issue kama hyo imetokea kimbiji kigamboni,saa 1:30 asubuhi,Toyota dcm,ilikuwa imebeba watu mpaka kwenye carrier,imepinduka ktk daraja na imebiringita mara 3 na kuua 24 baada ya masaa machache baada yakufikishwa hospitali,mimi pia nilikuwa muopoaji.R.P.I my fellow friends whom i used to meet each other.Bytheway,73 ni majeruhi,na wana hali mbaya sana.SIkujaribu kupiga picha coz,hali ilikuwa inatisha leo.