Sappi yuko sahihi kuhusu uwezo wa Maximo?

ho.. Ho... Ho.........

Kama kusema kwamba mtu hana uwezo ndio kukosa shukrani au ukisema hivyo inabidi upewe hiyo nafasi tuone utafanya nini then tunapotoka

Kila mtu ana uwezo wake, na wengine kazi yao ni kuangalia uwezo wa watu, Sappi hajakosea (unless wewe si mpenzi wa michezo) hata Ramos aliondoka Spurs, Hullier aliiacha France nk.

Kama umeangalia Stars mechi sita zilizopita, hakuna jipya ni watu wamefikia peak ya mbinu....

Hii ya ukikosoa basi fanya wewe ni kiboko... kwa jinsi tunavyomkosoa JK!! kila mtu angepangiwa siku ya kuwa rais wa TZ

The bottom line is SAPPI IS RIGHT, BUT WHO ELSE CAN DO BETTER THAN MAXIMO? AND IS THERE ANY ONE BETTER WITHIN TZ AU WE HAVE TO LOOK OUTSIDE THE COUNTRY?

Sawa wewe unaweza ukaona kuwa Taifa Stars haijafikia lolote kimpira kutokana na mtazamo wako au labda unaangalia premier league za ulaya na unataka kuzilinganisha na kwetu. Kimsingi hawa jamaa wa Taifa Stars na huyu kocha wamejitahidi sana alikuwepo Bukhard Pape wa Ujerumani sijui wamkumbuka? Alifanya nini? Alikuja Colvis Oliviera alifanya nini? Kaja Maximo akabadilisha walau kidogo mnaanza kutukana. Mpira jamani ni nidhamu hata hao wachezaji wenyewe siku hizi wanalilia kuchezea timu ya taifa. Zamani thubutu! Kwa hiyo Maximo anastahili pongezi tena sio za kubeza. Hawa vijana confidence yao imepanda maradufu.
 
Hao wanaojiita soka analyst wa bongo hata mpira wenyewe hawakucheza tofauti na ulaya Soka analyst kina John Barnes,Lou Maccari,Ian Wright wamecheza mpira hata ushauri wao ni wa maana
Hawa wa bongo hata wakiambiwa waanzishe Academy au wagombee uongozi wa soka wanaogopa kazi kupiga kelele kwenye media
 
Sawa wewe unaweza ukaona kuwa Taifa Stars haijafikia lolote kimpira kutokana na mtazamo wako au labda unaangalia premier league za ulaya na unataka kuzilinganisha na kwetu. Kimsingi hawa jamaa wa Taifa Stars na huyu kocha wamejitahidi sana alikuwepo Bukhard Pape wa Ujerumani sijui wamkumbuka? Alifanya nini? Alikuja Colvis Oliviera alifanya nini? Kaja Maximo akabadilisha walau kidogo mnaanza kutukana. Mpira jamani ni nidhamu hata hao wachezaji wenyewe siku hizi wanalilia kuchezea timu ya taifa. Zamani thubutu! Kwa hiyo Maximo anastahili pongezi tena sio za kubeza. Hawa vijana confidence yao imepanda maradufu.

Point of correction - sijatukana mtu hapa kwahiyo unaposema "mnaanza kutukana nadhani unapotoka

sasa basi... I dont agree with you; kinachofanya wachezaji wetu waamke zaidi ni motivation ya kwenda professional (na hii ni rahisi zaidi kwenye national teams kwasababu kwenye vilabu our chances are limited); level ya government support na sponsorship haijawahi kutokea hivyo once again mchezaji anafanya juhudi za binafsi za ziada; vilevile mwamko wa watanzania umekuwa zaidi kwenye national team baada ya kuona vilabu vinanunua mno ushindi

Labda nikuhabarishe kidogo, ndiyo naangalia sana premier ni supporter wa liverpool na naangalia sana ligi yetu na ninasupport Simba na siku za karibuni na-support JKT ruvu kwasababu kuna vijana wanapewa nafasi na kuna nidhamu

kUMBUKA YANGA SIMBA WALIFANIKIWA KWENDA QUARTER FINALS NA SEMI FINALS ZA AFRICA SABABU YA MOTIVATION

The bottom line ni kwamba: Maximo came at a right place, in a right time so he is lucky, we have a new stadium, our president likes football (which in a way is also a campaigning tool), watanzania WAMEfocus kwenye national team kuliko yanga na simba, wachezaji wapo kwenye era ya opportunities - akionekana national team anaweza kupata professional contracts KIURAHISI KULIKO VILABU VYETU KWA SABABU ZILIZO-OBVIOUS, WAKIWA TAIFA wanapata allowances vizuri, motivation, respect na sponsorship

FOOTBALL IMEKUBALIWA KAMA PROFESSION NA SIO RIDHAA... KAMA ENZI ZA BURKHAD PAPE, JOEL BENDERA, SYLESAID MZIRAY, ETC.ETC.
 
