Nyangomboli
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 3,501
- 1,955
Shoga awashe moto nani atamsikiliza? Akalembulie mashoga zake marekani TZ tunajitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
KupumzikaUnajua sababu ya kwenda Rubondo?
Matusi na uchawi ndio njia pekee ya kapuku kupambana na tajiri bila mafanikioShoga awashe moto nani atamsikiliza? Akalembulie mashoga zake marekani TZ tunajitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Weka na ufafanuzi wa Kivuko cha Bagamoyo kubalansi hoja.
When did you diagnose him to be mentally unfit?Is he now mentally fit? Sijawahi muona Nyarandu kama mtu wa maana hata kumsikiliza. Sijui kwa nini CHADEMA haipati mafunzo ya wahamiaji hawa. Nyarandu yule aliyewahi kusema wamarekani wanataka yeye ndo awe rais wa TZ!! Naye anakuwa mwansiasa serious kiasi cha kupewa kanda?
Jamaa anajua kuwalaghai makamanda.Is he now mentally fit? Sijawahi muona Nyarandu kama mtu wa maana hata kumsikiliza. Sijui kwa nini CHADEMA haipati mafunzo ya wahamiaji hawa. Nyarandu yule aliyewahi kusema wamarekani wanataka yeye ndo awe rais wa TZ!! Naye anakuwa mwansiasa serious kiasi cha kupewa kanda?
Sio kwa povu hili. Relax mzee mama maisha sio magumu kiasi hichoMuda huo hana ilimradi kapata mgao wa ruzuku kutoka kwa M/kiti wa maisha wa kueneza propaganda ,mengine sio kazi yake
Unamjibu huyo POYOYO? Piga kazi mkuu achana na ma CCM hayoSikumbuki mkutano ambao haukufanyika baada ya taarifa zake kuletwa jukwaani na ukazuiwa nikawanyima mrejesho , mara zote niko Active sana , inawezekana huwa nyuzi zake zinakupita , hata hivyo mimi kama mwanadamu yawezekana niliwahi kukosea , ikiwa ni hivyo nisamehewe .
Naomba link ya kilichojiri kwenye moto aliuwasha mdee kwenye kutano na waandishi,na ule mkutano wa msigwa
Sikumbuki mkutano ambao haukufanyika baada ya taarifa zake kuletwa jukwaani na ukazuiwa nikawanyima mrejesho , mara zote niko Active sana , inawezekana huwa nyuzi zake zinakupita , hata hivyo mimi kama mwanadamu yawezekana niliwahi kukosea , ikiwa ni hivyo nisamehewe .
Weka na ufafanuzi wa Kivuko cha Bagamoyo kubalansi hoja.
UNawezaje kutaka urais wa Tanzania kwa mapendekezo ya wamarekani, halafu tuseme akili yako iko sawa?When did you diagnose him to be mentally unfit?
Kutowahi mwona kwako kama mtu wa maana ndiko kunakomfanya asiwe mentally fit?
Mbona ni wewe ndie unayeonekana kuwa 'mentally unfit'!
Nyalandu kaachia ubunge kwa hiari yake baada ya kuchukizwa na vitendo visivyo vya heshima vya kutaka kutoa roho za watu kwa sababu tu za kutokubaliana kisiasa. Kitendo hicho kinamtofautisha na kumpa heshima kwa watu wenye busara, na sio kama ulivyo wewe.
Mbona mkutano wa Iringa umewekwa sana humu mkuu ? tena una wachangiaji zaidi ya 100 , Unajua mimi nilitoa taarifa ya mkutano ni kweli , lakini kuna mdau alikuwa mkutanoni na akaweka yote yaliyojili kwa uzi mpya alioufungua , sasa isingewezekana mimi kuleta tena uzi mpya kuhusu hilo , ungeungwa tu , hata hivyo mimi niliweka Updates ya video ya mkutano ule kwenye uzi wangu , utafute ujionee .WAPI MKUTAMO WA IRINGA,ITV, TBC STAR TV, CLOUDS. WALA WASAFI TV HAWAKUONESHA LIVE,
WEKA CLIP YA MKUTANO WA IRINGA KWANZA.
😆😆😆😆
Mbona mkutano wa Iringa umewekwa sana humu mkuu ? tena una wachangiaji zaidi ya 100 , Unajua mimi nilitoa taarifa ya mkutano ni kweli , lakini kuna mdau alikuwa mkutanoni na akaweka yote yaliyojili kwa uzi mpya alioufungua , sasa isingewezekana mimi kuleta tena uzi mpya kuhusu hilo , ungeungwa tu , hata hivyo mimi niliweka Updates ya video ya mkutano ule kwenye uzi wangu , utafute ujionee .
Hatubahatishi mkuu
Nitajitahidi kuitafuta nikuwekee ili uridhike , TV za Tanzania zimeamriwa gizani kutoonyesha habari za Chadema , na zikifanya hivyo zitashughulikiwa , badala yake zinatakiwa zionyeshe vimbwanga vya Tunatekeleza , bombadier , flyover ya mfugale na mikutano ya Polepole akinunua madiwaniWeka clip ya iringa,
na je, kwa nini TVs local hawakuonesha hata vipande vya mkutamo wa Iringa?
Hilo unalosema wewe mimi silijui. Nimekueleza hayo mengine.UNawezaje kutaka urais wa Tanzania kwa mapendekezo ya wamarekani, halafu tuseme akili yako iko sawa?