Sasa ni Zamu ya Wazanzibar...

Siku zote tumevumilia hizi kauli zenu za kejeli lakini sasa hatuwasikiliza tena

Tutapiga kura wengi watashinda. kwani mpo wangapi huko Zenji!? si tupige kura tu kama wataka haki!?

Ila pia tutataka awepo rais wa Tanganyika ndio muungano utanoga
 
Kama JK alitumia 50 billion kukampeni (inawa inawezekana zilikuwa zaidi) na NEC kushinda, nafikiri Mzenji atahitaji pesa mara kumi ya hizo pamoja na msaada wa Jaji Makame!!
 
Haiwezekani kwani 99% ya wazenji ni ustaadhi al-jihad, hatutaki hawa watu kuongoza nchi yetu TENA wawe wametoka visiwani au bara.
 
Wazo zuri aandaliwe mtu atakayekubalika kama Mzee Mwinyi, au ye yote mtakaeona anafaa toka vyama vingine vya upinzani ambae pia ataweza kupambana na atakaeteuliwa na wapinzani wa bara. Msitegemee mgombea urais kutoka CCM tu ndio anaweza kushinda, vyama viko vingi vinautaka uraisi. Kwa sasa CDM ndio wanaokaba koo hivyo muandae wa CDM pia toka huko (Slaa atakubali??, Lipumba atakubali??, ....na wale wengine watakubali??). Kuna wengine huku toka CCM wameshaanza kujipanga watakubali?
 
Kama kuna muungano wenye controvesy nyingi na mambo yasiyoeleweka ni Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Katika Muungano wa Karume na Nyerere Zenji hamkuwa na Wimbo wa Taifa
Zenji hawakuwa na Bendera ya Taifa.
Zenji haaikuwa mwanachama wa international organizations kama nchi
Muungano uliopo baada waasisi, haya yapo na cha kushangaza hakuna constitutional amendment iliyofanyika kuyaruhusu, I stand to be corrected.
Hivyo basi Uledi ana haki ya kudai rais (kutoka CCM) ajaye atoke zenji.
 
Tunataka uwezo siyo zamu. Salim si ni ninyi ndiyo mlimkataa. Kwani yeye siyo Mzanzibari??

Na ndiyo iliyokuwa zamu(kama ipo) ya Zanzibar,mkamkataa Salim na kupoteza hiyo zamu....kwa hivo mpaka 2025 (kama hiyo zamu ipo)
 
Upuuzi huuo elezaneni huko huko Kisiwandui na hapo Lumumba, na nyie hamtaki Muungano sasa hoja hii inatoka wapi tena? Kitoeni zenu huko kwani hata sisi tumechoka na huu muungano feki.
 
hamna mtu mwenye quality za urais kwa sasa.Salim Ahmed alifaa sana ila kwa chuki na fitina za wazenji mkamkataa sasa sikilizieni sana tu

Uongo wenu tu hata Agustino Ramazan hawezi? Je yule waziri wa sayansi? Wapo waznz wengi tu wanaoweza kuwa rais bora wa tz
 
Baada ya wananchi wa upande wa bara kutoa rais wa Jamhuri ya Nuungano mara 2 mfululizo ni vema sasa wanzetu wa Bara mkatuachia ndugu zenu wa Visiwani urais hapo mwaka 2015. Hii itasaidia kuenzi muungano wetu ulionzishwa na wale viongozi wetu mahiri mzee Karume na Mwalimu Nyerere.

mawazo butu,hayana faida kwa taifa letu
 
Watu wengi waliojiunga humu mwezi huu wa 3 ni wa kuwaangalia kwa makini sana. wengi wao ni wajingawajinga tu wanaodhani hiki ni kijiwe cha wapumbavu wenzao.
 
huyo mtoa mada ni mfuasi wa gazeti la ANNUR,nalifuatiliaga kujua upuuzi wao na moja kati ya hoja walizokuwa wanakomalia ni hiyo kuwa urais ni zamu ya zanzibar kwa target ya kwamba rais akitoka zenj automatically atakuwa MUISLAM..ni ujahidina tu,..rais hawezi kutoka zenj wakati hawana faida kwetu
 
Back
Top Bottom