Mahweso
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 1,098
- 1,501
Nakumbuka Mnyika, Lema na Wabunge wengine wa Upinzani walivyokuwa wanaomba miongozo kuhusu mauwaji ya Kibiti na Spika na Mwigulu Waziri wa Ulinzi walivyokuwa wakali hadi kuwahusisha wanaohoji kuwa ni wahusika.
Kumbe Mauwaji ya Kibiti yalikuwa ni kwaajiri ya Lissu tu? Yaani mnauwa watu wengi vile kutengeneza utetezi?
Mungu atawaumbua tu
Litajulikana tu
Mbowe Kasema Siri huwa niyamtu 1
Lakini hiki kitu mmepanga wengi kila kitu kiko wazi.
Mungu ni mwema
Kumbe Mauwaji ya Kibiti yalikuwa ni kwaajiri ya Lissu tu? Yaani mnauwa watu wengi vile kutengeneza utetezi?
Mungu atawaumbua tu
Litajulikana tu
Mbowe Kasema Siri huwa niyamtu 1
Lakini hiki kitu mmepanga wengi kila kitu kiko wazi.
Mungu ni mwema