Wajengee mimba kwenye tumbo la binti yao.... Ndicho wanachomaanisha..... Lugha za mafumbo madogo zinawapiga chenga sana. Au ulifikiri wanataka umlishe tofali binti yao?
Inawezekana uliingia kwa mbwe mbwe na ahad nyingi maana kwa hali ya kawaida ni vigum
Wajengee mimba kwenye tumbo la binti yao.... Ndicho wanachomaanisha..... Lugha za mafumbo madogo zinawapiga chenga sana. Au ulifikiri wanataka umlishe tofali binti yao?
Inawezekana uliingia kwa mbwe mbwe na ahad nyingi maana kwa hali ya kawaida ni vigum
Hilo sio jambo la kukufanya wewe uichukie ndoa yako!Huwa nasema siku zote jamani, ebu wanaume kuweni WANAUME KWELI kwenye ndoa zenu!!!Hivi shemeji yako anapata wapi ujasiri wa kukuambia eti ni lazima ukajenge kwao? Wanaume wetu siku hizi yaani hampo serious kabisa ndo mana mnayumbishwa ovyo!Sasa hizo habari wakisikia ndugu zako hiyo ndoa ndo basi tena!
Ushauri wangu kwako ndugu, kwanza mkalishe mkeo chini, AKUSIKILIZE WEWE NA AFUATE KILE UKITAKACHO WEWE!!AJue kuwa nyie wawili ndo mnatakiwa muijenge familia yenu SIO YA WAZAZI WAKE!Tena umwambie hivyo ndivyo unataka na hauko tayari kujenga kwao kwa sasa labda hapo baadae kama utapata uwezo huo. ANGALIZO, kama upo timamu kichwani na mkeo anajua upo timamu basi atakuelewa ila kama ndo ivyo tena ushachezewa mchezo mchafu na mkeo ujue UTAJENGA TU HATA IWEJE?Pole lakini
Wajengee mimba kwenye tumbo la binti yao.... Ndicho wanachomaanisha..... Lugha za mafumbo madogo zinawapiga chenga sana. Au ulifikiri wanataka umlishe tofali binti yao?
Kwani hao wakwe zako uliwakuta wanaishi porini❓
Wanaume Wa siku hizi wengi wao mizigo hawajielewi! Pesa huna, hata mkwara Wa kiume Pia huna!! EBO!!!!!Hilo sio jambo la kukufanya wewe uichukie ndoa yako!Huwa nasema siku zote jamani, ebu wanaume kuweni WANAUME KWELI kwenye ndoa zenu!!!Hivi shemeji yako anapata wapi ujasiri wa kukuambia eti ni lazima ukajenge kwao? Wanaume wetu siku hizi yaani hampo serious kabisa ndo mana mnayumbishwa ovyo!Sasa hizo habari wakisikia ndugu zako hiyo ndoa ndo basi tena!Ushauri wangu kwako ndugu, kwanza mkalishe mkeo chini, AKUSIKILIZE WEWE NA AFUATE KILE UKITAKACHO WEWE!!AJue kuwa nyie wawili ndo mnatakiwa muijenge familia yenu SIO YA WAZAZI WAKE!Tena umwambie hivyo ndivyo unataka na hauko tayari kujenga kwao kwa sasa labda hapo baadae kama utapata uwezo huo. ANGALIZO, kama upo timamu kichwani na mkeo anajua upo timamu basi atakuelewa ila kama ndo ivyo tena ushachezewa mchezo mchafu na mkeo ujue UTAJENGA TU HATA IWEJE?Pole lakini
Haina haja mkuu, dawa ni kusimama katika nafasi yake!Mkwe hawezi kumpelekesha bwana!!Mbona sie tumeolewa na wazazi wetu wana heshima sana kwa waume zetu?Kama shida wanazipata na wanazitatuzawao, ukiona wamemshirikisha mume wa binti yao basi ni tatizo kubwa sana!Tatizo hapa ni familia ya mke, inaelekea ni wale ambao hufurahia kuzaa watoto wa kike ili waje wawaoze kwa mahari kubwa au wame tegemezi kwa watoto wao.it doesnt make sense yaani mwezi mmoja ut wanatoa demand kubwa hivyo wamekuona wewe ni muwekezaji au? wapuuzie mkuu ukiona wanaendelea kukaza temana na binti yao ndoa isiyo na fraha mapema yote hiyo haina tija