Point of correction - sijatukana mtu hapa kwahiyo unaposema "mnaanza kutukana nadhani unapotoka

sasa basi... I dont agree with you; kinachofanya wachezaji wetu waamke zaidi ni motivation ya kwenda professional (na hii ni rahisi zaidi kwenye national teams kwasababu kwenye vilabu our chances are limited); level ya government support na sponsorship haijawahi kutokea hivyo once again mchezaji anafanya juhudi za binafsi za ziada; vilevile mwamko wa watanzania umekuwa zaidi kwenye national team baada ya kuona vilabu vinanunua mno ushindi

Labda nikuhabarishe kidogo, ndiyo naangalia sana premier ni supporter wa liverpool na naangalia sana ligi yetu na ninasupport Simba na siku za karibuni na-support JKT ruvu kwasababu kuna vijana wanapewa nafasi na kuna nidhamu

kUMBUKA YANGA SIMBA WALIFANIKIWA KWENDA QUARTER FINALS NA SEMI FINALS ZA AFRICA SABABU YA MOTIVATION

The bottom line ni kwamba: Maximo came at a right place, in a right time so he is lucky, we have a new stadium, our president likes football (which in a way is also a campaigning tool), watanzania WAMEfocus kwenye national team kuliko yanga na simba, wachezaji wapo kwenye era ya opportunities - akionekana national team anaweza kupata professional contracts KIURAHISI KULIKO VILABU VYETU KWA SABABU ZILIZO-OBVIOUS, WAKIWA TAIFA wanapata allowances vizuri, motivation, respect na sponsorship

FOOTBALL IMEKUBALIWA KAMA PROFESSION NA SIO RIDHAA... KAMA ENZI ZA BURKHAD PAPE, JOEL BENDERA, SYLESAID MZIRAY, ETC.ETC.

Mkuu sina hakika kama kweli unachokiongea unakifahamu. Mpira kuwa profession au amature sio sababu ya mafanikio ya kocha. Kama utakumbuka best perfomance ya Tanzania katika historia yetu ya soka ilikuwa wakati mpira sio profession. Wakati uwanja wa taifa ni uo huo uliokuwa wa gwaride namaadhimisho ya siku za taifa. motivation ilikuwa almost zero. Hii unaielezeaje?
Unakumbuka kuwa mabadiliko ya soka Tanzania ambayo walau sasa tunaona imefufuka, yalianza na mabadiliko ya uongozi wa juu wa FAT? Kupata kocha mgeni sio mara ya kwanza na mazingira hayana tofauti sana kati ya makocha wote, tofauti kubwa ni kuwa uswahili TFF umepungua sana, hata kuingiliwa kwa kocha kumepungua sana, japo kuna wengine wanaendelea kujaribujaribu bila mafanikio. Umetaja Burkhard Pape, Oliveira, ukamsahau Stanculescu.. unataka kutuambia kuwa hao hawakufanikiwa kwa sababu hatukuwa na uwanja mzuri, au kwa kuwa walikuja kwenye wrong time?. Ipi ni wrong time kwako na ipi ni right time.
Lazima tukubali Sappi amemkosea heshima Maximo na amekosa shukurani, lazima aheshimu mafanikio madogo yaliyonekana. Tutakuwa ni watovu wa shukurani kama tukimponda Maximo kwa kitu tulichoshindwa kufanya kabla yeye hajaja.
 
Last edited:
Mkuu sina hakika kama kweli unachokiongea unakifahamu. Mpira kuwa profession au amature sio sababu ya mafanikio ya kocha. Kama utakumbuka best perfomance ya Tanzania katika historia yetu ya soka ilikuwa wakati mpira sio profession. Wakati uwanja wa taifa ni uo huo uliokuwa wa gwaride namaadhimisho ya siku za taifa. motivation ilikuwa almost zero. Hii unaielezeaje?
Unakumbuka kuwa mabadiliko ya soka Tanzania ambayo walau sasa tunaona imefufuka, yalianza na mabadiliko ya uongozi wa juu wa FAT? Kupata kocha mgeni sio mara ya kwanza na mazingira hayana tofauti sana kati ya makocha wote, tofauti kubwa ni kuwa uswahili TFF umepungua sana, hata kuingiliwa kwa kocha kumepungua sana, japo kuna wengine wanaendelea kujaribujaribu bila mafanikio. Umetaja Burkhard Pape, Oliveira, ukamsahau Stanculescu.. unataka kutuambia kuwa hao hawakufanikiwa kwa sababu hatukuwa na uwanja mzuri, au kwa kuwa walikuja kwenye wrong time?. Ipi ni wrong time kwako na ipi ni right time.
Lazima tukubali Sappi amemkosea heshima Maximo na amekosa shukurani, lazima aheshimu mafanikio madogo yaliyonekana. Tutakuwa ni watovu wa shukurani kama tukimponda Maximo kwa kitu tulichoshindwa kufanya kabla yeye hajaja.

Sasa naona tunabishana kama wanandoa humu ndani, one picks a sentence or a line and then anarukia hapoooo mapaka kieleweke, uwanja ni gesture ya namna yake, Maximo kaja right time (period!) na kama ulivyosema mwenyewe.. Taifa iiwahi kuwa nzuri kipindi cha nyuma kuliko Maximo, kama ni hivyo, then kwa namna fulani unakubali kwamba Maximo hajafikia akina Sappi walipotegemea

Ningetegemea ungesema kwamba tuishukuru TFF ya tenga kwa kuleta positive changes

Last, Sio lazima tukubali kwamba Sappi amekosea... hayo ni maoni yako na usilazimishe mtu hapa!! kila mtu ana uhuru na nafasi sawa ya kutoa maoni depending on what you perceive and undestand, binafsi naona sapi yu sahihi wewe ya kwako nayo sawa kwa upande wako
 
Wapenda michezo JF naomba msome makala hii fupi niliyoinukuu toka kwenye tovuti ya gazeti la mwananchi. Kwa ufupi nimesikitishwa na ufafanuzi finyu wa Sappi ambaye anaangalia udhaifu wa kocha bila kuangalia udhaifu wa muundo mzima wa FA ulioifanya Tanzania iwe kichwa cha mwendawazimu na wachezaji kuwa wa kiwango cha chini kwa muda mrefu. Huyu mpenda michezo naona amesahau kuwa club ziewahi kuwa na makoca kutoka kwenye maeneo ya hizo nchi lakini wote walishindwa kufaya kazi kutokana na miundo mibovu ya klabu, ambayo inafanana kabisa na ya FAT. Maximo amejitahidi kufika hapo alipo leo anaonekana hana uwezo, sijui ana suggest nini? Sijui kama anafahamu kuwa mafanikio ya timu hayatokani na kocha peke yake, tunaweza kumchukua hata Maurinho lakini bado tutakuwa hovyo.

Date::2/25/2009
Maximo adaiwa hana uwezo zaidi ya hatua aliyoifikisha Taifa Stars
Na Mwandishi Wetu

MCHAMBUZI wa masuala ya michezo, Hussein Sappi amesema tukubali ukomo wa kocha wa Taifa Stars, Marcio Maximo na staili ya soka anayofundisha timu haiwezi kufika mbali.


Akizungumza katika kipindi cha Kumepambuzuka cha Radio One jana, Sapi alisema makocha wa Brazil wengi hawana rekodi katika ulimwengu wa soka zaidi ya nchi yao.


Alisema Brazil wazuri kwa wao wenyewe lakini hawana rekodi nzuri duniani.


“Mimi nadhani wakati umefika sasa tubadilike, tuangalie Ulaya Mashariki, kule tunaweza kupata makocha wazuri na hata soka yao inajulikana.


“Tunakubali kuwa Brazil wana makocha wazuri lakini kwa faida yao, wapi kuna mafanikio kwa kocha wa Brazil? Tunaona Afrika Kusini inavyoyumba.


“Kulikuwa na Felipe Scolari, alikuwa Ureno, hakuna kitu, kaondoka akaenda Afrika Kusini, akatoka akaja Chelsea, na sasa hayupo, kuna nini pale. Angalia makocha wa Hispania, Ufaransa, Uholanzi, Russia, Jamhuri ya Czech wapo na naamini tunawamudu...,” alisema.


Akizungumza huku akionyesha kukerwa, alisema: “Isije kufika wakati tukapigana mawe Uwanja wa Taifa pale, mimi hili nalisema kama Mtanzania mwenye haki ya kuzungumza langu na sidhani kama Maximo anatufaa tena,” alisema.

kuna wanaotumiwa makocha wazawa kwa ajili ya kumponda maximo
tujiulize hao wazawa wana historia gani nzuri na timu ya Taifa
 
"Maximo came at a right place, in a right time so he is lucky, we have a new stadium, our president likes football"
there you are, kila siku nawaambia watu kuwa Maximo alikuja wakati muafaka kabisaa kipindi ambacho kuna kila aina ya support kutoka kwa wadau mbalimbali serikalini na kwenye chama cha soka chenyewe. Mimi sidhani kama kuna kocha aliyewahi kupata support kubwa kama hii. Nakumbuka kipindi akina Boniface Mkwasa na wenzake wanalalamika kuwa wanapeleka programme zao a mazoezi kwenye football association lakini timu inaitwa kambini wiki moja kabla ya mashindano husika. Pia kwenye suala zima la maandalizi hivi iliwahi kutokea lini national timu kupelekwa nje ya nchi kwa kambi mfano kama ilivyopelekwa Brazil na Denmark? Mimi sijawahi kuona wala kusikia mpaka Maximo amekuja. Pia hata suala la malipo kwa kocha mwenyewe linahusika sana. Hivi mnajua mshahahara wa Maximo? Hakuna kocha mzalendo aliyewahi kulipwa huo mshahara halafu on time na sio kwa kubabaishwa kama ilivyokuwa hapo nyuma. Tuwaulize akina Mkwasa, Mziray, na wengineo inawezekana hadi leo wanadai masurufu yao. Kwa hiyo kimsingi ni wakati tu umempenda bwana Maximo na mimi naamini hata kocha mzawa angepata support hii kubwa kiasi hiki angeweza kufanya mambo mkubwa pia.
 
"Maximo came at a right place, in a right time so he is lucky, we have a new stadium, our president likes football"
there you are, kila siku nawaambia watu kuwa Maximo alikuja wakati muafaka kabisaa kipindi ambacho kuna kila aina ya support kutoka kwa wadau mbalimbali serikalini na kwenye chama cha soka chenyewe. Mimi sidhani kama kuna kocha aliyewahi kupata support kubwa kama hii. Nakumbuka kipindi akina Boniface Mkwasa na wenzake wanalalamika kuwa wanapeleka programme zao a mazoezi kwenye football association lakini timu inaitwa kambini wiki moja kabla ya mashindano husika. Pia kwenye suala zima la maandalizi hivi iliwahi kutokea lini national timu kupelekwa nje ya nchi kwa kambi mfano kama ilivyopelekwa Brazil na Denmark? Mimi sijawahi kuona wala kusikia mpaka Maximo amekuja. Pia hata suala la malipo kwa kocha mwenyewe linahusika sana. Hivi mnajua mshahahara wa Maximo? Hakuna kocha mzalendo aliyewahi kulipwa huo mshahara halafu on time na sio kwa kubabaishwa kama ilivyokuwa hapo nyuma. Tuwaulize akina Mkwasa, Mziray, na wengineo inawezekana hadi leo wanadai masurufu yao. Kwa hiyo kimsingi ni wakati tu umempenda bwana Maximo na mimi naamini hata kocha mzawa angepata support hii kubwa kiasi hiki angeweza kufanya mambo mkubwa pia.

Ahh ndugu yangu tuko pamoja, lakini si unajua sie wabongo!! vipimo vyetu vingi vinaangalia pande moja tu ya shilingi? nakumbuka Taifa starts ilikosa jezi, viatu na kukosa hata msosi wakati wa akina mziba; lakini sijui ingekuwa leo iko hivyo Maximo angeishia wapi

Lets look at Taifa starts tactics na kama kuna changes tangu tuwaone 3 years ago then tu-judge.. binafsi sioni mbinu mpya, kama mnabisha pelekeni akacheze na cote d'ivoire yenyewe sio ile ya trialists
 
