Vin Diesel
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 9,087
- 6,392
Si wewe bana, i can feel his perfume mmmhh
Unataka nikuambie how i look like?
Si wewe bana, i can feel his perfume mmmhh
Niambie best, mi nilijua crush zimeisha loo kumbe zinaendelea...
Mr handsome wa jf ameshasoma hii habari na ameshanizoea, ananijua uchakaramu wangu...ivo
Wapendwa.
Kasie mie, sina hamu na sandwich lady.
Kuna mkaka mmoja tulikutana training mwaka jana, ilikuwa training ya wiki 2, that kaka alionesha sign zote za kunidondokea ila hakusema neno hadi training ikaisha.
Hamadi!! Leo nikiwa naelekea kupata lunch tukakutana njiani baada ya salamu tukasema tuingie nearby restaurant tupate lunch na maongezi.
Ile tumeingia silverspoon, tukakutana na dada mmoja akamchangamkia jamaa na kutaka tuketi meza yake akamkatalia kuwa tunamaongezi.
Mdada akaja meza tuliyokaa akaanza kumwambia jamaa anaomba dakika 10 tuu kisha aende, kwani hata aliongea cha maana, ooh pale kazini majungu mengi, we bado mgeni pale, blah blah kibao.
Kumbe wako wote ofc moja, akamkatisha na kumwambia nikitoka hapa ntakuita uje tuongee mezani kwangu. Ile sandwich lady kaondoka, hata dakika mbili hazikuisha akapigiwa simu anatakiwa ofisini fastaa, akanyanyuka na kunikiss na kuniambia ILU!! Nikabaki nimeduwaa, i admire the guy ila sandwich lady alinizibia hata namba ya simmu sikuchukua.
I dont know if I love him but I admire him, mweeh!! Kasie mie.
Nambie mwaego nakusikiliza....
We si ulisema unakaribia kuolewa,😕😕😀,au kapeperuka.
Aaah...najua huwa hupendi maswali yangu. Ngoja ninyamaze ili uwe na amani dada kassie..teh!!
Wapendwa.
Kasie mie, sina hamu na sandwich lady.
Kuna mkaka mmoja tulikutana training mwaka jana, ilikuwa training ya
wiki 2, that kaka alionesha sign zote za kunidondokea ila hakusema neno
hadi training ikaisha.
Hamadi!! Leo nikiwa naelekea kupata lunch tukakutana njiani baada ya
salamu tukasema tuingie nearby restaurant tupate lunch na maongezi.
Ile tumeingia silverspoon, tukakutana na dada mmoja akamchangamkia
jamaa na kutaka tuketi meza yake akamkatalia kuwa tunamaongezi.
Mdada akaja meza tuliyokaa akaanza kumwambia jamaa anaomba dakika 10 tuu
kisha aende, kwani hata aliongea cha maana, ooh pale kazini majungu
mengi, we bado mgeni pale, blah blah kibao.
Kumbe wako wote ofc moja, akamkatisha na kumwambia nikitoka hapa
ntakuita uje tuongee mezani kwangu. Ile sandwich lady kaondoka, hata
dakika mbili hazikuisha akapigiwa simu anatakiwa ofisini fastaa,
akanyanyuka na kunikiss na kuniambia ILU!! Nikabaki nimeduwaa, i admire
the guy ila sandwich lady alinizibia hata namba ya simmu sikuchukua.
I dont know if I love him but I admire him, mweeh!! Kasie mie.
Si wewe bana, i can feel his perfume mmmhh