964 mnatoa rais nyinyi.

Alishatoka au umemsahau Ali Hassan Mwinyi?? Ama kwa Mkristo wa Bara nafikiri hatokuwa tayari kwani huko hakuna kiti moto.
 
Hatutachagua mtu kwa itikadi ya sehemu aliyotoka ama kuridhisha kikundi fulani cha watu...uwezo wake tu ndio utakaomfanya kiongozi wa watu!...Tukitii haya ya Uzanzibar kesho yataibuka ya Mtwara,keshokutwa ya Kigoma...uwezo wa mtu kiwe kigezo bila kujali geographical as well as historical location ya mhusika!

Hakuna Jamhuri ya Muungano iiliyoundwa na Jamhuri ya Arusha au Mtwara lakini ipo Jamhuri iliyoundwa na Jamhuri ya Tanganyika mna Jamhuri ya Zanzibar. Tuache upuuzi wakati mwengine!
 
inatakiwa watanganyika nao waende zanzibar na wawe wanatawala huko kama vile wao wanavyotaka waje huku

Tatizo la Watanganyika wengi hutaka kuchangia kwa jazba bila hata kwanza kufikiri wanachosema. Hivyo mara ngapi mtawale Zanzibar?
 
Niwazavyo huu utatu hauna maana sana na sioni manufaa yake kwa sasa labda hapo kale...maana kale ilidhaniwa ardhi ya visiwa vya Z'bar ingeweza kutumika kuishambulia Tanganyika kirahisi! ila kwa maendeleo ya kiteknolojia ya sasa unaweza kushambuliwa kutoka kona yoyote mathalan mshambuliaji anajua shabaha yake vyema! kwa kutumia haki yangu ya msingi kikatiba ibara ya 18 B ,nasema huu utatu ni batili!
 
Ninyi Waburushi mliozungukwa maji.......................
Hivi ndio janaja yenu ya kumleta GB kujiandaa kuwa amiri jeshi?
Ninyi binadamu hamna aibu hata kidogo tumewaachia kuwa na rais sisi hatuna hamjaridhika!! tumewapa umeme buuuuuuuuuuuure, hamridhiki!!!!!!!!!!!!1, serikali yenu inatumia fedha zetu za kodi bado twawaangalia!!! Sasa mnataka kunyea kwenye vyungu vyetu bado mnataka tuseme HEWALA!!!
THIS TIME NO AND NEVER!!!!!! THAT WILL NEVER HAPPEN ON EARTH!!!!!!!
KAMA HAYO TULOWAACHIA HAYAWATOSHI THEN KAUNGANANENI NA COMOROS!! WE ARE FEED UP!!!

Matusi yako meza mwenyewe lakini fahamu kuwa huu ni Muungano wa nchi mbili na umeme si wenu bali wa Muungano na hata hivyo hakuna anayepewa bure na kama huo umeme ni sababu ya kututawala basi punguzeni huo utawala wenu kwani umeme wenyew ni ker tupu.
Ikiwa tuko katika Muungano na mnahisi kuwa tunatumia pesa zenu basi msizitowe kwetu. Hebu niambie kiasi gani cha pesa zenu kinaingia katika bajeti ya Zanzibar ingawa ushuru bandarini na uwanja wa ndege Zanzibar unakusanywa na TRA.
 
Back
Top Bottom