Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 40,444
- 62,781
- Thread starter
- #21
Kuna ukweli kwa asilimia fulaniHatari saana aisee View attachment 1222853
Kuna ukweli kwa asilimia fulaniHatari saana aisee View attachment 1222853
Wamejificha mkuu
Mi mwenyewe nakua hoi mkuu.Kwa mazingira hayo hakuna shaka mkuu,kwa kipindi hicho wewe huwa unafanyaje?
Principle nzuri ya kuoa mwanamke ni kuanza kuishi nae kwanza kama inawezekana unampa mimba yani hapo utazijua tu tabia zake na utaona hapa nioe au nisioeNawauliza nyie wadada...kwa nini mnapokuwa kwenye mahusiano kabla ya kuolewa huwa mnatoa ushirikiano mzuri,sarakasi za kila namna mpaka mwanaume anashawishika kukuweka ndani.Lakini baada ya kuishi kwenye ndoa zile sarakasi na kachumbari za hapa na pale zinakuwa hazipo.Ni kwa nini mnafanya hivyo? Au kwa sababu ulichokuwa ukikihitaji unakuwa umeshafanikisha?