Hiyo ni serikali yako sio kusema Kanda ya ziwa mkuuHuko Kanda ya Ziwa nadhani wanataka kujitenga wenyewe
MCS Musoma hao.Unaambiwa kusafirisha samaki hasa kutoka kanda ya ziwa unahitaji kibali maalum. Unahitajika kupata hiyo form hapo chini. Na kuna kiwango maalum cha samaki kwajili ya mboga nyumbani. Ukikamatwa bila hiyo form imekula upande wako.
Mimi? Serikali yangu? Nitake radhi ndugu!!Hiyo ni serikali yako sio kusema Kanda ya ziwa mkuu
Mimi? Serikali yangu? Nitake radhi ndugu!!
Duh ,tumefika ukoNimepekuliwa kwenye msitu kyamiwra, nilikuwa na sado la dagaa wakaninyanganya