Sarakasi za Yanga na no reform no election

Sarakasi za Yanga na no reform no election

Mhaiki2022

Senior Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
138
Reaction score
193
Ni wazi kuwa timu ya Yanga wameamua kuwaunga chadema kwenye kampeni yao na hii itakuwa kuna watu wanawafadhili...kwa kuwa ukiangalia kwa undani slogan yao ya HATUCHEZI NG'O ni kama ya chadema.

Serikali iwangalie vizuri hawa watu utakuta wana agenda ya siri na chadema.
 
Ni wazi kuwa timu ya Yanga wameamua kuwaunga chadema kwenye kampeni yao na hii itakuwa kuna watu wanawafadhili...kwa kuwa ukiangalia kwa undani slogan yao ya HATUCHEZI NG'O ni kama ya chadema.

Serikali iwangalie vizuri hawa watu utakuta wana agenda ya siri na chadema.
Akili Yako ndo imekupeleka huko? Kwanini unakuwa mjinga kiasi hicho kwenye nchi nzuri.
 
Ni wazi kuwa timu ya Yanga wameamua kuwaunga chadema kwenye kampeni yao na hii itakuwa kuna watu wanawafadhili...kwa kuwa ukiangalia kwa undani slogan yao ya HATUCHEZI NG'O ni kama ya chadema.

Serikali iwangalie vizuri hawa watu utakuta wana agenda ya siri na chadema.
Kuna ka-ukweli fulani maana Yanga wanasema
kuna haja gani ya kucheza kama TFF na Bodi wanaiandalia mazingira 5imba kuwa Bingwa

Chadema nao wanasema
watashiriki vipi Uchaguzi ambao Tume ya Sa100 inausimamia na imeandaa mazingira mazuri ya Sa100 kushinda
 
Bangi inafaa ukivuta usiku, ukivuta saa nane za mchana na hujala chakula lazima uje na mada kama hizi. Chadema na Young african wapi na wapi,
Yaani wewe hata pale Lumumba huwezi pata hata book moja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom