Naomba kukutana na wewe pmHivi ni lazima kampeni kujaza watu Hadi kufikia wanafunzi kuvalishwa t-shirt za siasa sikuna watu hufatilia on tv
Hahaa you may come but in positive way sio waja mlango wa nyuma tena kuanza attackNaomba kukutana na wewe pm
Kama hutojali
Nimeona kufuli mkuu.Hahaa you may come but in positive way sio waja mlango wa nyuma tena kuanza attack
Ngoja nikutumie pmNimeona kufuli mkuu.
Angalia picha au usikose kwenye mikutano yakeMara watu wanajaa wanafuata wasanii wa muziki mara sijui wanafuatwa na malori mara wanaojaa ni watoto wa shule tu,sasa ukweli ni upi?
Nasikia mikutano ya Lissu wengi,wanakuja kuangalia kama kweli ana vyuma mwilini.Ukiangalia tu wapiga kura kwenye huo umati wanahesabika hata 20 hawafiki, Halafu akija Yule mzee utasikia Uwanja huu umefurika kweli kweli mmetia fora
Wengi kwenye mikutano ya cdm,ni wahuni waliokosa cha kufanya.Wanataka kuona vyuma mwiliniKwani mnateseka?
Achaneni na Ccm pambaneni na hali zenu
*elezeni mmewafanyia nini watanzania so far na mtawafanyia nini mkipewa ridhaa
Hakika mkuu.Wengi kwenye mikutano ya cdm,ni wahuni waliokosa cha kufanya.Wanataka kuona vyuma mwilini
Mtaji wa mwanasiasa ni watu lakini wasiwe watotoHahahahhahahahahaha nimecheka, Mwanafunzi hata ukimvalisha gunia ataonekana tu, acha ushamba jamani, acha watoto wasome, wewe si unapendwa? View attachment 1583803View attachment 1583804
Wengi kwenye mikutano ya cdm,ni wahuni waliokosa cha kufanya.Wanataka kuona vyuma mwilini
Kwenye mikutano kuna watoto,vijana,wazee,wakina mama,wakina baba n.kAngalia picha au usikose kwenye mikutano yake
Lugha ya mwili inamsuta sana huyu bwana ila hana cha kufanya kwa maana mkono lazima uende kinywani
Acha watoto wetu wakamuone Rayvan na konde boy bila kumsahau Daimondi na Chuuchu.Hawa ndio wapiga kura wa JPM, si ajabu hofu imewajaa akina Polepole huko Lumumba...pole zao!
View attachment 1583865
Hapo mbele wanaonekana watu wazima wapiga kura wawili ambao nadhani ni waalimu na
waliobaki wote ni watoto wadogo ambao hawajui hata kinachoendelea, poleni CCM