Elections 2015 Sasa naanza kupata picha kwamba Apson Mwang'onda yupo kwa Lowassa kikazi zaidi...


Khs Magufuli kunaukweli flan cz huyu ni MTU wa MKAPA hata kikwete alipoingia Madarakani MAGUFULI alikuwa anatupwa kwenye Cabinet nivile tu kwamba jamaa alijitutumua kupiga kz Jk kafanya kuona km aibu manake watu wangemshangaa,,,,,Inaeleweka wazi JK alikuwa na mawazo ya LINDI tu
 
We mleta mada mpaka unasema apson alikuwa kizazi, jiulize swali moja, apson alienda kuomba kazi au lowassa ndo alimwita awe meneja wake? Halaf ukipata jibu ukalale
 
We mleta mada mpaka unasema apson alikuwa kizazi, jiulize swali moja, apson alienda kuomba kazi au lowassa ndo alimwita awe meneja wake? Halaf ukipata jibu ukalale

Usiwe na akili fupi. Umeshaambiwa hizi ni taaluma za watu ... unaendelea kuweweseka.

Wewe jibu hili swali. Lowassa alitoa wapi wazo la kumtafuta Apson. Unajua chimbuko la muamala huo.?
 
Ndiyo maana jamaa alikimbia mapema, akajipumzishe 'milima ya Kijabe', aliona dhahama inakuja...!
 

Katika hazina ya TISS unashika hatamu. Shikamoo.
 
Andiko limekaa vizuri na linavutia nakushawishi sana. Na pia kwakuwa HISIA za mwanzo alizotoa mleta uzi zimekuwa kweli kwa Lowasa kutemwa ndio maana wavivu wakushughulisha AKILI zao wanatoa Pongezi kwa Mleta UZI.
But jambo usilolijua ni sawa na usiku wa kiza.
 

Nakubaliana na wewe mkuu.. Baada ya Magufuli kutangazwa ameshinda alienda kukumbatiana na Ben na kuongea nae kidogo..
 
Msimpe sifa Apson, ni mtu wa kawaida na mjinga kabisa, hakuna chochote cha maana anaweza kufanya cha kijasusi kwa sasa, yupo kwa Lowassa kwa makusudi ya kimaslahi, analipwa na Lowassa na anajua atafaidi zaidi kama Lowassa atakuwa rais.

Teh teh teh vipi mkuu upo??

Atake maslai gani zaidi?? Unaujua mshahara wa Mkurugenzi mkuu wa TISS..
 
Ulikuwa sahihi. Yaani hata akina nchimbi, Mzee kingunge walienda kukusanya taarifa wala hawakuwa na nia ya edo kushinda. Kweli hatutashangaa Nchimbi akiteuliwa kuwa Mbunge (maana songea hawamtaki).
 
Ulikuwa sahihi. Yaani hata akina nchimbi, Mzee kingunge walienda kukusanya taarifa wala hawakuwa na nia ya edo kushinda. Kweli hatutashangaa Nchimbi akiteuliwa kuwa Mbunge (maana songea hawamtaki).

Duh!! Hawa wawili siyo sehemu ya Dots zangu.
 
And the Saga continues... limehamia Chadema....Beware of The Company!

I can't believe that the Opposition walked so easily into this trap after years of fear mongering and accusing various members of being members of the Security Services
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…