George Betram
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 4,018
- 4,909
Heshima kwenu wanajukwaa.
Leo nataka niwape faida 7 wanazozipata wanaume wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito "wapiga nondo", kama haujawahi kufikiria kufanya aina hii ya mazoezi naamini baada ya kuziona faida hizi utaanza kufanya mazoezi haya.
1. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA UWEZO WA AKILI KUFANYA KAZI VIZURI
Mazoezi ya kunyanyua vyuma yanachochea uzalishaji wa homoni kama BDNF (Brain-Derived Neurotrophic Factor), homoni hizi husaidia uzalishaji wa seli mpya za ubongo. Bila kusahau mazoezi ya kunyanyua vitu vizito yanachangia kwa kiasi kikubwa kuongeza ukubwa wa " hippocampus",hii ni sehemu ya ubongo inayohusika na uhifadhi kumbukumbu.
Unataka kuwa "smart" kwa kichwa?
Kama jibu ni ndiyo,basi anza kufanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito,lakini usiache kusoma vitabu pia.
2. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA FURAHA
Watu wanaonyanyua vitu vizito ni watu wenye furaha sana. Ni kawaida kumuona mtu anayefanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito akiwa na tabasamu muda wote. Hali hii inasababishwa na uzalishaji mkubwa wa kemikali za "endorphins" kwenye miili ya watu wanaonyanyua vitu vizito. Kemikali hizi huzalishwa mwilini kwa lengo la kuufanya mwili usihisi maumivu pindi unapofanya mazoezi ya Kunyanyua vitu vizito.
3. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANALETA ULALAJI MZURI
Watu wanaonyanyua vitu vizito huwa wanalala usingizi mzuri sana, huwa hawana matatizo ya kukosa usingizi. Ulalaji mzuri ni sehemu ya kujenga afya, anza kufanya mazoezi haya.
4. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA HOMONI ZA KIUME
Watu wanaonyanyua vitu vizito wana kiwango kikubwa sana cha homoni za testosterone, hizi ni homoni muhimu katika kujenga mwili wa mwanaume. Kiwango kidogo cha homoni za testosterone huweza kusababisha uchovu, kudumaa na kukosa nguvu za kiume.
5. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA UWEZO WA KUJIAMINI
Watu wanaonyanyua vitu vizito ni watu wanaojiamini sana,hii inasababishwa na miili yao kujengeka vizuri. Lakini pia utafiti unaonesha kuwa kitendo cha kunyanyua vitu vizito pekee kinatosha kukufanya ufurahie muonekano wa mwili wako hivyo hiyo hali inakuongezea uwezo wa kujiamini mbele za watu.
6. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA MVUTO
Watu wanaonyanyua vitu vizito ni watu ambao misuli yao imejengeka vizuri,hivyo hiyo inawafanya kuwa watu wenye mvuto wa kipekee.
Utafiti unaonesha kuwa wanawake wengi huwa wanadata/wanavutiwa sana na wanaume wenye mabega na vifua vipana. Unataka kuongeza mvuto na kupendwa na wanawake?
Piga chuma lakini tafuta pesa pia.
7. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA UWEZO WA MWANAUME KUFANYA MAPENZI
Watu wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito wana uwezo mkubwa wa kufanya mapenzi muda mrefu bila kuchoka.
Utafiti unaonesha kuwa mazoezi ya kunyanyua vitu vizito yanaongeza uwezo wa sehemu za kiume kusimama vizuri na muda mrefu.
Unataka kufanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito lakini hauna vifaa vya kufanyia mazoezi haya?
Unataka kufanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito lakini hauna muda wa kwenda gym au haupendi kwenda gym?
Usijali, ninatengeneza mashine ya kufanyia mazoezi ya kunyanyua vitu vizito ambayo unaweza kuitumia kufanya mazoezi ya kujenga misuli ya mgongo, kifua, mabega, miguu na mikono.
Tofauti na mashine za kisasa kutoka nje,mashine hii ina uwezo wa kukaa muda mrefu bila kuharibika. Ukiagiza mashine hii nitakuletea mahali popote ulipo (Hii ni kwa mkoa wa Dar es Salaam tu). Mashine inapatikana kwa shilingi za kitanzania 450000/=
Kwanini ununue mashine hii kutoka kwangu?
I. Ni mashine unayoweza kuitumia kufanya karibia mazoezi yote ya kujenga viungo,hivyo mashine hii moja inakuepushia gharama ya kuwa na mashine nyingi kwaajili ya mazoezi tofauti tofauti.
II. Ni mashine inayopatikana kwa gharama nafuu ukilinganisha na mashine za kisasa kutoka nje (Tsh 450000)
III. Ni mashine imara kulinganisha na mashine za kisasa kutoka nje.
IV. Ukinunua mashine hii nitakupatia na chuma chenye uzito kilogram 10 bure.
Mawasiliano:
0692288398
0716418668
MASHINE NI HOME MADE (Ni ubunifu ambao nimeufanya mwenyewe)
Chini ni videos jinsi mashine inavyotumika.
