Sasa hivi karibu kila mtu analalamika anaumwa kwa hapa Dar

Wrevta

JF-Expert Member
Jan 18, 2023
1,440
1,720
Kazi iendelee.!

Hivi madaktari na wadau wa afya, hili limekaaje? Kwa nini watu wengi HASA kwa Dar kipindi hiki wanalalamika maumivu ya kichwa, uchovu wa viungo na mwili, joto la mwili kupanda na kuwa kali/juu nk

Kuna dada amenipigia kuniambia familia yake yote ni wagonjwa mno kwa dalili hizo tajwa hapo juu. Mpaka majirani zao nao wameshikwa na HOMA.

Hao wachache, achilia mbali ninaowafahamu wengine ambao wanaumwa nao, ni wengi.

Hivi Dar es Salaam ina nini hasa?
 
Sehemu kama Buza, Tandale, kwa mpalange lazima watu wote walalamike wanaumwa
(Joke)
 
Tulieni nyinyi acheni uchawa na kuogopeshana kama makuku yameona mwewe!.. Kama huko dar mmekaa kilegelege tu kwasababu ya vyakula mnavyokula na life style yenu,kaupepo kidogo tu ati hampumui basi mnawaza korona!!!
Kama wakati ule tuliishi huku dunia ikiwa imezuzuka,hivi Sasa yawakunakuna nini..?

Wengine wamekaa huko wanataka serikali iseme,Tena iseme kuwa Kuna korona!!!! Ndio maana mnaendeshwaga hovyo na wanaopiga pesa nyinyi ndio mnawapa mianya kwasababu macho yenu Kama vipofu na wanaoona wapo wanaona na hawafanyi kitu na wapo wanaoona na wakafanya Jambo lao.
 
Kazi iendelee.! Hivi madaktari na wadau wa afya, hili limekaaje? Kwa nini watu wengi HASA kwa Dar kipindi hiki wanalalamika maumivu ya kichwa, uchovu wa viungo na mwili, joto la mwili kupanda na kuwa kali/juu nk Kuna dada amenipigia kuniambia familia yake yote ni wagonjwa mno kwa dalili hizo tajwa hapo juu. Mpaka majirani zao nao wameshikwa na HOMA. Hao wachache, achilia mbali ninaowafahamu wengine ambao wanaumwa nao, ni wengi. Hivi Dar es Salaam ina nini hasa?

Ile chanjo imeanza kufanya kazi kiongozi,,, ila Tanzania nilishangaa sana hawana uhakika na chanjo wao wanaanza kuwadunga watu muhimu
Kama walimu, madakitari, wanajeshi, na viongozi wa taifa ikileta madhara si ndo wanakufa sasa?
 
Ile chanjo imeanza kufanya kazi kiongozi,,, ila Tanzania nilishangaa sana hawana uhakika na chanjo wao wanaanza kuwadunga watu muhimu
Kama walimu, madakitari, wanajeshi, na viongozi wa taifa ikileta madhara si ndo wanakufa sasa?
Kwani wakifa ni dhambi???au kuna aambae hata kufa hata kama hukuchanja??
 
Acha kisirani bwana Mdogo!! Kun'gata mbao ni lazima,,,na kaa ukijua huna hata chembe ya maamuzi juu hilo wala kulizuia kwa namna yoyote ile!!falahh Wee!!!
Naona bado hunielew na sikumaanisha hamna atakaekufa kikubwa ni kwamba chanjo ya korona ililetwa ichanjwe lakni hakuna aliethibitisha ni salama zaidi ya uthibitisho kwa hao waleta chanjo ,, na wakalazimisha wapige watu nyeti kwa taifa je ikianza kuleta madhara si inafyeka hao watu kwa mfano madakitari wakiugua wote ghafla maana walidunga kwa muda unaoendana nan atawatibia raia wengne au hawa wa usalama nan atalinda nchi na wengneo fikiri mbali bab vita ya uchumi ni ngumu wanahimiza lockdown ili misaada iendelee kutririka na kuongeza maden hata hiyo chanjo ni deni hilo taifa linalipa kitafa deni hatuiti deni tunaita msaada
 
Back
Top Bottom