Alnadaby
JF-Expert Member
- Sep 28, 2006
- 505
- 41
Hapo tulipofika si haba Mahmoud Qassim.Juhudi zote zilizofanywa na kila mmoja wetu zimetufikisha hapa.Kama tuaendelea na kufika tunakotaka kufika ni bora kwetu sote,Maximo akwemo ndani.
Katika uchambuzi mwingi wengi wetu tumesahu kuwa Brazil ni nchi inayoheshimika kwa soka na imechukua kombe la dunia mara nyingi.Sikumbuki mahali mabapo kocha wa Brazil alikuwa foreigner!
Je tungempa Charles Boniface Mkwasa timu hii angeweza kutufikisha hapo tulipofika? I doubt kwa sababu kuna tofauti kati ya Mkwasa na Maximo! That's what makes the difference!Hii ni pamoja na all the support rendered!JK hakuwa na mawazo ya Mkwasa wala Mziray kwa sababu alijua what the team needed most.
Hata kama tutafungwa au kufunga leo hii kauli yangu ni hii,kwamba tumejitahidi na tumefanya vizuri kwa sababu tuna Coach mzuri plus the support of the whole nation.
Katika uchambuzi mwingi wengi wetu tumesahu kuwa Brazil ni nchi inayoheshimika kwa soka na imechukua kombe la dunia mara nyingi.Sikumbuki mahali mabapo kocha wa Brazil alikuwa foreigner!
Je tungempa Charles Boniface Mkwasa timu hii angeweza kutufikisha hapo tulipofika? I doubt kwa sababu kuna tofauti kati ya Mkwasa na Maximo! That's what makes the difference!Hii ni pamoja na all the support rendered!JK hakuwa na mawazo ya Mkwasa wala Mziray kwa sababu alijua what the team needed most.
Hata kama tutafungwa au kufunga leo hii kauli yangu ni hii,kwamba tumejitahidi na tumefanya vizuri kwa sababu tuna Coach mzuri plus the support of the whole nation.