Ben-adam
JF-Expert Member
- Jun 2, 2023
- 765
- 1,669
Wakuu kwema,
Ni takribani miezi mitatu tangu nilipoacha kunyanyua vyuma, sasa nahisi maumivu ya kifua ambayo hujitokeza hasa ninapocheka sana au nikilalia upande mmoja kwa muda mrefu!
Najua sababu ni kubeba vitu vizito maana sikuwahi kuona kitu kama hiki kabla.
Umeshawahi kutokewa na hali kama hii?
Mnanishaurije ndg zangu kuondoa maumivu haya?
Mimi nawaza kwamba niendelee kupiga gym japo sijui kama itakuwa suluhisho
Ni takribani miezi mitatu tangu nilipoacha kunyanyua vyuma, sasa nahisi maumivu ya kifua ambayo hujitokeza hasa ninapocheka sana au nikilalia upande mmoja kwa muda mrefu!
Najua sababu ni kubeba vitu vizito maana sikuwahi kuona kitu kama hiki kabla.
Umeshawahi kutokewa na hali kama hii?
Mnanishaurije ndg zangu kuondoa maumivu haya?
Mimi nawaza kwamba niendelee kupiga gym japo sijui kama itakuwa suluhisho