Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,012
- 95,352
Uelewe kuwa huyo so-called "Babu" anagawa kikombe cha dawa tu (and not so much "kutibu" kama Daktari afanyavyo Hospitalini.) Kama ni kugawa "dawa", sioni kwa nini ashindwe kuwapatia "kikombe" Wagonjwa 23 au hata zaidi kwa dakika (maana ni wazi hawezi kugawa dawa kwa masaaa 24.)
Mkuu nimekukubali ila umesahau kuwa hagawi kikombe kwa 24 hrs bali masaa takriban 10 tu.