Leo nataka niwape faida 7 wanazozipata wanaume wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito "wapiga nondo", kama haujawahi kufikiria kufanya aina hii ya mazoezi naamini baada ya kuziona faida hizi utaanza kufanya mazoezi haya.
1. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA UWEZO WA AKILI KUFANYA KAZI VIZURI
Mazoezi ya kunyanyua vyuma yanachochea uzalishaji wa homoni kama BDNF (Brain-Derived Neurotrophic Factor), homoni hizi husaidia uzalishaji wa seli mpya za ubongo. Bila kusahau mazoezi ya kunyanyua vitu vizito yanachangia kwa kiasi kikubwa kuongeza ukubwa wa " hippocampus",hii ni sehemu ya ubongo inayohusika na uhifadhi kumbukumbu.
Unataka kuwa "smart" kwa kichwa?
Kama jibu ni ndiyo,basi anza kufanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito,lakini usiache kusoma vitabu pia.
2. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA FURAHA
Watu wanaonyanyua vitu vizito ni watu wenye furaha sana. Ni kawaida kumuona mtu anayefanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito akiwa na tabasamu muda wote. Hali hii inasababishwa na uzalishaji mkubwa wa kemikali za "endorphins" kwenye miili ya watu wanaonyanyua vitu vizito. Kemikali hizi huzalishwa mwilini kwa lengo la kuufanya mwili usihisi maumivu pindi unapofanya mazoezi ya Kunyanyua vitu vizito.
3. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANALETA ULALAJI MZURI
Watu wanaonyanyua vitu vizito huwa wanalala usingizi mzuri sana, huwa hawana matatizo ya kukosa usingizi. Ulalaji mzuri ni sehemu ya kujenga afya, anza kufanya mazoezi haya.
4. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA HOMONI ZA KIUME
Watu wanaonyanyua vitu vizito wana kiwango kikubwa sana cha homoni za testosterone, hizi ni homoni muhimu katika kujenga mwili wa mwanaume. Kiwango kidogo cha homoni za testosterone huweza kusababisha uchovu, kudumaa na kukosa nguvu za kiume.
5. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA UWEZO WA KUJIAMINI
Watu wanaonyanyua vitu vizito ni watu wanaojiamini sana,hii inasababishwa na miili yao kujengeka vizuri. Lakini pia utafiti unaonesha kuwa kitendo cha kunyanyua vitu vizito pekee kinatosha kukufanya ufurahie muonekano wa mwili wako hivyo hiyo hali inakuongezea uwezo wa kujiamini mbele za watu.
6. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA MVUTO
Watu wanaonyanyua vitu vizito ni watu ambao misuli yao imejengeka vizuri,hivyo hiyo inawafanya kuwa watu wenye mvuto wa kipekee.
Utafiti unaonesha kuwa wanawake wengi huwa wanadata/wanavutiwa sana na wanaume wenye mabega na vifua vipana. Unataka kuongeza mvuto na kupendwa na wanawake?
Piga chuma lakini tafuta pesa pia.
7. MAZOEZI YA KUNYANYUA VITU VIZITO YANAONGEZA UWEZO WA MWANAUME KUFANYA MAPENZI
Watu wanaofanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito wana uwezo mkubwa wa kufanya mapenzi muda mrefu bila kuchoka.
Utafiti unaonesha kuwa mazoezi ya kunyanyua vitu vizito yanaongeza uwezo wa sehemu za kiume kusimama vizuri na muda mrefu.
Unataka kufanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito lakini hauna vifaa vya kufanyia mazoezi haya?
Unataka kufanya mazoezi ya kunyanyua vitu vizito lakini hauna muda wa kwenda gym au haupendi kwenda gym?
Usijali, ninatengeneza mashine ya kufanyia mazoezi ya kunyanyua vitu vizito ambayo unaweza kuitumia kufanya mazoezi ya kujenga misuli ya mgongo, kifua, mabega, miguu na mikono.
Tofauti na mashine za kisasa kutoka nje,mashine hii ina uwezo wa kukaa muda mrefu bila kuharibika. Ukiagiza mashine hii nitakuletea mahali popote ulipo (Hii ni kwa mkoa wa Dar es Salaam tu). Mashine inapatikana kwa shilingi za kitanzania 450000/=
Kwanini ununue mashine hii kutoka kwangu?
I. Ni mashine unayoweza kuitumia kufanya karibia mazoezi yote ya kujenga viungo,hivyo mashine hii moja inakuepushia gharama ya kuwa na mashine nyingi kwaajili ya mazoezi tofauti tofauti.
II. Ni mashine inayopatikana kwa gharama nafuu ukilinganisha na mashine za kisasa kutoka nje (Tsh 450000)
III. Ni mashine imara kulinganisha na mashine za kisasa kutoka nje.
IV. Ukinunua mashine hii nitakupatia na chuma chenye uzito kilogram 10 bure.
Mawasiliano:
0692288398
0716418668
MASHINE NI HOME MADE (Ni ubunifu ambao nimeufanya mwenyewe)
Chini ni videos jinsi mashine inavyotumika.