Sasa inabidi wanawake watuhonge wanaume

Sasa inabidi wanawake watuhonge wanaume

Mi nilijua post za hivi ni fb tu kumbe hata huku!!?
 
Khaa!! Kiongozi hapo hamna cha kulia wala nini alikuwa anataka kukuingiza kwenye 18 zake aanze kukuATM taratibuu. Mjini hapa ukiwa zoba utapigwa kifalafala. Kuwa makini siyo umalize nauli yako halafu uanze kulialia tukuchangie :yawn:
 
umeliliwa ....
umedaiwa penzi.....

inamaana hujamtosheleza mwenzako jipangeeeee
 
Dah!mwana una bahati sana.Endelea kutoa dozi omba na allowance kabisa
 
Ashakumu so matusi wakubwa,

Jana nilikuwa na kichenchedu kimoja maeneo baada ya kunisumbua kwa muda mrefu Jana kimeeleweka.Sasa tulipoingia maeneo ya faragha na kwa kuwa ilikuwa mara ya kwanza.Jogoo kawika mara mbili tu.

Mimi nikaanza kuvaa nguo maana nimetosheka, nikaanza kusikia kiwi! Kiwi! Kiwi! Kuangalia mwenzangu machozi ya kutisha kama Amefiwa. Ikanibidi niulize kulikoni mbona nimekuachia 20, 000 ya nauri.

Akadai hata kwetu pesa zipo mimi sikufuata pesa hapa, nilitaka faraja yako "na pesa chukua" sasa unataka nini mama "Penzi" kwa sauti kubwa, ndipo nilipogundua kwakuwa wanafaidi zaidi yetu. Inapasa sasa watuhonge.































duuuh! hebu kapime minyenyere fasta!
 
Ashakumu so matusi wakubwa,

Jana nilikuwa na kichenchedu kimoja maeneo baada ya kunisumbua kwa muda mrefu Jana kimeeleweka.Sasa tulipoingia maeneo ya faragha na kwa kuwa ilikuwa mara ya kwanza.Jogoo kawika mara mbili tu.

Mimi nikaanza kuvaa nguo maana nimetosheka, nikaanza kusikia kiwi! Kiwi! Kiwi! Kuangalia mwenzangu machozi ya kutisha kama Amefiwa. Ikanibidi niulize kulikoni mbona nimekuachia 20, 000 ya nauri.

Akadai hata kwetu pesa zipo mimi sikufuata pesa hapa, nilitaka faraja yako "na pesa chukua" sasa unataka nini mama "Penzi" kwa sauti kubwa, ndipo nilipogundua kwakuwa wanafaidi zaidi yetu. Inapasa sasa watuhonge.
wakuhonge mchovu kama wewe ili iweje? .
 
Watu wamekuwa malimbukeni wa mitandao ya kijamii...mpaka wanadhani kila walifanyalo huko mitaani kwao...basi linafaa kujadiliwa na watu wengine hata kama ni jambo la falagha......
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom