Saniniu Laizer apata Tanzanite nyingine yenye kilo 6

Saniniu Laizer apata Tanzanite nyingine yenye kilo 6

Kuna jamaa kanidokeza yupo pale mirerani Kuna mchezo serikali inaucheza na bwana laiza ili kuipeleka nchi katika uchumi wa kati.ngoja nifanyie uchunguzi hii kitu.
How kwa hiyo hizo tanzanite ni goroka au
 
Ngoja nifuatilie kupata usahihi wa hiyo hoja
Mmh mkuu picha zinapigwa kabisaa na Hundi amepewa na jamaa ni mchimbaji wa miaka mingi hii movie inakuwaje sasa??? Vipi watalii wakija wakitaka kuionaa kwa kulipiaa maana ndp lengp la serikali... Laizer kutumika ni ngumu sana ukizingatia hilo ni suala la fedha
 
Mmh mkuu picha zinapigwa kabisaa na Hundi amepewa na jamaa ni mchimbaji wa miaka mingi hii movie inakuwaje sasa??? Vipi watalii wakija wakitaka kuionaa kwa kulipiaa maana ndp lengp la serikali... Laizer kutumika ni ngumu sana ukizingatia hilo ni suala la fedha
Sirikali ina nguvu
 
Hujanielewa bado
Lengo ni nini??? Kwamba wawavute wawekezaji au tupate attention gani hasa kimataifa??? Maana serengeti na Mlima kilimanjaro...ngorongoro sijui vinafanya yote hayo
 
Alichimba kina kirefu yaonyesha Keshaupayta mwamba ..ningekua mimi nabeba mafungu yangu nanunua jumba "property" Dubai nabeba ndugu zangu tunaanza maisha huko

Maana bongo Au utavamiwa Au utarogwa tu ili mardi ufe tu au ulost
 
Back
Top Bottom