Hakika hii inanithibishia kuwa waTanzania tu wepesi sana wa kudanganyika kwa fulana, upande wa kanga na kilo ya sukari unatoa kura yako.
Maximo ashukuru ameingia kipindi muafaka kakutana na bahati angekuta kipindi Taifa Stars wanaenda mazoezini kwa daladala na kambi zisizo na maji ya kuoga ndio mngeona ni nini tunaongea hapa. Kwa support aliyopata tulitarajia makubwa zaidi ya haya. alipaswa kuleta mageuzi mengi sana katika soka. Kocha gani tuliyewahi kuwa naye ambaye angeweza hata kuonana na waziri mkuu ndani ya wiki moja achilia mbali yeye mwenye direct mawasiliano na Rais. acheni kumsifia mtu. Hakika matunda ya mafanikio haya ni ya Support ya Wadhamini pamoja na Wadau wengine yeye anamchango mdogo sana hapo.
 
Hakika hii inanithibishia kuwa waTanzania tu wepesi sana wa kudanganyika kwa fulana, upande wa kanga na kilo ya sukari unatoa kura yako.
Maximo ashukuru ameingia kipindi muafaka kakutana na bahati angekuta kipindi Taifa Stars wanaenda mazoezini kwa daladala na kambi zisizo na maji ya kuoga ndio mngeona ni nini tunaongea hapa. Kwa support aliyopata tulitarajia makubwa zaidi ya haya. alipaswa kuleta mageuzi mengi sana katika soka. Kocha gani tuliyewahi kuwa naye ambaye angeweza hata kuonana na waziri mkuu ndani ya wiki moja achilia mbali yeye mwenye direct mawasiliano na Rais. acheni kumsifia mtu. Hakika matunda ya mafanikio haya ni ya Support ya Wadhamini pamoja na Wadau wengine yeye anamchango mdogo sana hapo.


Ahsante mkuu, umegonga ikulu.... Kuna kauli moja kila nikijaribu kuikataa ndio inazidi kunikaa ya mkuu mmoja maarufu kama NN insema "Miafrika ndivyo Tulivyo" Waswahili ni wepesi sana kusahau, kuna kipindi mwaka jana mwanzoni tulichemsha cape verde na Mauritius (au shelisheli - sikumbuki vizuri) watu tayari up in arms; leo Sappi kakosea;

Hoja za kumsifia Maximo ni kama zile za Sekondari mtu anasifiwa mkali kwa kufaulu Biology au Maths (hata kama anakesha tutition) matokeo yake mtaa umamtoa nishai

Sisi tuombe uzima na haitapita miaka miwili tutaandamana na mawe against huyo Maximo
 
Inashangaza mdau anaposema eti ni kosa kolinganisha soka la Timu ya Taifa na lile la Timu la ligi za Ulaya. Sasa huyo Mbrazil Maximo tulimleta hapa ili atufundishe tucheze kwa kiwango kipi? Na Je kuna haja gani ya FIFA kuipa Klabu Bingwa Barani Afrika fursa ya kushindania Ubingwa wa Dunia?.

Kuhusu suala la Maximo kupewa muda zaidi ili alete mafanikio, hilo halina msingi. Imagine unataka kusiti mitihani ya CPA module F mwezi mei 2009, afu unaenda kwa Mtaalamu wa Review class anakwambia itabidi ukae nae miaka miwili; kuna mawili hapa: ama mtaalamu ni kilaza au mwanafunzi.

Ndo maana Jose Morinho anahusudiwa na wengi, hebu soma nukuu zake akipinga Makocha wanaotoa kisingizio cha kutaka muda zaidi ili wanyakue kombe:

“Some managers have a big excuse when they go to a big club. They say ‘I need a lot of time to do it’. If you say this, you get protection. If you don’t win the title in the first season, or second season, you can keep saying ‘I need time’. Sometimes you stay for four or five years, keep not winning, and then keep demanding more time. I could never be like this. I live for the risk. I believe you can do it in the first season, and if you do not, you fail. I prefer it like this. I prefer the pressure because that’s how I live”.
““If you spend a lot of money on a car you expect great things from that car. I spend a big chunk on my car and I expect it to drive well, I expect it to be comfortable and I expect it to look good………………………..Like anything in life — when you spend money on something you want to see a return. That’s not just football, it’s a basic principal of life.”

Tanzania hatujawahi kumlipa kocha wa Timu ya Taifa fedha nono namna hii hata maramoja, tena unawezakuta hata kodi jamaa halipi; kwa hiyo tunayo haki ya kumdai makubwa.
 
