issue kama hyo imetokea kimbiji kigamboni,saa 1:30 asubuhi,Toyota dcm,ilikuwa imebeba watu mpaka kwenye carrier,imepinduka ktk daraja na imebiringita mara 3 na kuua 24 baada ya masaa machache baada yakufikishwa hospitali,mimi pia nilikuwa muopoaji.R.P.I my fellow friends whom i used to meet each other.Bytheway,73 ni majeruhi,na wana hali mbaya sana.SIkujaribu kupiga picha coz,hali ilikuwa inatisha leo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.