Kilbark
JF-Expert Member
- Feb 25, 2008
- 572
- 161
ho.. Ho... Ho.........
Kama kusema kwamba mtu hana uwezo ndio kukosa shukrani au ukisema hivyo inabidi upewe hiyo nafasi tuone utafanya nini then tunapotoka
Kila mtu ana uwezo wake, na wengine kazi yao ni kuangalia uwezo wa watu, Sappi hajakosea (unless wewe si mpenzi wa michezo) hata Ramos aliondoka Spurs, Hullier aliiacha France nk.
Kama umeangalia Stars mechi sita zilizopita, hakuna jipya ni watu wamefikia peak ya mbinu....
Hii ya ukikosoa basi fanya wewe ni kiboko... kwa jinsi tunavyomkosoa JK!! kila mtu angepangiwa siku ya kuwa rais wa TZ
The bottom line is SAPPI IS RIGHT, BUT WHO ELSE CAN DO BETTER THAN MAXIMO? AND IS THERE ANY ONE BETTER WITHIN TZ AU WE HAVE TO LOOK OUTSIDE THE COUNTRY?
Sawa wewe unaweza ukaona kuwa Taifa Stars haijafikia lolote kimpira kutokana na mtazamo wako au labda unaangalia premier league za ulaya na unataka kuzilinganisha na kwetu. Kimsingi hawa jamaa wa Taifa Stars na huyu kocha wamejitahidi sana alikuwepo Bukhard Pape wa Ujerumani sijui wamkumbuka? Alifanya nini? Alikuja Colvis Oliviera alifanya nini? Kaja Maximo akabadilisha walau kidogo mnaanza kutukana. Mpira jamani ni nidhamu hata hao wachezaji wenyewe siku hizi wanalilia kuchezea timu ya taifa. Zamani thubutu! Kwa hiyo Maximo anastahili pongezi tena sio za kubeza. Hawa vijana confidence yao imepanda maradufu.