Ama kweli waTanzania ni hodari kwa kupenda maendeleo ya haraka bila ya kuwekeza. Hivi kweli mnaweza kumlaumu Maximo kwa haya maendeleo "madogo" tuliyonayo kwenye soka?
Unapolinganisha soka ya Tanzania na ulaya hautendi haki. Ulaya wenzenu wanaanza kupikwa toka wakiwa wadogo. Kuna shule kibao za soka ambazo zinawafundisha watoto. Hao akina lampard, Torres na wakali wengineo wamepikwa kisoka toka wakiwa wadogo. Hebu angalia hapa TZ nini kinaendelea. Watu mpira wanafundishwa "ukubwani". Wakiwa wadogo na hata mchangani wanacheza mpira wakufundishwa na "kocha mbabaishaji" tu. Unategemea mtu kama huyo hata akikuwa atajua soka kweli?

Tufike mahala tukubali kuwa ili kuwa na timu nzuri basi inabidi kwanza mfumo wa soka ubadilike. Timu zianze kutengenezwa toka za watoto. Wapate makocha wenye taaluma ya ukocha wawajengee misingi mizuri then wakiwa wakubwa matunda yao yataonekana.

UBORA WA NYUMBA UNATEGEMEA MSINGI WAKE
 
Tumechoshwa na akina Sappi na uchambuzi wao usio na mashiko na uliojaa hoja lemavu. Eti 'Soccer analyst'!! Pengine 'soccer fan' ingekuwa bora zaidi. Kuwa mchambuzi wa michezo kunahitaji shule kama zilivyo fani nyingine kama uganga, uhandisi, urubani n.k. Watu wanasikia tu political analyst, soccer analyst na kufikiri na wenyewe wanaweza kuwa tu bila hata kupigwa na umande kidogo.
 
Hakika hii inanithibishia kuwa waTanzania tu wepesi sana wa kudanganyika kwa fulana, upande wa kanga na kilo ya sukari unatoa kura yako.
Maximo ashukuru ameingia kipindi muafaka kakutana na bahati angekuta kipindi Taifa Stars wanaenda mazoezini kwa daladala na kambi zisizo na maji ya kuoga ndio mngeona ni nini tunaongea hapa. Kwa support aliyopata tulitarajia makubwa zaidi ya haya. alipaswa kuleta mageuzi mengi sana katika soka. Kocha gani tuliyewahi kuwa naye ambaye angeweza hata kuonana na waziri mkuu ndani ya wiki moja achilia mbali yeye mwenye direct mawasiliano na Rais. acheni kumsifia mtu. Hakika matunda ya mafanikio haya ni ya Support ya Wadhamini pamoja na Wadau wengine yeye anamchango mdogo sana hapo.


[COLOR="Blue[B]"]...Mkuu, hapo naomba tutofautiane kidogo. Haya makubwa tuliyotaraji ulitaka yapatikane kwa kipindi gani? Ndani ya Miaka mitatu tuliyokaa na Maximo? Maandalizi yetu kwa ajili ya hilo yalikuwaje? Unafahamu kwamba tungeweza kudai hilo iwapo tu tungekuwa na mfumo unaoeleweka wa wachezaji chipukizi na kwa hiyo Maximo angefika tu na kuanza kuvuna na kuunda kikosi kabambe cha timu ya Taifa? Tunadai makubwa kuliko haya wakati kocha alilazimika kuanza kufundisha hata namna kudribble mpira wachezaji wenye umri mkubwa?? Fair Play Please, kwa Maximo![/B][/COLOR]
 
Maximo anastahili pongezi. Kaleta heshima ndani ya timu. Kuna baadhi ya wachezaji walikuwa wanajiona wao ni Timu ya Taifa, panga pangua wataitwa. Ila jamaa kaliondoa hilo, na ni zuri sana manake kasaidia wachezaji kujituma. Mtu anateuliwa kwa kujituma na jinsi atakavyozidi weka jitihada akiwa ndani ya timu. Tunaposema Maximo kapewa kila kitu hatutendi haki, sasa kumjaribu tulitaka atembee kwa miguu na wachezaji watoke nyumbani kwa dala dala kuja mazoezini?, kila wakati una raha na karaha yake. Hivyo wakati wake wachezaji na timu kwa ujumla imeweza kupata angalau kila kitu. Hongera Maximo, unatutoa kimasomaso kutoka katika kuwa Kichwa cha .......
 
