Saniniu Laizer apata Tanzanite nyingine yenye kilo 6

Saniniu Laizer apata Tanzanite nyingine yenye kilo 6

Hii hali ikiendelea hivi, Tanzanite will become worthless
Ndo tatzo la Ku monopolize soko kunakua hakuna competition katika price, serikali ingeweka centralized market ambapo buyers watakutana na sellers tofauti
 
Halikutoroshwa jiwe lilifichwa na mdhamini wa mgodi then after 2weeks akalitoa na kulipeleka pale wizarani watathimini kodi ndio serikali ikasanuka mbona hili jiwe ni kubwa.

Ndio kupigiwa laizer aje na mtuhumiwa akawekwa ndani wiki
Yeah ndo usahihi
 
Back
Top Bottom