The word is Mheshimiwa ana nondo zote na tayari kazi ishafanyika hivyo kaeni mkao wa kula. Na hapa kuna marais wawili wastaafu (mkwere na chinga) hawatokuwa na pa kuchomokea. Mtaelewa kwa nini Manji hatotoka ndani miaka 2 ijayo.
Stay Tuned...
Hakuna vita ya mtu mmoja.Aeishafail ya madini Sidhani kama hii atatoka.Matumizi.mabaya ya madaraka ndiyo alichoweza
mkuu nko huku kijijin, jana kwenye taarifa ya habari ya itv nlishangaa kukuta ukumbini watu wamejaa si mchezo baada ya habar ya lisu kusomwa watu wote wakasambaa ukumbi ukabaki mtupu. hata habar ya mkulu watu hawakuwa na time nayo, wananchi wanechoshwa na udhalimu wa hawa watuMachozi ya Watanzania karibu kila kona ya nchi kuhusu chuki na visasi kwa kutisha vya huyu dikteta uchwara KAMWE haviwezi kuleta neema yoyote kwa huu utawala dhalimu ambao Watanzania wengi wanazidi kuukana.
Hao wa kwako walikuwa tea nini muda wote?Machozi ya Watanzania karibu kila kona ya nchi kuhusu chuki na visasi kwa kutisha vya huyu dikteta uchwara KAMWE haviwezi kuleta neema yoyote kwa huu utawala dhalimu ambao Watanzania wengi wanazidi kuukana.
Unawakilisha waTz wangap, eti machoz ya waTzMachozi ya Watanzania karibu kila kona ya nchi kuhusu chuki na visasi kwa kutisha vya huyu dikteta uchwara KAMWE haviwezi kuleta neema yoyote kwa huu utawala dhalimu ambao Watanzania wengi wanazidi kuukana.
Tundu Lissu apone kwanza ndiyo nitajaribu kumuelewa
The word is Mheshimiwa ana nondo zote na tayari kazi ishafanyika hivyo kaeni mkao wa kula. Na hapa kuna marais wawili wastaafu (mkwere na chinga) hawatokuwa na pa kuchomokea. Mtaelewa kwa nini Manji hatotoka ndani miaka 2 ijayo.
Stay Tuned...
Akili kubwaAsonge mbele tu asitishwe na wanaofanya shooting location na kutaka kujiua ili kututoa njia kuu!
Bila kusahau kuwa amehamishia pia vita kwenye mwili wa Tundu Lissu na mawakili wengine kama Fatma Karume!
The word is Mheshimiwa ana nondo zote na tayari kazi ishafanyika hivyo kaeni mkao wa kula. Na hapa kuna marais wawili wastaafu (mkwere na chinga) hawatokuwa na pa kuchomokea. Mtaelewa kwa nini Manji hatotoka ndani miaka 2 ijayo.
Stay Tuned...
iwe salama tu kwa watanzania
The word is Mheshimiwa ana nondo zote na tayari kazi ishafanyika hivyo kaeni mkao wa kula. Na hapa kuna marais wawili wastaafu (mkwere na chinga) hawatokuwa na pa kuchomokea. Mtaelewa kwa nini Manji hatotoka ndani miaka 2 ijayo.
Stay Tuned...