[COLOR="Blue[B]"]...Mkuu, hapo naomba tutofautiane kidogo. Haya makubwa tuliyotaraji ulitaka yapatikane kwa kipindi gani? Ndani ya Miaka mitatu tuliyokaa na Maximo? Maandalizi yetu kwa ajili ya hilo yalikuwaje? Unafahamu kwamba tungeweza kudai hilo iwapo tu tungekuwa na mfumo unaoeleweka wa wachezaji chipukizi na kwa hiyo Maximo angefika tu na kuanza kuvuna na kuunda kikosi kabambe cha timu ya Taifa? Tunadai makubwa kuliko haya wakati kocha alilazimika kuanza kufundisha hata namna kudribble mpira wachezaji wenye umri mkubwa?? Fair Play Please, kwa Maximo![/B][/COLOR]

Usiseme kwa kujifurahisha kabla hujafikiri vya kutosha. nakupa Changamoto ifuatayo; 1). Vijana wa Serengeti Boys Wako wapi? je Maximo hakuwaona? ilikuwa lazima apate kikosi toka kwenye ligi kuu? 2). Angalia kwa makini na chambua uwezo wa Tinoco na Ubingwa wa COPA COCACOLA wa DUNIA. Maximo anafanya nini kwa vijana wale na wapo ambao wameshafikisha zaidi ya miaka 18. 3). Nani anamchagulia Maximo wachezaji tofauti na Kibadeni alivyochagua Serengeti boys na Tinoco na wachezaji wa Copa CocaCola?

Nimetoa mfano wa Tinoco na Kibadeni ajili ni wa miaka ya sasa wengi bado hawajasahau ITV ilivyokuwa ikitembeza kapu la kuombea msaada serengeti boys, wakipewa matikiti maji na maembe, tofauti na Maximo anayepata ufadhili Mkubwa sana achilia mbali mshahara wake huo hauihusu timu moja kwa moja.

Kuna aliyeuliza kauli yangu ya kusema tulitarajia makubwa kwa Maximo, ni kweli tulitarajia na TULISTAHILI(sio matarajio pekeyake) haswa. Matarajio yetu ni kwamba timu yetu angalau tungeweza hata kufikia kuwa timu yenye mafanikio kwenye ukanda wetu wa CECAFA, hatujaweza hata kufikia fainali yoyote hata hapa CECAFA. hii haimaanishi kwamba hatutaweza kufika Fainali CHAN la hasha lakini ilistahili tuwe tishio katika ukanda huu kwanza.
Tunaweza tukabeba hata Kombe la CHAN lakini haita justify uwezo wa maximo bali itakuwa ni mafanikio yaliyochangiwa kwa kiasi kukubwa na Wadau na wachezaji zaidi kuliko uwezo wa Maximo. Labda wengine hamkuwa mkihudhuria mechi za stars kabla ya ujio wa Maximo hivyo Mmeanza kuijua Stars baada ya hamasa kubwa ya wadau tukiongozwa na Rais wetu JK.
 
Maximo anastahili pongezi. Kaleta heshima ndani ya timu. Kuna baadhi ya wachezaji walikuwa wanajiona wao ni Timu ya Taifa, panga pangua wataitwa. Ila jamaa kaliondoa hilo, na ni zuri sana manake kasaidia wachezaji kujituma. Mtu anateuliwa kwa kujituma na jinsi atakavyozidi weka jitihada akiwa ndani ya timu. Tunaposema Maximo kapewa kila kitu hatutendi haki, sasa kumjaribu tulitaka atembee kwa miguu na wachezaji watoke nyumbani kwa dala dala kuja mazoezini?, kila wakati una raha na karaha yake. Hivyo wakati wake wachezaji na timu kwa ujumla imeweza kupata angalau kila kitu. Hongera Maximo, unatutoa kimasomaso kutoka katika kuwa Kichwa cha .......

Hatusemi Maximo hajafanya chochote kile kizuri, naomba kueleweka. Safari yetu ni kwenda Dodoma kwa siku moja. sasa leo siku ya pili bado tuko na Maximo Morogoro. ni kweli kabisa Maximo katufikisha Morogoro lakini ndiko tuliko stahili kuwepo leo Moro badala ya angalau Dodoma kwa siku hizo mbili?? labda kwa kusema hivyo mtanielewa.
 
Back
Top Bottom