Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,778
- 218,404
- Thread starter
- #21
Huyo Mangula ana uchafu wa kutisha , amehusika kutumia hela za umma kununua binadamu , tumemsitiri kwa uzee wake tu , lakini akileta uzushi tutafunua uozo wake wote , potelea mbaliKuna faili la uchafu wake kwa mzee Mangula likifunguliwa hamtatamani kumuangalia usoni ila muda si mrefu yaliyo sirini juu ya huyo mnyaturu yatafunuliwa