SASA HIVI WANAUME TUMEBAKI WACHACHE

SASA HIVI WANAUME TUMEBAKI WACHACHE

AbuuMaryam

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2015
Posts
2,649
Reaction score
4,756
Zamani ilikuwa ukisikia Mwaume harakati zake zote ni za kiume...

Ukikua tu unajua mimi habari zangu nI, KILIMO, KUWINDA, KUCHUNGA MIFUNGO, KUPAMBANA...

Yaani zana ambazo ukitembea hukosi mkononi ni KISU, PANGA, SIME, MSHALE, UPINDE NA MKUKI...

YAANI MUDA WOWOTE FITA NI FITA MURA...

Zamani baba akirudi akikukuta mtoto wake wa kiume upo umekaa na mama yako jikoni...utafukuzwa kama mbwa...MWANAUME HAKAI JIKONI NA AKINA MAMA...

Sasa hivi unaona eti vitoto vya kiume vinakata miuno...kweli jamani...ama kweli wanaume tumepungua...

Uzi tayari...
 
Zamani ilikuwa ukisikia Mwaume harakati zake zote ni za kiume...

Ukikua tu unajua mimi habari zangu nI, KILIMO, KUWINDA, KUCHUNGA MIFUNGO, KUPAMBANA...

Yaani zana ambazo ukitembea hukosi mkononi ni KISU, PANGA, SIME, MSHALE, UPINDE NA MKUKI...

YAANI MUDA WOWOTE FITA NI FITA MURA...

Zamani baba akirudi akikukuta mtoto wake wa kiume upo umekaa na mama yako jikoni...utafukuzwa kama mbwa...MWANAUME HAKAI JIKONI NA AKINA MAMA...

Sasa hivi unaona eti vitoto vya kiume vinakata miuno...kweli jamani...ama kweli wanaume tumepungua...

Uzi tayari...
Ukishakuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa na mwanamke na ukampa ujauzito wewe tayari ni mwanaume hayo mengine ni mbwembwe tu na ndo yanawapa kiburi mnashindwa hata kusaidia wake zenu kazi za ndani kwa visingizio vya ajabu kama hivyo khaa hovyoo
 
Mwanaume ni kutimiza mahitaji ya mwanamke. Na mwanamke ni kutimiza ndoto za mumewe. Ni hayo tuu
 
Du! Kweli asee. Siku hata dingilai hayupo unapewa msosi wa peke yako, halafu unakaa kibabe unakula kibabe[emoji4]
Zamani ilikuwa raha sana, siku hizi wanaume wanakaa is a jikoni na dada zao.
 
Me ni wa mkoani ila nipo dar kuna jamaa hapa vitumbua viwili amalizi [emoji28][emoji28][emoji28][emoji2][emoji2] hahaha hahah aaaaha hahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sasa huyo naye mwanaume? Nakumbuka nikiwa mdogo tulio tukishindana kula. Nilikuwa napiga uji lita 3 nasimama na kwenda zangu kama kipofu aliyeponywa na Yesu.
 
Wallahi aseee uwezi amini hii kitu ni live me nilivunga kuagiza niliagiza vitumbua vitatu baadae nikapita kuchukua mihogo hahaha hahahah ahahaha haha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sasa huyo naye mwanaume? Nakumbuka nikiwa mdogo tulio tukishindana kula. Nilikuwa napiga uji lita 3 nasimama na kwenda zangu kama kipofu aliyeponywa na Yesu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom